Badonatafuta
New Member
- Nov 4, 2014
- 2
- 0
Naitwa Godfrey wa Mbeya Tanzania natafuta mchumba wa kuoa,nna umri wa miaka 25,ni muajiriwa,dini yangu mkristo.Mchumba nnaye mtafuta yeyote mwenye mapenzi ya kweli anitafute kwa namba:0657753472.na ahidi kumpenda kwa dhati nakumjali endapo kama ntampata.Jioni njema wana Jf wenzangu.