Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nipo single wadada baada ya kuumizwa valentine inanihamasisha nifungue ukurasa mpya 18 hadi 25 ni pm, sura tabia yaweza tupeleka kanisani.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana Jamii forums. Mimi niina miaka 26 ninafanya kazi za imformation technology, nahitaji mke wakuishi nae vigezo ni awe na kazi yeyote awe anaishi kaskazini yeyote alie tayari ani pm.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nimekuwa nikishuhudia watu wa jinsia ya kiume wakishambuliwa kwa kuitwa majina kama domo zege, huko mtaani hujaona n.k. kwenye jukwaa la MMU (Love connect). Baada ya kupost kuwa anatafatufa mke...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni kijana jinsia ya kiume hahitaj mwenza nimwajiriwa katika taasisi ya kiserikali nafasi ya office attendant mwenza pia aanzie kidato cha nne elimu yake. Nawasilisha.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mi naitwa Gabi nina miaka 26 natafuta mke wa kuoa kabila lolote ani pm nimpe namba tuongee.
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Wanawake wengi huachwa au kusalitiwa kwa sababu ya kutomjali mwenza wake hivi... 1. Muda wote atakuwa hana chakuongea, huku akisubiri ulete maongezi. 2. Ukitaka kuonana nae atakuzungusha kweli...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 29, ni mtumishi wa uma. Elimu yangu ni shahada ya awali. Natafuta rafiki wa kike ambaye tutakuwa tunabadilishana mawazo na kushare mambo mbali mbali. Mungu akipenda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Binti swalha mwema natafuta wa kumnusuru/kuoa,awe anayetekeleza faradhi za mwenyezi mungu.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukweli maishani mwangu napenda kuwa na mwanamke aliye nizidi umri,awe mwenye elimu, na mwenye uwezo wake kiuchumi pia mcha MUNGU. Kwa sababu bila MUNGU hakuna kitu,mwenye ukarimu na mpole, pia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ambaye upo tayari kuwa mpenzi wangu ni PM be serous with ua words nipo iringa vilevile huku ndo kwetu weka hata namba mimi nitaanza kuku text.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vipi wadau wa Love Connect. Mimi ninaitwa Mlossy Junior ninatafuta Mchumba kwani nimechoka maisha ya upweke. Elimu yangu,nina Degree ya kwanza na ni muajiriwa.Ninaishi Dar,kwa aliye tayari...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama headline inavyosema, natafuta mwanamke wa kufarahi nae, gharama za outing ni juu yangu.Sifa zake,awe mzuri wa sura na umbo/awe Arusha. Kama uko serious ni Pm. Asanteni.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hamjambo marafiki,natafuta mchumba kuanzia miaka 20-25 Sifa awe mkristo mcha Mungu(msabato atapewa kipaumbele) mwenye elimu kuanzia diploma na kuendelea. Mrefu wastani .
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hamjambo marafiki,natafuta mchumba kuanzia umri wa miaka 20-25 sifa Awe mkristo mcha Mungu(msabato atapewa kipaumbele) Awe na elimu ya diploma na kuendelea. Mrefu wastani na mwonekano wenye...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Hamjambo marafiki,natafuta mchumba kuanzia miaka 20-25 Sifa awe mkristo mcha Mungu(msabato atapewa kipaumbele) mwenye elimu kuanzia diploma na kuendelea. Mrefu wastani . Iwapo una vigezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa heshima kubwa najitokeza hapa kutafuta mwanamke ambae nae mwenye uhitaji mkubwa kwa mume, umri wangu ni kati ya miaka 43 na 48. Naomba yule mwanamke mwenye uhitaji wa mume. Tuwasiliane kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii ni kwa wadada wa Jamii Forums tu. Kwa mara ya kwanza kwa zaidi ya miaka 10 Valentine hii nitakuwa mwenyewe mwenyewe hivyo dada yeyote aliye tayari namkaribisha siku hii tuwe pamoja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza.Nipo natafuta mchumba atayekuja kuwa mke wangu,umri wangu miaka 25,kwa yeyote. Aliyetayari tuwasiliane.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
mm ni boy 22 nimejitokeza hapa kutafuta mchumba wa kike ambae yupo tayari kuishi na mm.Mimi in mfanyakazi wa serikali ......sifa.... awe na elimu ya kujitambua awe na kazi yake ya kueleweka...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Wakuu habari za jumamosi hii, umri wangu ni miaka 38,ni mwislamu, natafuta mke wa kuoa, yeyote aliyetayari tuwasiliane tafadhali.Nitafute pm.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom