Natafuta mwanamke m2 mzima

Natafuta mwanamke m2 mzima

zema21

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
619
Reaction score
257
natafuta mwanamke m2 mzima, mimi nina umri wa miaka 25, awe anajiheshimu, asizidi miaka 38, sihitaji fedha toka kwake bali mapenzi
 
Ok!
Ingawa hujatoa vigezo vya utu uzima uutakao maana hata vibibi vya miaka 70-80 ni watu wazima pia.
 
natafuta mwanamke m2 mzima, mimi nina umri wa miaka 25, awe anajiheshimu, asizidi miaka 38, sihitaji fedha toka kwake bali mapenzi

mdogo wangu utuuzima unaanzia miaka 18 naimani unalifahamu hilo! me nina mtalaka wangu tulishindwana mambo fulan madogo tu sema me nimeshindwa kuyavumilia, ila yupo oder kabisa (bado ipo vizuri sana) yaani kama ni gari ya mtumba basi hiyo ni zile za moja kwa moja japani bila kutumika dubai! tatizo lake anapenda sana matumizi makubwa bila kujali kipato cha familia! tangu tumeachana amekua akitamani kuolewa tena lakin anasema bado hajapata mwenye nia!

kama atakufaa nikusaidie!
 
African culture hamna kitu kama hko?20's wenzako wamekushinda utanataka kuolewa?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
natafuta mwanamke m2 mzima, mimi nina umri wa miaka 25, awe anajiheshimu, asizidi miaka 38, sihitaji fedha toka kwake bali mapenzi

Kwenye hiyo red walahi hujamaanisha!
 
Back
Top Bottom