humu una wajukuu kibao hebu niwe ndugu yako
kumbe ushaachana na mkeo
kumbe ushaachana na mkeo
Halafu wewe Evelyn Salt fursa zinakuja wala huzichangamkii!. Au mchumba mpaka atoke Namagondo, ooh shauri yako!.
Loooh!!!!!!!! Mke tena????????
ana mke msomi hajui kupika hata kukata kitunguu hajui ha ha ha
Alaaaaaaah!!!! Umenikumbusha...Inavyoonekana wameshaachana na jamaa kwa sababu alisogezewa sasa imekuwa vigumu kung'oa mwingine ndio maana anataka Kaserengeti girl kasiko na maswali mengi... Naaminia sana back up yako ya ubongo my dada... Shem kapata jembe
Foleni.....foleniniha ha ha kumbe alisogezewa...make nakumbuka mara ya mwisho wife alirudi home saa saba za usiku kisa foleni lol