Linahusu wanawake

Linahusu wanawake

goldplaza

New Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
1
Reaction score
0
Nahitaji mke wa kuoa kama tukikubalina bada ya kuwasiliana,

Nahitaji awe Muslim kabila lolote pia umri wowote sio tatizo akiwa Dar-es-salam ni bora zaidi
awe na kibaruwa chochote.

Mimi nina miaka 36, ni mjasiriamali nipo DSM.
No yangu...0786 150061 kwa mawasiliano zaidi
.
 
duuu kweli ukistaajabu ya mussa, utashangaa anapiga simu dada yako au shangazi yako, acha ulimbukeni wa mitandao;
 
nahitaji mke wa kuoa kama tukikubalina bada ya kuwasiliana!
nahitaji awe muslim kabila lolote pia umri wwte sio tatizo akiwa dar-es-salam ni bora zaidi
awe na kibaruwa chochote
mie na miaka 36 ni mjasiriamali nipo dsm..
no yangu...0786 150061 kwa mawasiliano zaidi
Hapa sio penyewe mkuu, ingia jukwaa la mapenzi na mahusiano, pale juu kuna link nyingine imeandikwa Love connect hapo ndipo unaweza hudumiwa vyema.
 
duuu kweli ukistaajabu ya mussa, utashangaa anapiga simu dada yako au shangazi yako, acha ulimbukeni wa mitandao;
Hapana,unakosea mkuu,yawezekana ni mgeni au sio mtu saana wa jf taratibu nimeshamuelekeza, sidhani kama alikuwa anajua.
 
Hapana,unakosea mkuu,yawezekana ni mgeni au sio mtu saana wa jf taratibu nimeshamuelekeza, sidhani kama alikuwa anajua.

Ni nimemkumbusha huenda akapokea simu za dada zake, au shangazi yake sijui itakuwaje, maana kila kitu kina faida na hasara zake, njia hii watu wanashobokea tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom