Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
Chance kwake yeye bhana sio mimi, am just givin yeye a chance to have a husband
Unajua inapokuja suala la ndoa desperation huwa haimo kabisa na kama kuna mtu anaingia kwenye ndoa just kwasababu yeye anataka kuwa kwenye ndoa basi anakuwa wrong. Makubaliano ya wote wawili is what matters so kama ninatoa chance anayeipokea ni yule anayeitaka na sio kumridhisha au kumhurumia yule aliyeitoaChance kwako wewe kupata Muarabu au Mhindi maana wewe ndo mwenye shida, yeye hajakwambia anashida ya mume "wewe"
'Unanshangaza'
Kwanini unasema huna nafasi? Unajua nilichokuwa nakitarajia kutoka kwenye thread hii, nilitaka wanawake wa kiswahili kama mimi waseme kwanini am going to hawa wengine and not them na wanishawishi nibadili mawazoMh,makubwa. Hapa waswahili ha2na nafac...ngoja nipite.
Mkuu umeanza kunitamanisha na mimiNataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
Ameshasema hana sababuHaya 2pe reasons behind this sa2,2takushawish bila kujua umeaim ni2?
Kwanini unasema huna nafasi? Unajua nilichokuwa nakitarajia kutoka kwenye thread hii, nilitaka wanawake wa kiswahili kama mimi waseme kwanini am going to hawa wengine and not them na wanishawishi nibadili mawazo
Coz they wanna get married too