Kuna uwezekano mkubwa kwamba serikali inatudanganya kuhusu makusanyo ya kodi ya shilingi trilioni 1.4 kwa mwezi Januari 2016 pekee na kujinasibu kwamba imevuka kusanyo lolote la kodi lililowahi...
MH jenga mifumo mipya ya nchi kwa kuanzisha mchakato mpya wa katiba mpya. mikwara bila mifumo imara inayojiendesha yenyewe ikiwa ipo huru, hapo utakumbukwa.
cjui bila mifumo utastukiza...
UTOROSHAJI WANYAMA HAI
Ikulu ya Kikwete yahusika
Waandishi Wetu
Toleo la 443
3 Feb 2016
Walipewa blank cheque kujaza ‘mapesa’ wanayotaka SAKATA la kutoroshwa na kusafirishwa kwa wanyama hai...
chama cha demokrasia na maendelo (chadema), juzi kimeonyesha jinsi kilivyokomaa kidemokrasia, pasi na mashaka, baada ya mbunge mh. wilfread rwakatare mbunge pendwa na mwakilishi wa jimbo la bukoba...
Introduction
Below is a cut and paste from Wikipedia.
Please compare and contrast between Ton Ton Macoute of Haiti and Zombies of Zanzibar.
You will surely come across very interesting...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA
Mkuu wa TAKUKURU (M) Ilala,
S.L.P 6420, Kinondoni
Simu : (022)2861088 Nukushi 2150047
Barua pepe: rbcilala@pccb.go.tz...
Balozi wa Tanzania nchini India ndugu Kijazi amesema ameridhika na hali ya usalama iliyopo mjini Bangalore,na kuwa kitendo cha msichana wa Kitanzania kupata kisa cha kuvuliwa nguo ni kitendo cha...
Kama kila mtanzania ataacha kumtegea raisi na kuamini tu kuwa Magufuli hawezi kuwepo kila sehemu, hawezi kufanya kazi zote peke yake, then hapo tunaweza kupata mafanikio!
Kwa sasa kuna watu bado...
Kwanza kabisa nieleze masikitiko yangu kutokana na hotuba ya jana aliyotoa rais Magufuli akizindua mwaka mpya wa mahakama! Rais alidiriki kuwaeleza majaji na mahakimu (siyo mawakili) ambao ndiyo...
Na Avila Kakingo,
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam lasitisha shughuli za ulinzi shirikishi kwa muda usiojulikana katika vituo vya Polisi vya mjini kati kutokana na malalamiko na...
Ndugu zanguni goja nitolee mfano wa hukumu ya Mh Daniel Yona na mwenzake, eti wamehukumiwa kutumikia kifungo cha nje na kufanya kazi za kijamii mtaani pamoja na tuhuma zote zile nilizokuwa...
Baraza la wafanyabiashara wanaomiliki meli Africa Mashariki (SCEA), limeitangaza Bandari ya Dar es salaam kama bandari bora zaidi Afrika Mashariki katika mwaka 2015.
Kwa mujibu wa utafiti wa...
Leo ndo CCM wanaona dhambi mabalozi kushiriki siasa?
Mbona kule Shinyanga balozi wa China alivaa gwanda na kuhutubia mkutano wa CCM chini ya Katibu mkuu Kinana?
Wapinzani walipopiga kelele...
Huyu jamaa anaitwa MASAMAKI anakaa PUGU KAJIUNGENI, ni mfanyakazi TRA na mke wake ni mfanyakazi wa benki ambayo sikufanikiwa kufahamu jina lake.
Huyu jamaa ni maarufu sana katika eneo lile na...
Stanslaus Mabula,mstahiki meya wa jiji letu pendwa la Mwanza kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) yupo mbele ya pilato akitakiwa kuiambia mahakama kuu kanda ya Mwanza ilikuaje ashirikiane na...
Korti ya Kisutu leo yaamuru mawaziri wastaafu Basil Mramba, Daniel Yona kutumikia kifungo cha nje kwa kufanya usafi Hospitali ya Sinza, Dar hadi Nov 5.