AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR
Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la THE CIVIC UNITED...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema imejipanga kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa marudio utakaofanyika Machi 20, mwaka huu unakuwa huru na haki kwa kupambana na makundi ya aina ya watu...
serikali imeweka vipingamiz kwa TBC kuonesha bunge live,kwa sababu ya kiuchumi, nk wazijuazo wenyewe....nilitaka kujua vip vyombo binafs kama ITV,AZAM TV,...NK HV HAVITAONESHA?? AU NAVYO VILIKUWA...
Kikao cha Baraza kuu la uongozi la chama cha Wananchi CUF kilichoketi leo makao makuu ya Chama hicho Buguruni Dar es Salaam na kuhudhuliwa kwa Mwaliko Maalum na Prof. Lipumba na Juma Duni Hajji...
Baraza kuu la chama cha CUF chini ya mwenyekiti wake wa muda wametangaza kutokushiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar.
==============================
AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA...
Wana JF na watanzania wote wenye kupenda Demokrasia na Amani Tanzania, poleni!
Wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kuna watu tulisema kwa vile CCM imeishiwa pumzi na imepoteza mwelekeo...
Juzi Msajili wa Vyama vya siasa Jajio Mutungi alikaririwa akikiasa chama kikuu cha upinzani Zanzibar CUF kutosusia uchaguzi unaotarajiwa kurudiwa hivi karibuni.
Alikaririwa akisema kwa kuwa ZEC...
Hivisasa,Mbunge wa Nzega Mjini-CCM Hussein Bashe anaendelea kuchangia Hotuba ya Rais Bungeni. Pamoja na kusema mambo mbalimbali ya maana na mantiki,Ndugu Bashe amepotosha na amepotoka kwa jambo...
Mheshimiwa rais Nape ni aina ya watu ambao ni wafia chama yaani kuwa kiongozi wa serikali hana chembe ya sifa hata kidogo.
Raha ya Nape ni kuhakikisha chama kinatetewa hata penye masihara...
Nimemsikiliza Nape alipokua akitoa sababu za kusitisha matangazo ya moja kwa moja.
Ukizisikiliza hoja zile, kama huoni mbali basi utamsifia sana Nape na serikali yake. Ni hoja tamu kuzisililiza...
Nimewaza na kutafakari kwa kina kuwa Magufuli kama mwenyekiti wa baraza la mawaziri alikubali wazo la NAPE na kulibariki kuwa ni nzuri.Katibu mkuu kiongozi ambaye ni katibu wa baraza la mawaziri...
Nimekuwa nikijiuliza ilikuwaje aliyekuwa Mkurugenzi wa bandari Madeni Kipande kuondolewa ukurugenzi kisha kuteuliwa kuwa katibu tawala mkoa.
Baada ya kuwajibishwa juzi ndipo nimebaini kuwa kumbe...
Mara nyingi najiuliza maswali ambayo naamini humu kuna great thinkers ambao wanaweza kunisaidia.
Kazi kubwa ya wabunge ukiacha kutunga sheria ni kuishauri serikali bila kujali unatoka chama gani...
Salaam,
Leo Bunge la Jamhuri linaanza na hotuba ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli aliyoitoa bungeni.
Hotuba ya rais imepewa siku tatu kujadiliwa, lakini kumbuka...
Labda Kuwe na Gaidi anataka Kulipua Bunge, Askari wanatumiwa Bungeni Ni wale wa Bunge Tu. Kuleta FFU Bungeni, Usalama wa Taifa Askari Kanzu Kupiga wabunge ati ili wakubali Kuburuzwa Ni Serikali...
Bunge letu linatakiwa liwe na msemaji au ofisa habari wa bunge ambaye kazi yake itakuwa kukusanya taarifa zote za kilichoendelea bungeni kila siku na kuwapa waandishi wa habari na vyombo vya...
Ninajiuliza kwa kipindi kirefu bila ya kupata jibu la uhakka, kitu kilichompelekea muasisi wa chama cha CCM Nyerere kukwepa au kusususia kuvaa shati ya rangi ya kijani, rangi ambayo ni kielelezo...
Wakuu sitaki niongee kishabiki wala kwa hisia ila tu naongea kiuhalisia kupitia jukwaa hili!
Nimejaribu kufanya ulingani wa maspika wa awamu zote zilizopita hasa baada ya mfumo wa vyama vingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.