Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Huyu jamaa anaitwa MASAMAKI anakaa PUGU KAJIUNGENI, ni mfanyakazi TRA na mke wake ni mfanyakazi wa benki ambayo sikufanikiwa kufahamu jina lake.
Huyu jamaa ni maarufu sana katika eneo lile na hata maeneo ya jirani na pale, ukimtaja Masamaki utaambiwa Masamaki iko pesa. Ana viwanja na nyumba nyingi eneo lile na hata maeneo ya jirani na pale.
Swali ninalojiuliza, je huyu jamaa anayo miradi ipi ya kumfanya hawe na pesa ya kufanya mambo kama yale na kujijengea umaarufu.
Mwenye details zake atujuze.
Huyu jamaa ni maarufu sana katika eneo lile na hata maeneo ya jirani na pale, ukimtaja Masamaki utaambiwa Masamaki iko pesa. Ana viwanja na nyumba nyingi eneo lile na hata maeneo ya jirani na pale.
Swali ninalojiuliza, je huyu jamaa anayo miradi ipi ya kumfanya hawe na pesa ya kufanya mambo kama yale na kujijengea umaarufu.
Mwenye details zake atujuze.