Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kipindi cha Magufuli Ujinga huu wa umeme kukatika ilikuwa ni nadra sana, sasa tumerudishwa gizani bila sababu za Msingi, badala ya ku improve baada ya kupata vyanzo bora vya umeme, shida imehamia...
4 Reactions
3 Replies
223 Views
Kaka wa Humphrey Polepole anaiyeitwa Augustino Polepole amejirekodi na kutuma video inayomtaka ZCO Faustine Mafwele ajitokeze hadharani na kuwaeleza watanzania walichomfanya. Ikumbukwe Faustine...
46 Reactions
369 Replies
15K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mpango wa kuandika barua kwa mashirika ya kimataifa Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Ulaya (EU), Marekani (US), Umoja wa Afrika (AU) na...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Bado tunafuatilia! Kila mara nimesikia viongozi mbalimbali wa upinzani, wa chama Dola, waastafu, watu maarufu kwenye media wakizungumza kauli inayofanana na hii: Mtafanyaje mazungumzo wakati...
5 Reactions
50 Replies
588 Views
NGUZO 10 KUU ZA UTAWALA PALE WATIBELI WANAPOTAWALA: KUANZIA NGAZI YA FAMILIA HADI NGAZI YA TAIFA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hakuna cha itakuwaje. Sisi Watibeli tunaongozwa na nguzo kuu nne...
3 Reactions
2 Replies
121 Views
Kada ya ualimu inadharaulika sana. Leo hii shule ya msingi mwalimu anaanzia diploma hakuna cheti tena. Nabadili kada naenda kusoma sheria na nitahakikisha nakuwa wakili. Maisha ya kijijini...
11 Reactions
29 Replies
586 Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, hivi karibuni amesikika akisema kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ndiye anayechangia kucheleweshwa kwa kesi yake ya uhaini kwa kuwasilisha...
8 Reactions
15 Replies
408 Views
Baada ya kuangalia tension kubwa ya kisiasa nchini na namna tulivyofika hapa basi baada ya chama cha Mapinduzi walimu hawawezi kukwepa lawama za kuharibu Nchi. Amani iwe nanyi
3 Reactions
6 Replies
107 Views
Tujifikirishe kidogo kwa nini Tanzania ni nchi masikini kwa kiasi hiki kuliko hata Kenya pamoja na rasilimali zake zote hizi. Tatizo ni utaratibu mbovu wa utawala wetu aka katiba mbaya. Katiba...
5 Reactions
2 Replies
89 Views
Kauli ya Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kwamba Watanzania tunapaswa kupambana kupata Katiba Mpya ni kauli kubwa na yenye uzito mkubwa kisiasa. Soma Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua...
15 Reactions
81 Replies
1K Views
Elimu ya Hisa, Hati Fungani, Uwekezaji n.k. 🎙️ Sikiliza MAELEZO PODCASTS — Tupo kwenye audio channels zote 📌 Spotify...
0 Reactions
2 Replies
70 Views
Mwaka 235 A.D kule Roma aliuwawa Kaisari aitwaye Severus Alexander. Aliuwawa kwa hila za majasusi wake waitwao The Praetorian Guard ambao walikuwa ndiyo kikosi cha ulinzi na ujasusi cha watawala...
117 Reactions
157 Replies
8K Views
Mmegundua kua Vyombo vya HABARI vimefuta hotuba ya NCHIMBI katika mitandao ya Kijamii? Sasa huyo ndio NCHIMBI aliyepinga Utekaji pamoja na Mauaji. Cha Kumfanya hawana Akili yake ni Kubwa kuliko...
10 Reactions
57 Replies
1K Views
Msikilize HECHE akidadavua moja wapo ya kauli ya Nchimbi kuhusu Katiba mpya
5 Reactions
16 Replies
363 Views
Mbio ndefu zinaanza kidogokidogo ili kuhifadhi nguvu za kumalizia https://youtu.be/_grDI6frFtI?si=lxjChaUFa8fldjfm
0 Reactions
1 Replies
51 Views
Hakika nchi hii uhuru umepitiliza sana. msikilizeni huyu naye.
4 Reactions
31 Replies
567 Views
  • Redirect
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa chama hicho kitayaandikia mashirikisho makubwa ya mpira duniani FIFA na CAF kwa ajili ya kuyapatia taarifa za uwepo wa magaidi nchini. Kauli...
0 Reactions
Replies
Views
Naiona hatari kubwa ya kuua elimu ya juu Wanasiasa badilikeni, bado mapema.
1 Reactions
13 Replies
299 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…