Kipindi cha Magufuli Ujinga huu wa umeme kukatika ilikuwa ni nadra sana, sasa tumerudishwa gizani bila sababu za Msingi, badala ya ku improve baada ya kupata vyanzo bora vya umeme, shida imehamia...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mpango wa kuandika barua kwa mashirika ya kimataifa Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Ulaya (EU), Marekani (US), Umoja wa Afrika (AU) na...
Bado tunafuatilia!
Kila mara nimesikia viongozi mbalimbali wa upinzani, wa chama Dola, waastafu, watu maarufu kwenye media wakizungumza kauli inayofanana na hii: Mtafanyaje mazungumzo wakati...
NGUZO 10 KUU ZA UTAWALA PALE WATIBELI WANAPOTAWALA: KUANZIA NGAZI YA FAMILIA HADI NGAZI YA TAIFA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Hakuna cha itakuwaje. Sisi Watibeli tunaongozwa na nguzo kuu nne...
Kada ya ualimu inadharaulika sana. Leo hii shule ya msingi mwalimu anaanzia diploma hakuna cheti tena.
Nabadili kada naenda kusoma sheria na nitahakikisha nakuwa wakili.
Maisha ya kijijini...
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira, hivi karibuni amesikika akisema kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ndiye anayechangia kucheleweshwa kwa kesi yake ya uhaini kwa kuwasilisha...
Baada ya kuangalia tension kubwa ya kisiasa nchini na namna tulivyofika hapa basi baada ya chama cha Mapinduzi walimu hawawezi kukwepa lawama za kuharibu Nchi.
Amani iwe nanyi
Tujifikirishe kidogo kwa nini Tanzania ni nchi masikini kwa kiasi hiki kuliko hata Kenya pamoja na rasilimali zake zote hizi.
Tatizo ni utaratibu mbovu wa utawala wetu aka katiba mbaya. Katiba...
Kauli ya Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kwamba Watanzania tunapaswa kupambana kupata Katiba Mpya ni kauli kubwa na yenye uzito mkubwa kisiasa.
Soma Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua...
Mwaka 235 A.D kule Roma aliuwawa Kaisari aitwaye Severus Alexander. Aliuwawa kwa hila za majasusi wake waitwao The Praetorian Guard ambao walikuwa ndiyo kikosi cha ulinzi na ujasusi cha watawala...
Mmegundua kua Vyombo vya HABARI vimefuta hotuba ya NCHIMBI katika mitandao ya Kijamii?
Sasa huyo ndio NCHIMBI aliyepinga Utekaji pamoja na Mauaji. Cha Kumfanya hawana
Akili yake ni Kubwa kuliko...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa chama hicho kitayaandikia mashirikisho makubwa ya mpira duniani FIFA na CAF kwa ajili ya kuyapatia taarifa za uwepo wa magaidi nchini.
Kauli...