Huyu mtu alitwa mgonjwa na kukashifiwa kwa kejeli nyingine nyingi tu wakati wa kampeni za uchaguzi.Sasa uchaguzi umeisha na mliemtaka ndio ameshida na yeye anaendelea kuishi kama mtanzania wa...
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kupitia akaunti yake ya Facebook amesema kuwa hajapiga marufuku matumizi ya vilainishi bali amepiga marufuku mashirika yasiyo ya Kiserikali kusambaza vilainishi kwa...
Waja walinena 'Mwungwana ni Vitendo'....not empty rhetoric!
1. Rais Magufuli hadharani anakemea wengine kujilimbikizia vyeo lakini yeye ameukubali mzega-mzega wa Urais na Uenyekiti wa CCM...
2...
PANCRAS Ndejembi ni jina maarufu katika ulingo wa siasa nchini.
Msemo wa ‘Uzee ni dawa’ hauwezi kumuweka kando mzee huyu, hasa zinapozungumzwa si tu siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) bali...
Naufananisha uamuzi wa Rais Magufuli kutangaza ghafla kuikimbia Dar es Salaam na kuhamia Dodoma sawa na Safari ya miaka 11 ya Makaburu wa Kidachi walipowakimbia watawala wa Kiingereza kutoka...
Sasa ni rasmi, wengi walio upinzani wamekereka sana kwa wabunge wa UKAWA kususia vikao vya bunge.
Alianza Mrema wa TLP.
Yeye ameita kususia bunge kama kuzira.
Na amesema kuzira ni tabia ya...
DAWA YA HAWA WATU SIKU ILE TUNGEJUA KUWA WALIKUWA NA MAWAZO YA KUTUNGURUMIA PALE UKUMBINI ILIKUWA TUIMBE TU WIMBO WA TUNAIMANI NA JAKAYA KIKWETE HALAFU TUONE NANI MWAMBA KATI YA JPM NA JK NA...
RAIS John Magufuli amewataka Watanzania wasichezee amani kwa kuwa Tanzania ni nchi pekee iliyobakia kuwa kisiwa cha amani.
“Tusichezee amani. Tuidumishe amani yetu kwani kuna watu walijitoa...
Ni kwenye hafla ya wasanii Dodoma
Msanii nguli wa filamu nchini muda huu katika hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mh. Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kurejea CCM.
"Nilipotea kwenda...
HUYU ni ‘jembe’. Rais na Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete analazimika kuazima maneno ya Kingereza kueleza sifa zaidi.
“You are the great man” (mwanamume wa shoka)...
MOJA ya changamoto kubwa zinazoyakabili Magereza nchini ni mrundikano wa wafungwa na mahabusu.
Kutokana na changamoto hiyo, serikali imekuwa na jitihada mbalimbali za kuhakikisha inalipunguza ama...
KATIKA kile kilichodhihirisha kwamba Rais John Magufuli ni muwazi na hana tabia ya kuficha kile anachokiamini, Jumamosi alituma salamu kwa wana- CCM kuhusu namna CCM atakayoiongoza itakavyokuwa...
SASA ni dhahiri kuwa azimio lililotangazwa miaka 43 iliyopita la kubadili makao makuu ya nchi kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma limepata kasi mpya, baada ya kusuasua kwa muda mrefu kufuatia hatua...
Kampuni ya kibiashara ya Ndege za Bombardier ya nchini Canada imetoa taarifa leo July 25, 2016 kuwa imeingia mkataba na serikali ya Tanzania wa kuuza ndege mbili aina ya Q400 turboprop airliners...
Katika nchi ambazo haziheshimu demokrasia wala utawala wa sheria, wapinzani ni fungu la kukosa. Huweza kupigwa na polisi au vikundi vya vijana wa vyama tawala na wasiwe na mahali pa kushtaki...
CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians
Kwa mtu mwenye mawazo huru atakubaliana na mimi kuwa CHADEMA hii ya kabla na baada ya uchaguzi wa 2010...
Zitto Kabwe aiunga mkono kauli ya Rais Magufuli
Udaku Specially 3 hours ago
[https://3]
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameunga mkono kauli ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
"Sisi wafugaji, ng'ombe akikatika mkia huwa hatumzuii kuingia zizini ila akiingia zizini ng'ombe wenzake humjua kuwa amekatika mkia". Mh Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr John Pombe...
Serikali imenunua ndege mbili kutoka Canada za aina ya Bombardier
======
Bombardier today announced that the company received a firm order for two Q400 turboprop aircraft from the Tanzanian...
Utaki Acha..
Amekuwa kama Ngazi fulani ya Kuinukia either akusaidia direct au kumkandia hapa hapo utainukia juu kisiasa Ana Nyota kali sana... Jaribu tu utawini.. Akiwa ndani ya CCM wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.