Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,525
- 10,014
Utaki Acha..
Amekuwa kama Ngazi fulani ya Kuinukia either akusaidia direct au kumkandia hapa hapo utainukia juu kisiasa Ana Nyota kali sana... Jaribu tu utawini.. Akiwa ndani ya CCM wengi walifanikiwa kwa uwepo wake na haina siri hata kidogo... ameingia Upinzani wabunge wengi wa upinzani wamepata tena wengine kwa mshangao... Yule Mama wa CCM alishawahi sema Hakuna Mwanaume kama Lowassa...
Utaki Acha zama kwenye List down there
Nape,
Makonda,
Kikwete
Fuli
Msinda
Kubene
Lema
Burian
Na kuendelea list ni ndefu na haiishi
Huyu Mtu aachwe kama alivyoachwa Marehemu Mtikila kila asemalo always huwa halina ubaya na lina maana pia msisahahu ukifuata ushauri wake lazima ufanikiwe... am sure kuna siku atapewa Utume si mtu wa Kawaida... aliwapa watu msisimiko mno... na hilo halina siri Kinachonishangaza yeye anapenda Amani.... kwa hilo mimi nikakili
Hahahahahaha
Amekuwa kama Ngazi fulani ya Kuinukia either akusaidia direct au kumkandia hapa hapo utainukia juu kisiasa Ana Nyota kali sana... Jaribu tu utawini.. Akiwa ndani ya CCM wengi walifanikiwa kwa uwepo wake na haina siri hata kidogo... ameingia Upinzani wabunge wengi wa upinzani wamepata tena wengine kwa mshangao... Yule Mama wa CCM alishawahi sema Hakuna Mwanaume kama Lowassa...
Utaki Acha zama kwenye List down there
Nape,
Makonda,
Kikwete
Fuli
Msinda
Kubene
Lema
Burian
Na kuendelea list ni ndefu na haiishi
Huyu Mtu aachwe kama alivyoachwa Marehemu Mtikila kila asemalo always huwa halina ubaya na lina maana pia msisahahu ukifuata ushauri wake lazima ufanikiwe... am sure kuna siku atapewa Utume si mtu wa Kawaida... aliwapa watu msisimiko mno... na hilo halina siri Kinachonishangaza yeye anapenda Amani.... kwa hilo mimi nikakili
Hahahahahaha