Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MAKATIBU WAKUU EAC WAKUTANA KWA MAANDALIZI YA MKUTANO WA 25 WA WAKUU WA NCHI Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana...
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Habari ya Sunday wana GT! Nimetafakari sana kuhusu Ongozi (sio sanifu) zetu za kiafrika za kutumia nguvu nyingi kupitiliza kwa kukandamiza uhuru wa Raia na mali zao. Hii imekuwa ni kawaida kwa...
12 Reactions
96 Replies
1K Views
PASCHAL MAYALA NA KABURI LA MEDIA! Nimeona taarifa inayosema Baraza la Ithibati la Waandishi wa Habari limempa Paschal Mayala saa 24 athibitishe kauli yake kuwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba...
12 Reactions
9 Replies
488 Views
  • Featured
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Said Issa Mohammed na wenzake kupinga Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali...
7 Reactions
10 Replies
669 Views
  • Redirect
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar kimekanusha madai yaliyotolewa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho visiwani humo, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba...
1 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Akizungumza kwenye msiba wa Kardinali Pengo Emmanuel Nchimbi Makamu wacRais wa Tanzania amesema yeye masuala ya kugombana kwa vyama anaona ni mambo ya kijinga
7 Reactions
97 Replies
2K Views
  • Redirect
https://youtu.be/rVIRbPTWXCc?si=ZdgDPX1w1zPddYtN Uingereza nayo imemkaba koo Samuya muuaji... Yataka uchunguzi huru na wazi... Yarahisisha na kusafisha njia ya Samuya na wahuni wenzake kuelekea...
1 Reactions
Replies
Views
Mazungumzo kati ya mwandishi wa DW Kiswahili, Sudi Mnette alipokutana na mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Pascal Mayala ambaye anaelezea sakata lililomkabili siku...
3 Reactions
0 Replies
184 Views
Wakati Serikali imezindua Mpango Mkakati wa Kisayansi wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (2025/26–2030) kwa lengo la kuhakikisha ifikapo mwaka 2030 watoto wote wa Tanzania wanamudu...
2 Reactions
11 Replies
170 Views
Leo Machi 04, 2026 akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga, Jijini Dodoma, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita kwenda kuchunguza ujenzi wa...
2 Reactions
10 Replies
201 Views
Maana, mtindo wa mapigano yanayoendelea mashariki ya kati, ni kama vile unajumuisha na kuwakilisha wahusika katika pande zote za dunia. Kama mtanzania binafsi, umejiandaaje katika kuzikabili...
1 Reactions
32 Replies
358 Views
  • Featured
Rais Samia, ameiagiza Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya taifa ili kuilinda nchi dhidi ya misukosuko ya siasa za kidunia na kupanda kwa bei ya nishati. Akizungumza leo...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
ASKOFU HAKATISHWI TAMAA KWA UWONGO! Wiki chache zilizopita, aliyekuwa mgombea wa Ubunge katika Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya CHAUMMA...
15 Reactions
20 Replies
589 Views
02 March 2026 TAARIFA: Rais Mahama afungua rasmi mwaka wa Mahakama ya Afrika jijini Arusha leo 02 March 2026 Rais John Dramani Mahama aliondoka Accra Ghana Jumapili, tarehe 1 Machi 2026, na...
3 Reactions
9 Replies
203 Views
Nimeoona Clip ikisambaa mitandaoni kuwa yeye . Mwigulu Nchemba hawezi kufanywa kitu na mtu yoyote. Alishapambana na wenye dawa hasa wamasai tangia anachunga ng'ombe maporini. Hii imekaaje na...
3 Reactions
5 Replies
173 Views
My two cents from a distance. Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM. Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta...
13 Reactions
68 Replies
3K Views
  • Featured
Wakuu, Sasa hivi ni suala la muda tu hadi watembea kwa miguu wataanza kulipishwa kodi Serikali imeona watu wanastarehe kwa bei ya kawaida kwenye sehemu za kuogoelea, wanataka sasa wawatoze kodi...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Serikali ta Tanzania imetoa msimamo ikisema Tanzania inayo mifumo ya kulinda haki za binadamu, ambayo ina vigezo vya kimataifa. Msimamo huo ulitolewa leo Machi 4 na Balozi wa kudumu wa Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Wakuu, Akizungumza leo Februari 28, 2026 Makamu wa Rais wa Tanzania Emmanuel Nchimbi amesema "Kazi ya kutumikia nchi sio rahisi sana ni ngumu. Ina vishawishi ina vitisho lakini ndio maana...
6 Reactions
60 Replies
757 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…