MAKATIBU WAKUU EAC WAKUTANA KWA MAANDALIZI YA MKUTANO WA 25 WA WAKUU WA NCHI
Makatibu Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana...
Habari ya Sunday wana GT!
Nimetafakari sana kuhusu Ongozi (sio sanifu) zetu za kiafrika za kutumia nguvu nyingi kupitiliza kwa kukandamiza uhuru wa Raia na mali zao. Hii imekuwa ni kawaida kwa...
PASCHAL MAYALA NA KABURI LA MEDIA!
Nimeona taarifa inayosema Baraza la Ithibati la Waandishi wa Habari limempa Paschal Mayala saa 24 athibitishe kauli yake kuwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba...
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Said Issa Mohammed na wenzake kupinga Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar kimekanusha madai yaliyotolewa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho visiwani humo, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba...
Wakuu,
Akizungumza kwenye msiba wa Kardinali Pengo Emmanuel Nchimbi Makamu wacRais wa Tanzania amesema yeye masuala ya kugombana kwa vyama anaona ni mambo ya kijinga
https://youtu.be/rVIRbPTWXCc?si=ZdgDPX1w1zPddYtN
Uingereza nayo imemkaba koo Samuya muuaji...
Yataka uchunguzi huru na wazi...
Yarahisisha na kusafisha njia ya Samuya na wahuni wenzake kuelekea...
Mazungumzo kati ya mwandishi wa DW Kiswahili, Sudi Mnette alipokutana na mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Pascal Mayala ambaye anaelezea sakata lililomkabili siku...
Wakati Serikali imezindua Mpango Mkakati wa Kisayansi wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (2025/26–2030) kwa lengo la kuhakikisha ifikapo mwaka 2030 watoto wote wa Tanzania wanamudu...
Leo Machi 04, 2026 akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga, Jijini Dodoma, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Geita kwenda kuchunguza ujenzi wa...
Maana,
mtindo wa mapigano yanayoendelea mashariki ya kati, ni kama vile unajumuisha na kuwakilisha wahusika katika pande zote za dunia.
Kama mtanzania binafsi,
umejiandaaje katika kuzikabili...
Rais Samia, ameiagiza Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya taifa ili kuilinda nchi dhidi ya misukosuko ya siasa za kidunia na kupanda kwa bei ya nishati.
Akizungumza leo...
02 March 2026
TAARIFA: Rais Mahama afungua rasmi mwaka wa Mahakama ya Afrika jijini Arusha leo 02 March 2026
Rais John Dramani Mahama aliondoka Accra Ghana Jumapili, tarehe 1 Machi 2026, na...
Nimeoona Clip ikisambaa mitandaoni kuwa yeye . Mwigulu Nchemba hawezi kufanywa kitu na mtu yoyote.
Alishapambana na wenye dawa hasa wamasai tangia anachunga ng'ombe maporini.
Hii imekaaje na...
My two cents from a distance.
Siyo siri kwamba naunga mkono kutokushiriki chaguzi za maigizo zinazoendeshwa na CCM.
Naunga mkono harakati karibu zote za mwenyekiti mpya wa CHADEMA za kuleta...
Wakuu,
Sasa hivi ni suala la muda tu hadi watembea kwa miguu wataanza kulipishwa kodi
Serikali imeona watu wanastarehe kwa bei ya kawaida kwenye sehemu za kuogoelea, wanataka sasa wawatoze kodi...
Serikali ta Tanzania imetoa msimamo ikisema Tanzania inayo mifumo ya kulinda haki za binadamu, ambayo ina vigezo vya kimataifa.
Msimamo huo ulitolewa leo Machi 4 na Balozi wa kudumu wa Tanzania...
Wakuu,
Akizungumza leo Februari 28, 2026 Makamu wa Rais wa Tanzania Emmanuel Nchimbi amesema
"Kazi ya kutumikia nchi sio rahisi sana ni ngumu. Ina vishawishi ina vitisho lakini ndio maana...