Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

EU statement to UN. Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in...
17 Reactions
47 Replies
792 Views
Kampuni ya sheria ya kimataifa Amsterdam & Partners LLP, inayoongozwa na Wakili Robert Amsterdam, imewasilisha maombi rasmi kwa Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG) kutaka serikali za...
16 Reactions
55 Replies
983 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempangia kituo cha kazi Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Moses Kusiluka, Balozi Mhandisi...
0 Reactions
5 Replies
295 Views
Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, ametembelea Ubalozi wa Iran nchini Tanzania kutoa salamu za pole kufuatia kifo cha Kiongozi Mkuu wa...
4 Reactions
16 Replies
426 Views
Wanabodi Leo nimepata tena fursa ya kuwaletea PMNA. Kwa vile hii PMNA ni kitu kipya, hizi siku za mwanzo nitakuwa kila siku nikifafanua PMNA ni nini. PMNA ni news analysis, uchambuzi wa...
10 Reactions
28 Replies
612 Views
Hamjambo! 1. Ni sawa uoe/kuolewa alafu useme nikijipenda inatosha, au akinipenda Mama inatosha. Mkeo au mumeo asipokupenda tafsiri yake hakuna ndoa hapo. 2. Uongozi unatokana na mapenzi...
6 Reactions
13 Replies
376 Views
Mwaka jana, Serikali ya Tanzania ilitangaza mpango wa kujenga barabara ya Usagara – Mwanza Mjini (KM 25) kwa kiwango cha njia nne (dual carriageway) ili kupunguza msongamano na ajali zinazoendelea...
2 Reactions
5 Replies
163 Views
Mahakama kesho inatarajiwa kuanza kusikiliza hoja za Tundu Lissu kuhusu ombi lake la kuunganishwa katika kesi inayohusu mgawanyo wa mali za chama cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
1 Reactions
0 Replies
104 Views
Hebu tusaidiane uelewa, nini kinapaswa kufanyika itokeavyo hayo? Viongozi ni binadamu kama mimi au wewe na hali hiyo yaweza kumtokea yeyote!
8 Reactions
22 Replies
331 Views
Mama Samia sio yule wa 2021-2022 ndiyo maana haongelei rushwa kabisa.
2 Reactions
10 Replies
156 Views
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO) ACT Wazalendo Februari 28, 2026 Mhashamu Sana Thaddaeus S. Ruwa'ichi OFMCap Askofu Mkuu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam S.L.P 167 DAR...
1 Reactions
1 Replies
146 Views
Salama comrades? Nimeiona thread hii: Mwigulu, Kigwangalla, Makonda jibuni tuhuma hizi nzito, aliyeandika naona hajui historia yangu. Ni vema kuweka rekodi sawa: Kwanza anasema nilikuwa nanaitwa...
144 Reactions
1K Replies
170K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, tarehe 5 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
1 Reactions
8 Replies
252 Views
Waziri mkuu ambaye wanasema Ila Mimi upatikanaji wako Mwigulu Nchemba sioni kama ni halali, Kuna jambo la msingi! Bado dogo we ni mchanga sana ! Punguza makeke Mwaka 2028 tunaweza kuwa tuna...
7 Reactions
11 Replies
369 Views
Viongozi waliokataa kukubali mabadiliko wanayodai mwananchi katika Nchi zao,kama kupinga ubaguzi wa rangi Nchini South Africa. Chaguzi za viini macho kama Tanzania Uganda na Mozambique, utekwaji...
2 Reactions
1 Replies
69 Views
Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi...
11 Reactions
214 Replies
25K Views
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema mkoa wa Dar es Salaam bado unaongoza kwa matukio ya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania, huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni msongamano wa watu...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, tarehe 5 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam. #KaziNaUtuTunasongaMbele...
0 Reactions
Replies
Views
Hiyo ni kutokana na hali ya utovu wa kiusalama unaochochewa mapigano makali yanoyoendelea mashariki ya kati kwasababu ambazo ni kizungumkuti mpaka sasa. Ni wazi kwa mwaka huu2026, upo uwezekano wa...
1 Reactions
1 Replies
121 Views
Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni? HIi ni hoja nzito sana na sii ya kuchukuliwa kirahisi Ili Chama cha Siasa kikue...
1 Reactions
157 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…