Kipindi nagawa vipeperushi vya amani kwenye mitaa mbalimbali ya mji wa Iringa, jeshi la polisi mkoani humo limeanza kunibugudhi kisa ujumbe uliopo ndani ya vipeperushi.
Ujumbe huo ni mfupi tu...
Kwa hili niwape kongole wazee wa geti jeusi wale wazee wa kitengo, huo ushauri mlioupa imekaa vizuri sana, maana Dunia haituelewi hadi muda huu, hata wafanyabiashara wa sekta ya utalii hawaelewi...
Watu wa X, Chadema na watanzania wengine wanamlaumu sana Thobias Mwesiga Kwa matendo yake ya kihalifu. Hii ndo biography ya Thobias Mwesiga.
Huyu bwana alizaliwa katika kitongoji Cha Nyarubanja...
Aisee hawa watu wapo mbele sana kwa intelejensia ya uhakika.
Hawanaga kuficha ficha wala uchawa wao ni straight.
====
Ufuatiliaji wa JamiiCheck:
Video inapotosha uhalisia kwani imetumiwa...
Nikisubiri 2040 ndio aishike nchi,sina uhakika na uhai wangu kutokana na umri wangu.
Japo Mimi ni Dola,lakini siwaani hawa wenzangu kama watampitisha hiyo 2040.
Hivyo muda pekee ni hii 2030 kwani...
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Hawa watu wanasema wanataka kuandamana ni kweli wanataka kuikomboa nchi au wanataka kurudisha nyuma maendeleo na kutupeleka kwenye Stone Age ?
Moyo wangu umejawa na furaha kama Ile ya Abel (Habil) baada ya kutoa sadaka ya kukubalika mbele za Mungu.
Ingawa sadaka ya Abel ilikuwa na wivu dhidi ya ndugu yake Kaini.
C&P from Belvin Kagoma facebook
MAKALA: Operesheni ya Kupambana na Kelele Kariakoo – Je, Dar itarejesha Utulivu wa Soko Kubwa Zaidi Nchini?
Utangulizi
Jiji la Dar es Salaam limeingia rasmi...
Kwenye Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania zipo wizara za mambo ya muungano na zipo ambazo si za kimuungano.
Kwa mujibu wa makubaliano ya Tanganyika na Zanzibar ya mwaka 1964, kutakuwa na...
Mabadiliko ya Katiba ni maboresho ya kilichopo siku zote lengo hua ni hilo na ni jambo sio la sisi Wananchi pekee pia linahusu ambao hatma ya Nchi yetu ipo mikononi mwao na ni jambo linalogharimu...
ANDREW NYERERE NI MGONJWA WA AFYA YA AKILI , ASAIDIWE MAOMBI.
Familia ya mwalimu Nyerere ilipata bahati mbaya sana na haikuwa bahati kwa huyu mtoto wake Andrew Nyerere ambaye ni mtoto mkubwa wa...
Siku chache zilizopita huko nchini India kulikuwepo na maandamano makubwa ya wanafunzi kupinga uvujaji wa mitihani ya wanafunzi wanaosomea udaktari.
Yalikuwa ni maandamano makubwa sana...
Kila alichozungumza kimejaa uongo wa kiwango cha chini mno!
Ikiwa No Reforms No Election ya Chadema imeitwa Uhaini na kusababisha Tundu Lissu kukamatwa hicho anachokisema Nchimbi ni kipi?
Kama...
Habari za wakati huu.
Nipo hapa baada ya kupata wakati mgumu kuelewa watanzania ni watu wa namna gani ndio maana nimekuja na mada hii.
Kuna kitu huwa tunaelezwa ambacho ni uzalendo.Kwa tafsiri...
Hamjambo!
Hii nchi ipewe tuzo kwa kurukia mambo na matukio. Sijui nilie. Nikajirushe ghorofani au pale ferry.
Yaani Madowo alivyokuwa anaripoti. Daah! Acha tuu.
Wadau tunafanyaje hapa? Wale wa...
Niseme ukweli mimi kama mr Pipa nina miezi zaid ya 7 sijawahi kumsikiliza raisi wangu au kuangalia hutuba zake na sijui saizi raisi anamwonekano upi yote kutokana na kuni kera hasa kwenye hutuba...
Kauli ya Mkamu wa rais ni TATA inatafsiri zaidi ya moja.
LAKINI CHA MUHIMU NA MSINGI ZAIDI NI KUIPATA KATIBA MPYA NA KUWA NA UTASHI WA KUIFUATA KATIBA KWANI NCHI INAWATU WENGI 70M NDANI HUMO...
Nawaza tu.
2030 kamati kuu wamfanyie Figisu Imma, asiorodheshwe kwenye 5 bora ya watia nia nafasi ya Uraisi.
Alaf Imma akaamua kwenda Chadema.
Mind you Lissu pia yuko Huru.
Huo Mtanange wake...