Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kilwa, Abdshakuru Abubakari Mohammed amesema kwa sasa CHADEMA inatumia mabavu na haifuati katiba ya chama.
"Leo...
Katika makala yangu nimeanisha njia 22 ambazo viongozi wengi huzitumia kurubuni na kuongoza hisia za Raia...
Leo nitakutajia zote, jina langu ni Robert kisunte....
Huwenda njia hizi zimetumika...
Tangu wamwagwe, sijawasikia hao machawa hapo juu. Anayejua wako wapi na wanafanya nini atujuze. Kama wako humu wajue, tunafurahia walivyofanyiwa kitu mbaya baada ya kutumika na kutupwa kama ganda...
Ubabe wote wa Marekani, to me, seems nothing! Nilitegemea mpaka sasa Iran angelikuwa " non existent" with regard to military survival, ndiyo kwanza anaamsha masharubu kuliko huko nyuma.
Nyerere...
Wakuu
Baada ya Nape kupost picha akichambua mboga za majani leo naona Bashungwa nae kaleta drama ya aina yake.
Hawa wanasiasa wanatuonaje jamani Watanzania?
Yaani Bashungwa anakula kwenye...
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amevaa Makamu Mwenyekiti wa CCM Steven Wasira
Hahaaha Mzee yaani mmekua madarakani miaka 65 hamjaweza kupelekea watu...
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio...
Wanaomchukulia Mwigulu kirahisi rahisi wanakosea Sana.
Siwezi zungumzia uadilifu wake lkn najua anavyojua kusaka pesa akiwa kwenye mamlaka.
Alipokuwa naibu tu Wizara ya fedha kwa miaka 2 tu...
Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Julai 26, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa ya chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Omary Nondo amewasilisha mapendekezo makuu...
Mwasisi wa katiba hii,Ni Nyerere, aliitumia kuendesha utawala wa kiimla,Mfano kuzuia wapinzani wake kusafiri nje ya maeneo fulani,kuaminisha watu kuwa Fikra zake ndio bora na zidumu ( alikuwa na...
Katika taarifa yake kwa wanahabari, Sheikh Saidi Mwaipopo amelaani vikali mbinu zinazotumiwa na baadhi ya wanachama na viongozi wa chama cha CHADEMA, akidai kuwa wanatengeneza taswira ya kuwa wema...
Makamanda Shalom!
Nimekua nikitafakari kwa muda sana ni ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA atajiuzulu ili uchunguzi huru ufanyike kwani sisi wanachama tunapata shida sana huku mitaani chama...
Viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Shinyanga wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga, Jumanne ya tarehe 28 Julai, 2026, na kusomewa mashtaka...
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua haki za msingi za wananchi, huku ikiruhusu haki hizo kuwekwa mipaka kwa mujibu wa sheria pale inapohitajika kwa usalama wa taifa, amani na...
Je, Zanzibar ni Nchi (State) au siyo? Hebu Tuache Hisia, Tuzungumze kwa Sheria.
Kila mara mjadala huu unajirudia.
"Zanzibar ni nchi?"
"Au ni sehemu tu ya Tanzania?"
Badala ya kubishana kwa...
Yaani kwa jinsi kila mtu anavyo muongelea vibaya, hadi yeye kajikatia tamaa.. Anasubiri siku ifike tu.
Je, anasitahili kukatishwa uhai? Kwamba ndo muovu wa kwanza tangu Tanzania iundwe?
Kwani...
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na...