Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Haya nawaulizeni nyie Wazushi na Watu wenye Chuki za Kishamba na Kipumbavu kwa Rais Samia Suluhu Hassan na Serikali yake je, na hizi nchi zingine tajwa hapa katika hii Taarifa ya Reuters nazo pia...
2 Reactions
27 Replies
638 Views
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Mhe. James Bwana, amefafanua kuwa video inayosambaa mitandaoni haihusiani na matukio ya hivi karibuni ya vurugu dhidi ya raia wa...
0 Reactions
3 Replies
154 Views
Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
1 Reactions
1 Replies
125 Views
Taifa liweze kupona msingi wake lazima huwe ukweli na uwajibikaji sasa hii Tume Jaji chande imejikita kwenye propaganda za kitoto Je kweli nyie mnataka kuliponya Taifa...
3 Reactions
9 Replies
152 Views
Salaam, Leo Makamu Mwenyekiti akiwa kwenye Mkutano wa Ndani ya chama huko Kibamba Shule Dar Es Salaam, amesema Huyu mama anayeongoza Nchi, alitoa ndege ifuate ndugu zake na Familia yake huko...
17 Reactions
28 Replies
811 Views
Watanzania wengi wamesikitika sana kuona kuwa eti Act Wazalendo inaungana na Chadema kupinga ripoti ya kada wa CCM Chande Othman. Act Wazalendo ilikuwa pamoja na CCM mtandao. Chama cha mafisadi...
0 Reactions
7 Replies
164 Views
"Mtu mwenye akili akikushauri jambo la kipumbavu nawe ukafanya, atakudharau"- J.K Nyerere Mwaka 2023 nchi nzima iligawanyika sana. Watu wanamtetea MAMA na mradi wake wa DP World. Vinara wa huu...
55 Reactions
210 Replies
3K Views
Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
1 Reactions
3 Replies
210 Views
Nyumba kwa nyumba wanachama washawishiwe kujiandikisha. Iundwe timu maalumu kushughulikia hili. Ndani ya miezi sita Chadema itakuwa na wanachama wengi. Gen Z iwe kipaumbele. .Baada ya hapo...
16 Reactions
41 Replies
333 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman, akizungumza na waandishi wa habari tarehe 28 Aprili 2026
0 Reactions
14 Replies
296 Views
Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma ameyasema hayo leo Aprili 28, 2026 wakati Tume ya Jaji Othman Chande ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya ripoti hiyo iliyowasilishwa mbele ya Rais Samia...
0 Reactions
2 Replies
127 Views
  • Redirect
Nimefuatilia mazungumzo ya tume. Naona wako busy kujitetea badala ya kutufafanulia na kuthibitisha ushahidi kwa kile kilichotokea..!?
0 Reactions
Replies
Views
Hata turuke juu chini na tupige sarakasi za kila aina, zitaundwa tume za kila aina, kamati za amani, maridhiano na blah blah nyingine zote ila mwisho wa siku kama tutaka kuwa na nchi ya...
3 Reactions
2 Replies
91 Views
Jaji mkuu Mstaafu Ibrahim Juma ameyasema hayo wakati tume ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali katika ripoti hiyo iliyowasilishwa Aprili 23, 2026
0 Reactions
3 Replies
178 Views
Jaji mkuu Mstaafu Ibrahim Juma ameyasema hayo wakati tume ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali katika ripoti hiyo iliyowasilishwa Aprili 23, 2026.
2 Reactions
11 Replies
178 Views
Jaji Mkuu Mstaafu Othman Chande ameyasema hayo leo Aprili 28, 2026 wakati Tume ya Jaji Othman Chande ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya ripoti hiyo iliyowasilishwa mbele ya Rais Samia...
0 Reactions
3 Replies
141 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman, akizungumza na waandishi wa habari tarehe 28 Aprili 2026
0 Reactions
7 Replies
196 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman pamoja na wajumbe wa tume wakizungumza na waandishi wa habari...
1 Reactions
3 Replies
164 Views
Wakili Peter Madeleka akizungumzia ripoti ya Jaji Chande, amesema kuwa tume hiyo haikuwa na mamlaka yoyote kisheria kumwamrisha pathologist kwenda kuchunguza vifo vya wanaodhaniwa kufa kwa...
6 Reactions
7 Replies
253 Views
Ripoti Tume ya Samia chini ya uenyekiti wa "Jaji Mstaafu" Othman Chande is full of self - contradictory statements and statistics of the number of deaths Tunamshukuru Mungu wa mbinguni sana ktk...
7 Reactions
17 Replies
377 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…