CHADEMA inakosea sana kufanya ushirikiano na Act Wazalendo chama ambacho ni kibaraka wa CCM. Naanza kuwa na mashaka na John Heche

CHADEMA inakosea sana kufanya ushirikiano na Act Wazalendo chama ambacho ni kibaraka wa CCM. Naanza kuwa na mashaka na John Heche

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,396
Reaction score
9,265
Watanzania wengi wamesikitika sana kuona kuwa eti Act Wazalendo inaungana na Chadema kupinga ripoti ya kada wa CCM Chande Othman.

Act Wazalendo ilikuwa pamoja na CCM mtandao. Chama cha mafisadi kwenye uchaguzi feki wa Oktoba 29, 2025 mwaka 2025. Ambao umeshuhudia watu wakipigwa risasi wakiwa majumbani kwao.

Leo hii John Heche anashirikiana na hawa Act Wazalendo!
 
Watanzania wengi wamesikitika sana kuona kuwa eti Act Wazalendo inaungana na Chadema kupinga ripoti ya kada wa CCM Chande Othman.

Act Wazalendo ilikuwa pamoja na CCM mtandao. Chama cha mafisadi kwenye uchqguzi feki wa Oktoba 29 mwaka 2025. Ambao umeshuhudia watu wakipigwa risasi wakiwa majumbani kwao.

Leo hii John Heche anashirikiana na hawa Act Wazalendo!
Sioni logic ya argument yako. Ulitaka CHADEMA wasipinge kama ACT Wazalendo wamepinga?
 
Watanzania wengi wamesikitika sana kuona kuwa eti Act Wazalendo inaungana na Chadema kupinga ripoti ya kada wa CCM Chande Othman.

Act Wazalendo ilikuwa pamoja na CCM mtandao. Chama cha mafisadi kwenye uchqguzi feki wa Oktoba 29 mwaka 2025. Ambao umeshuhudia watu wakipigwa risasi wakiwa majumbani kwao.

Leo hii John Heche anashirikiana na hawa Act Wazalendo!
Endelea kuwa na mashaka, usijipe umuhimu kwenye jamii
 
Hakuna adui wa kudumu kwenye siasa kila uamuzi huzingatia merits na mazingira halisi. CDM wako sahihi kuungana nao angalau kwa hili la ripoti ya Chande interests zime concede.
 
Katika issues za kuipinga ripoti ya chande sioni tatizo chadema wakiungana na wapingaji wengine wote wakiwemo hao ACT...kikubwa ni kuipinga, full stop!.
 
Back
Top Bottom