Duuh! Ungetulia kwanza ili uandike kwa usahihi ueleweke. Hadi spelling zimekushinda kisa harakaACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Yani kwa hili la makinikia CCM mmechanganya bangi na nywele za chini ya kiuno.Tulieni mkojoe upepo?
Sasa hivi mnawadai kodi zaidi ya mara 60 ya mtaji wao.Ngojeni tutawaona tu na nyie.
Yani kwa hili la makinikia CCM mmechanganya bangi na nywele za chini ya kiuno.Tulieni mkojoe upepo?
Sasa hivi mnawadai kodi zaidi ya mara 60 ya mtaji wao.Ngojeni tutawaona tu na nyie.
Mkuu kwa miaka 17 wengepoteza kiasi gani vile kwa hio hio 0.3%..?ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Kweli kabisa kaka mkuu.yupo sawa sio kichaa na anajuwa kila kitu so inabidi walipe tuACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Kwani faida waliyovuna unaijua?Yani kwa hili la makinikia CCM mmechanganya bangi na nywele za chini ya kiuno.Tulieni mkojoe upepo?
Sasa hivi mnawadai kodi zaidi ya mara 60 ya mtaji wao.Ngojeni tutawaona tu na nyie.
mhuuu, uongo mwingine jaman, hv ukiwa unapoteza USD 1m kila siku baada ya miezi 6 utakuwa umepoteza 392B? We kwel mahaba na kijan yamekuzid sn, hebu tupe source ya hicho ulichoandika.ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Kwani hujui kugooglemhuuu, uongo mwingine jaman, hv ukiwa unapoteza USD 1m kila siku baada ya miezi 6 utakuwa umepoteza 392B? We kwel mahaba na kijan yamekuzid sn, hebu tupe source ya hicho ulichoandika.
Leo wamekuwa majambaz, jambaz huwa anatumia nguvu za ziada Ila Hawa jamaa sio majambaz walitumia akili na watu wenye......ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Tatizo hesabu zimekupiga chenga kwahiyo ulivyoona percent ni fraction basi umeona ni ndogo kweli kweli!ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year-Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Mkuu hufanani na avater yakoMara nyingi huwa nashauri, ukiona huna hoja sio lazima useme kitu kwenye uzi, unasoma, then unachapa lapa! What a shame big boy!!!