Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Huyu jamaa hapo juu alikamatwa na kupokea kipigo baada ya kuvamia kikao cha CUF na kupiga watu wakiwamo waandishi.
Uchunguzi wa awali ulionyesha alitumwa na Lipumba, Kambaya na kundi lao. Pamoja na polisi kusema watamshughulikia yeye na wenzake jambo hilo linaonyesha kuwa ndio limekufa.
Jee ni kwa sababu Lipumba ni MTU wao na yote afanyayo wanamuunga mkono? Na jee kama watu wataamua wakamatapo watu wa aina hiyo kuwashughulikia wenyewe kutakuwa na lawama kwao?