Trilioni 424? Tuacheni utani jamani

666 chata

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
1,688
3,816
Hivi ni kweli hawa waliopeleka hii assessment ya kodi kwa ilo shirika walipata kiasi icho? Jamni mbona hii ni hatari sasaa? Kiasi icho sasa ni trilion kama za zimbabwe au kama za hizi nchi zingine? hio kampuni inaweza kutoa wapi? Au wale wamejiandikia tu basi flani aone?

Figure hio ni sawa na kumpelekea muuza mkaa makadirio ya kodi ya gunia zake za toka 2013 hadi 2017 ziligharimu msitu mzima wa mbuga ya serengeti.

Tutumie elimu na weledi wetu vizuri waungwana, tueleweshane tu, africa moja hii, maana kuna mambo mengine unayaskia redion unajua labda mtangazaji kakosea kusema kiasi husika.

Endapo nchi yoyote ya kiafrica ikipata trilioni 424 papo kwa hapo basi itakua ni nchi ya nne kwa kua na uchumi mkubwa zaidi ndani ya bara hili na top 60 ya nchi tajiri duniani itakuemo vizuri tu.

Kwaio trilion 424 si ni sawa tu na matajiri watano wakubwa duniani wote wanyang'anywe mali zao ipewe ile nchi? Tobaa mbona tunaskia Bill Gates peke ake ana uwezo wa kuwapa buku buku watu wote duniani na chenchi ikabaki, jumlisha na wenzake tena?

Mambo nisiyopenda kuyaona africa ni eti kuchukua begi moja kubwa sanaa kwenda kununua tu nyanya sokoni, kua na noti hadi za milion 10.

Nliskia et Africa kuna shule za mabweni wanafunzi wake wanawekewaga mafuta ya taa kwenye vyakula vyao, au labda athari zake ndizo hizi sasa.

Tuache utani tuwe serius, haya ni mazingaombwe na yana aibisha watu wa ile nchi na kuonekana wao na shule ni mbali mbali.

NB. Hakuna nchi yoyote iliyotajwa jina hapa, tafadhali bhana tuheshimiane oooh.
 
Hapa ndiyo utaona jinsi TRA wanavyokurupuka na assessments zao ambazo ni za juu mnooo kutubambikia Watanzania kodi kubwa kuliko maelezo na matokeo yake kuathiri biashara nchini kwa namna mbali mbali. Hii assessment ya ACACIA imewaacha uchi kabisa. Sijui watakuja na utetezi upi wa hii assessment kubwa kiasi hiki.

Hivi ni kweli hawa waliopeleka hii assessment ya kodi kwa ilo shirika walipata kiasi iki? Jamni mbona hii ni hatari sasaa? Kiasi icho sasa hio kampuni inaweza kutoa wapi? Au wale wamejiandikia tu basi flani aone?

Figure hio ni sawa na kumpelekea muuza mkaa makadirio ya kodi ya gunia zake za toka 2013 hadi 2017 ziligharimu msitu mzima wa mbuga ya serengeti.

Tutumie elimu na weledi wetu vizuri waungwana, tueleweshane tu, maana kuna mambo mengine unayaskia redion unajua labda mtangazaji kakosea kusema kiasi husika.

Endapo nchi yoyote ya kiafrica ikipata trilioni 424 papo kwa hapo basi itakua ni nchi ya nne kwa kua na uchumi mkubwa zaidi ndani ya bara hili na top 60 ya nchi tajiri itakuemo vizuri tu.

Kwaio trilion 424 si ni sawa tu na matajiri watano wa kwanza duniani wote wanyang'anywe mali zao ipewe nchi? Tobaa mbona tunaskia Bill Gates peke ake ana uwezo wa kuwapa buku buku watu wote duniani na chenchi ikabaki, jumlisha na wenzake tena?

Mambo nisiyopenda kuyaona africa ni eti kuchukua begi moja kubwa sanaa kwenda kununua tu nyanya sokoni, kua na noti hadi za milion 10.

Nliskia et Africa kuna shule za mabweni wanafunzi wake wanawekewaga mafuta ya taa kwenye vyakula vyao, au labda athari zake ndizo hizi sasa.

Tuache utani tuwe serius, haya ni mazingaombwe na yana aibisha watu wa ile nchi na kuonekana wao na shule ni mbali mbali.

NB. Hakuna nchi yoyote iliyotajwa jina hapa, tafadhali bhana tuheshimiane oooh.
 
Hapa ndiyo utaona jinsi TRA wanavyokurupuka na assessments zao ambazo ni za juu mnooo kutubambikia Watanzania kodi kubwa kuliko maelezo na matokeo yake kuathiri biashara nchini kwa namna mbali mbali. Hii assessment ya ACACIA imewaacha uchi kabisa. Sijui watakuja na utetezi upi wa hii assessment kubwa kiasi hiki.

Sasa wakiitwa mahakama ya kimataifa wataenda na hesabu gan? 2000 to 2017 is equal to trilion 424 sir. Hahahahahahaha
 
Wataenda kuadhirika na kuiacha uchi TRA na hatimaye Watanzania walio wengi waanze kuhoji hizi assessments zao ambazo wafanya biashara wengi nchini wamelalamika kwa miaka chungu nzima sasa bila mafanikio yoyote. Je, aliyekuja na hizi namba uchwara atatumbuliwa!? Tega sikio.

Sasa wakiitwa mahakama ya kimataifa wataenda na hesabu gan? 2000 to 2017 is equal to trilion 424 sir. Hahahahahahaha
 
Historia inajirudia
Hao wa ACCACIA hela tuliokua tukiwadai TRILIONI KADHAA
UKIINGIA GOOGLE UKAANDIKA THE RICHEST MINNING COMPANY
hao hao ACCACIA utaona ndio maskini kabxaaa yaani kampuni yao ina handle milioni 7$ usd
Sasa tutalipwaje
Hapo ni sawa na kumpiga nkwenzi kinyago sijui nani ataumia
 
Naona ni muendelezo wa ccm kulitia taifa hasara kwa namna moja au nyingine hivi sasa wamekuja na hii wameona ile kuna watanzania watakula watapata sifa ya kuitwa mafisadi bora hii
 
Sio maigizo mkuu,ukitaka kukumbana hali km hii siku ombea uwe unarudi kutoka nje ya nchi,hlf ununue ka tv kako huko utokako,ukifika jkn airport jamaa wa tra watakapokupigia kodi unayotakiwa kuilipia utatamani uwaachie ako ka tv kenyewe
Nawajua sn mkuu, TRA wanafanya kumfurahisha bwana mkubwa, wanajua weakness ya bwana mkubwa.
 
Back
Top Bottom