666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,816
Hivi ni kweli hawa waliopeleka hii assessment ya kodi kwa ilo shirika walipata kiasi icho? Jamni mbona hii ni hatari sasaa? Kiasi icho sasa ni trilion kama za zimbabwe au kama za hizi nchi zingine? hio kampuni inaweza kutoa wapi? Au wale wamejiandikia tu basi flani aone?
Figure hio ni sawa na kumpelekea muuza mkaa makadirio ya kodi ya gunia zake za toka 2013 hadi 2017 ziligharimu msitu mzima wa mbuga ya serengeti.
Tutumie elimu na weledi wetu vizuri waungwana, tueleweshane tu, africa moja hii, maana kuna mambo mengine unayaskia redion unajua labda mtangazaji kakosea kusema kiasi husika.
Endapo nchi yoyote ya kiafrica ikipata trilioni 424 papo kwa hapo basi itakua ni nchi ya nne kwa kua na uchumi mkubwa zaidi ndani ya bara hili na top 60 ya nchi tajiri duniani itakuemo vizuri tu.
Kwaio trilion 424 si ni sawa tu na matajiri watano wakubwa duniani wote wanyang'anywe mali zao ipewe ile nchi? Tobaa mbona tunaskia Bill Gates peke ake ana uwezo wa kuwapa buku buku watu wote duniani na chenchi ikabaki, jumlisha na wenzake tena?
Mambo nisiyopenda kuyaona africa ni eti kuchukua begi moja kubwa sanaa kwenda kununua tu nyanya sokoni, kua na noti hadi za milion 10.
Nliskia et Africa kuna shule za mabweni wanafunzi wake wanawekewaga mafuta ya taa kwenye vyakula vyao, au labda athari zake ndizo hizi sasa.
Tuache utani tuwe serius, haya ni mazingaombwe na yana aibisha watu wa ile nchi na kuonekana wao na shule ni mbali mbali.
NB. Hakuna nchi yoyote iliyotajwa jina hapa, tafadhali bhana tuheshimiane oooh.
Figure hio ni sawa na kumpelekea muuza mkaa makadirio ya kodi ya gunia zake za toka 2013 hadi 2017 ziligharimu msitu mzima wa mbuga ya serengeti.
Tutumie elimu na weledi wetu vizuri waungwana, tueleweshane tu, africa moja hii, maana kuna mambo mengine unayaskia redion unajua labda mtangazaji kakosea kusema kiasi husika.
Endapo nchi yoyote ya kiafrica ikipata trilioni 424 papo kwa hapo basi itakua ni nchi ya nne kwa kua na uchumi mkubwa zaidi ndani ya bara hili na top 60 ya nchi tajiri duniani itakuemo vizuri tu.
Kwaio trilion 424 si ni sawa tu na matajiri watano wakubwa duniani wote wanyang'anywe mali zao ipewe ile nchi? Tobaa mbona tunaskia Bill Gates peke ake ana uwezo wa kuwapa buku buku watu wote duniani na chenchi ikabaki, jumlisha na wenzake tena?
Mambo nisiyopenda kuyaona africa ni eti kuchukua begi moja kubwa sanaa kwenda kununua tu nyanya sokoni, kua na noti hadi za milion 10.
Nliskia et Africa kuna shule za mabweni wanafunzi wake wanawekewaga mafuta ya taa kwenye vyakula vyao, au labda athari zake ndizo hizi sasa.
Tuache utani tuwe serius, haya ni mazingaombwe na yana aibisha watu wa ile nchi na kuonekana wao na shule ni mbali mbali.
NB. Hakuna nchi yoyote iliyotajwa jina hapa, tafadhali bhana tuheshimiane oooh.