Leo hii hawa ni wageni wa star tv wakiwa studio za Dar-es-salaam wakijadili siasa na muda husika inasema:"TUNAJIFUNZA NINI KWA WATAKA UONGOZI".
Mjadala umeanzia studio za Mwanza kwa hivi sasa ila...
Huu ni mwaka wa uchaguzi kwa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama na naona mambo yanaenda kimyakimya na kistaarabu. Kwa ngazi za chini chaguzi zimeshafanyika ndio najiuliza CCM imeamua...
Ni muda zaidi ya mwenzi madiwani watano kutoka Jimbo la Arumeru Mashariki wameshajiuluzu nafasi zao .
Madiwani wote ambayo wamejiuzulu nafasi zao wanatoka upinzani kwenda CCM wote wametoa sababu...
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Fadhil Nkurlu amesema kamati ya ulinzi na usalama imekamilisha utaratibu wa kuwasaka wanafunzi wenye mimba ili kuchukua hatua.
Aliitoa kauli hiyo juzi akiwa Kata ya Ntobo...
Mwenyekiti wa (CHADEMA) na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe amefunguka na kusema ni upambavu mkubwa kutumia zaidi ya milioni mia saba kwa ajili ya kufanya marudio ya uchaguzi wa udiwani wa kata tatu...
Kwa hali ilivyo, Mtawala wa sasa atakuwa anasumbuka mno kwenye nafsi yake namna ambavyo anaweza kuyadhibiti Mahakama ya Tanzania ili yawe na tabia za hovyo kama za Bunge la Tanzania chini ya...
Hili lilishawapata madaktari wa binadamu wa hospitali za umma (serikali) hapa kwetu na nchi jirani. Kwani hawa ambao kwanza si wa umma ni mhimu kuliko hao madaktari. Isitoshe tuna wahitimu wa...
Hii ni wiki ya pili sasa namwona Kassimu Majaliwa kahamia Cuba; hivi ni ziara ya kikazi au mapumziko binafsi kaamua kuyachagiza tu na vishughuli vya hapa na pale....kama ni ziara ya kikazi mbona...
Nimesikia clip ya Mheshimiwa sana Lissu. Wamesema kuwa kuwa wao kama baraza la mawakili wanafikiri kuwa kuvamiwa kwa ofisi za IMMMA advocates inatokana na kuwa wao IMMMA advocates wanawakilisha...
Labda mimi sijaelewa ndugu zangu watanzania wezanangu!!serikali ya Tanzania ina mgogoro na kampuni ya ACCASIA halafu leo kampuni ya uwakili inawatetea katika kesi hii? ok najua kuwa ni biashara...
Ni upuuzi kutumia matukio ya kujiengenezea halafu uyatumie kama mtaji wa kutafuta huruma za kimataifa ili kiingiza nchi kwenye machafuko.
Nasema hawa hawana lolote zaidi ya agenda ya kuihujumu...
Ndugu Wana jamvi, habari zenu!
Nikiwa natafakari kwa Imani yangu, na kuunganisha kile kinacho endelea sasa nchini, ninaona bado kuna shida sana. Nikianzia hapa, Ibilisi a.k.a Shetani, ana KAZI...
Anaandika Baraka Kimata
Diwani Kata ya Kitwiru -Iringa (CHADEMA)
*MANENO MACHACHE NILIYOYASEMA SIKU YA MKUTANO WA SHUKRANI NA KUTAMBULISHA MADIWANI BAADA YA CHADEMA KUSHINDA NA KUUNDA...
RIDWAN J.KIKWETE Mtoto wa kwanza wa Rais wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ambaye ni Muajiliwa wa IMMMA Advocates Ambayo ni miongoni mwa makampuni 22 yaliyochota pesa za EPA (B.O.T)
Nauliza...
Niliwahi kujitabiria binafsi baada ya mkuu wa inchi kuchukua madaraka kuongoza Tanzania yetu inchi itapoteza mwelekeo baada ya miaka miwili ya utawala. Kweli nuona utabiri wangu unakubaliana na...
Waziri wa zamani wa mambo yandani Lawrence masha alipata kazi ya uwaziri baada ya mtoto wa raisi kikwete kumwambia baba yake amchague na ndo yeye aliyemfanyie recommendation, sasa siwezi jua kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.