Ni kwa sababu nyie wote na Kibatala mnatoka Kaskazini? Hamuoni mnazidi kuwatia hofu Watanzania. Ukabila, Ukanda wa nini? Au bado mnaamini CHADEMA ya leo ni ya Enzi za mzee MTEI?
Watanzania...
Mrema asema miaka 15 ya mfumo wa vyama vya vingi imekuza demokrasia
Ikunda Erick
HabariLeo; Tuesday,October 09, 2007 @00:06
Mrema akihutubia katika mkutano.
TANGU nchi ipate Uhuru wake...
Rais Magufuli anataka viwanda ambavyo vilikuwa vya serikali vikabinafsishwa na kisha vimekufa , vitaifishwe na vifufuliwe jambo ambalo bila shaka lina nia njema.
Aidha, pamoja na nia hiyo njema...
Kwenye mjadala huu sizungumzii kama CCM "itashinda" tena mwaka 2020 bali najaribu kuona kama chama hcho kina uhalali wa kutuongoza tena kuanzia mwaka 2020 na kuendelea. Nimechagua kuzungumzia...
Juzi nikiwa Kibiti mkoani Pwani katika safari zangu za kutafuta mashamba nilibahatika kukutana na rafiki yangu niliekuwa nae Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), na baadae kupata ajira ya kudumu ktk...
NILIPO kuwa mdogo nilipata kusikia mtu mmoja aliyeitwa ikengya kutoka kwa wenzetu wa kanda ya ziwa, hasa wahya, ikengya alikuwa mtaalamu sana wa misemo na majibu ya kalaa, mfano mmoja ninao...
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.
Ni jambo la aibu Sana kwa...
..XYZ show imetengenezwa na mchora katuni maarufu mzaliwa wa Tanzania, Godfrey Mwampembwa au GADO.
..hii ni moja kati ya episodes nyingi zilizoko mtandaoni.
Uzi huu ni kuleta majumuisho mbali mbali toka kenya
Uzuri katika uchaguzi wao hakukuwa Na vitambulisho vya kupigia kura ,Bali Mtu alienda Na national ID inawekwa kwa mashine anaweka dole gumba...
Wana JF,
Kwenye mwanga usilete giza, hata kama ukinuna mashavu yakaota sugu lakini kusema ukweli, Rais Magufuri ni Nyota ingaayo kwa mbali kwani mwanga wake unaweza usione kama unakusaidia usiku...
Hivi leo huko Kenya wananchi wa Kenya wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, ikiwemo kumchagua Rais wa nchi hiyo atakayedumu kwa kipindi cha miaka 4 hadi mwaka 2021.
Katika uchaguzi huo...
President kenyatta has taken an early lead of total votes counted with 904477 votes against his closest competitor Raila odinga with 656293 votes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofisi ya Taifa ya Takwimu(TBS) imeitaka Kampuni ya Geopoll yenye ofisi zake za Ukanda wa Afrika Mashariki, Nairobi nchini Kenya imewataka kufuata taratibu zilizoainishwa kwa mujibu wa sheria ya...
Hadi sasa matokeo yanavyo zidi kutolewa na IEBC nchini Kenya ni wazi kwamba rafiki yake mkubwa Magufuli kakataliwa na hii iwe ni muongozo wa matokeo ya uchaguzi wa bongo kwa 2020
In God we trust
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.