Ridh1 alimwomba baba yake(raisi KIKWETE) amchague masha na akamchagua uwaziri

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
796
1,285
Waziri wa zamani wa mambo yandani Lawrence masha alipata kazi ya uwaziri baada ya mtoto wa raisi kikwete kumwambia baba yake amchague na ndo yeye aliyemfanyie recommendation, sasa siwezi jua kama na hao mawaziri wengine ni mke wake anayemchagulia:sad:
 

Fishyfish

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
231
0
I wouldn't be surprised if this turned out to be true. CCM is a corrupt party after all.
 

Mtoto wa Kishua

JF-Expert Member
Oct 15, 2009
834
147
Udaku huo, aliye mpendekeza Masha ni Lowassa sio RizOne. Labda Hawa Ghasia ndio kapendekezwa na mama Salma!
 

samoz

Member
Nov 2, 2010
32
1
Nadhani hamna data ,Masha ni mpiga debe wa bana nkubwa tangu akiwa foreign ,maana alikua anamuunganishia pipe za ukweli na jamaa anaenda kubandua mamtoni .hawa ni ma best sana ...hata huyo mkuu wa Uhasama wa nchi pia ni mtu wake sana ,kipindi yuko UK tulikua tunamuona sana wanakula bata wote viwanja hapa !
 

Rugemeleza

JF-Expert Member
Oct 26, 2009
668
136
Udaku huo, aliye mpendekeza Masha ni Lowassa sio RizOne. Labda Hawa Ghasia ndio kapendekezwa na mama Salma!
Ninachojua ni kuwa Ridhiwani anafanya kazi IMMMA Advocates na Masha ni miongoni mwa wakuu wa kampuni hiyo. Hiyo inaweza kujenga mazingira ya uswahiba na kubebana. Nikune nikukune.
 

Mtoto wa Kishua

JF-Expert Member
Oct 15, 2009
834
147
Ninachojua ni kuwa Ridhiwani anafanya kazi IMMMA Advocates na Masha ni miongoni mwa wakuu wa kampuni hiyo. Hiyo inaweza kujenga mazingira ya uswahiba na kubebana. Nikune nikukune.

RizOne alikua IMMA before JK hajawa raisi ndio ,internshhip pia alifanyia pale, ila aliye mvuta Masha ni Lowassa sio JK .
 

Mpambalyoto

JF-Expert Member
Mar 26, 2010
752
3
Ninachojua ni kuwa Ridhiwani anafanya kazi IMMMA Advocates na Masha ni miongoni mwa wakuu wa kampuni hiyo. Hiyo inaweza kujenga mazingira ya uswahiba na kubebana. Nikune nikukune.

Alikuwa anafanya kazi au anafanya kazi mapaka sasa?:doh:
 

LoyalTzCitizen

JF-Expert Member
Sep 15, 2010
2,212
808
Waziri wa zamani wa mambo yandani Lawrence masha alipata kazi ya uwaziri baada ya mtoto wa raisi kikwete kumwambia baba yake amchague na ndo yeye aliyemfanyie recommendation, sasa siwezi jua kama na hao mawaziri wengine ni mke wake anayemchagulia:sad:


  • Hii sio tetesi! ni kweli 110%, nawasilisha!stay tuned for the rest! thank you!!
 

Bulesi

Platinum Member
May 14, 2008
12,638
11,336
Safari hii Cabinet itatengenezwa jikoni kwa mama :Jakaya na Ridhiwani wakiwa wamekalia mkeka!!Usije ukashangaa wale waliokosa kwenye kura za maoni ndio wakateuliwa ubunge na kuukwaa uwaziri!! Mtakuja kunikumbuka kuwa niliwaambia.
 

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,393
58,194
Safari hii Cabinet itatengenezwa jikoni kwa mama :Jakaya na Ridhiwani wakiwa wamekalia mkeka!!Usije ukashangaa wale waliokosa kwenye kura za maoni ndio wakateuliwa ubunge na kuukwaa uwaziri!! Mtakuja kunikumbuka kuwa niliwaambia.

yule mbega wa iringa kwanza yeye ni uhakika tayari.si unakumbuka ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro? unafikiri ataachwa?hell no
 

Deodat

JF-Expert Member
Sep 18, 2008
1,275
271
Waziri wa zamani wa mambo yandani Lawrence masha alipata kazi ya uwaziri baada ya mtoto wa raisi kikwete kumwambia baba yake amchague na ndo yeye aliyemfanyie recommendation, sasa siwezi jua kama na hao mawaziri wengine ni mke wake anayemchagulia:sad:

Mmh! kazi kwelikweli!
 

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
7,501
4,164
yule mbega wa iringa kwanza yeye ni uhakika tayari.si unakumbuka ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro? unafikiri ataachwa?hell no

Mkuu umenichekesha mno ulipotaja tu mbega mimi akili yangu ikaenda kwa wale ngedele wenye manyoa meupe marefu,kumbe unamzungumzia yule mama.
 

davidmimbi

Member
Nov 1, 2010
18
0
Hatushhangai maana hata CCM wenyewe walimsusia kampeni afanYe na familia yake baada ya kuwajibu kuwa suala la uraois ni la kwake na famia yake. Sasa tuuone kama atatekeleza sera za CCM kwa kupitia familia maskini ya msoga
 

Obama08

Senior Member
Sep 17, 2010
181
1
mkuu hii ni tetesi,kweli au udaku.

Hujui Ridh 1 anafanya kazi ya uwakili katika ofisi ya Marsha, so wana Law of chamber ya Marsha IMMA advocates ambapo Ridh 1 ameajiriwa, sasa what do you think, this is direct relation, no dought, yaani we acha tu,
 

Obama08

Senior Member
Sep 17, 2010
181
1
Mkuu umenichekesha mno ulipotaja tu mbega mimi akili yangu ikaenda kwa wale ngedele wenye manyoa meupe marefu,kumbe unamzungumzia yule mama.

Usishangae jina linabeba maana nzima ya mtu most of time, mbega ni mbega tu, ataruka hapa, mara pale, look hata porini ni hivyo hivyo, sasa huyu mbega mara Mkuu wa mkoa mara Mbunge yaani tabia zile za misituni, ila iringa wakasema hawadanganyiki
 

kasopa

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
302
56
Waziri wa zamani wa mambo yandani Lawrence masha alipata kazi ya uwaziri baada ya mtoto wa raisi kikwete kumwambia baba yake amchague na ndo yeye aliyemfanyie recommendation, sasa siwezi jua kama na hao mawaziri wengine ni mke wake anayemchagulia:sad:
PHP:

PHP:

Mambo mengine muwe mnafkiri kutuletea hapa sio wote fkra zetu finyu kiasi hicho rais ana baraza la ushauri sio pekeake anaamua kumpa mtu uwaziri au cheo kikubwa serikalini pia chama tawala kina barazakuu linahusika katika ZOEZI wewe vipi kama unashuki na JK usihusishe mambo mengine au kama unasikia vijiweni uwe unauliza ujue ndo ulete hapa
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom