Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Huu ni mwaka wa uchaguzi kwa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama na naona mambo yanaenda kimyakimya na kistaarabu. Kwa ngazi za chini chaguzi zimeshafanyika ndio najiuliza CCM imeamua kujivua gamba kimyakimya na kuzaliwa upya? Wakati mwingine matendo huongea zaidi kuliko maneno nawatakieni chaguzi zenye mafinikio ili 2020 team ufipa iambulie vumbi tu. Ahsante!