Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukiondoa mzee wa kujikomba kutafuta uteuzi, ni kama machawa wa humu jf wametokomea au kufilia mbali. Machawa mabingwa wa kujikomba, kupongeza, na kushambulia watu mko wapi?
5 Reactions
21 Replies
391 Views
Mkutano wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS),uliokuwa umepangwa kufanyika Zanzibar ,Tanzania kama sehemu ya tamasha la kuadhimisha miaka 30 ya EALS umehamishwa kutoka zanzibar hadi...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Deusdedith Soka amepotea kimzaha mzaha. Miaka ya nyuma alitoweka Ben Saanane kama utani mpaka leo hatujawahi kumuona tena. Je ndio washamalizana na Soka? Pia soma Soka yupo wapi? Tuambieni kama...
17 Reactions
140 Replies
7K Views
  • Featured
Leo tunakwenda almost mwezi wa saba, kijana Deusdedith Soka ma wenzie wamepotezwa. Umma ulipiga kelele mwanzoni, leo umekaa kimya. Chama chake nacho kimejikalia kimya, hakihangaiki tena na kijana...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
Abdalah Kassim Hanga alikubalika sana kwenye siasa za Zanzibar. Alikuwa na akili nyingi na alikiwa msomi kuliko Abeid Karume. Hivyo watu wa Zanzibar walimkubali sana. Na alionekana anafaa kuwa...
3 Reactions
4 Replies
242 Views
Hulka za viburi na ujeuri za viongozi wakuu wa chadema, mathalan Lisu na heche, vinalandana na kushabihiana kabisaa na ukaidi usio na faida wa viongozi kama vile Zelensky na Hayatollah Khemenei...
5 Reactions
92 Replies
2K Views
Wewe endelea kuvishwa Fulana na kofia za SSH, huku ukipewa Fanta take away na ubwabwa uliochacha Jamani hata kama Wanaccm ni Wajinga ndio iwe hivi kweli? Kwamba hakuna Wanaccm wengine na ni...
26 Reactions
82 Replies
5K Views
Wakatoliki na VIJORA wapi na wapi?! Yaani hakuna hata shati moja la UWAKA wala kitenge cha WAWATA?! Sasa ngoja WAKATOLIKI wenyewe watoke wakiongozwa na MAPADRI na MAASKOFU kama walivyoandamana...
11 Reactions
13 Replies
556 Views
π—ͺπ—”π—­π—œπ—₯π—œ π— π—žπ—¨π—¨ π—”π—’π—‘π—šπ—’π—­π—” π— π—žπ—¨π—§π—”π—‘π—’ π—žπ—”π—­π—œ π—ͺ𝗔 𝗠𝗔π—ͺπ—”π—­π—œπ—₯π—œ. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika, Januari 12...
0 Reactions
6 Replies
253 Views
Mwanamitandao Maarufu Clemence Mwandambo (Baba Yenu Mwandambo) amesema kwa sasa yeye ni kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) lakini ndani yake ana roho ya upinzani Ameeleza kuwa yeye ni mzalendo...
2 Reactions
16 Replies
383 Views
Anandika John Heche kuwa; "Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi. Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano. Ajabu ni kwamba...
2 Reactions
25 Replies
766 Views
Magufuli ndiye alianzisha dhuluma ya utekaji, upotezaji, uuaji wa watu wanaompinga. By comparison, afadhali ya Uovu wa magufuli kuliko wa sasa
6 Reactions
26 Replies
467 Views
Vyombo vya dola , naomba jifunze kutoka Iran, Mwanzo maandamano yalikuwa ya amani , wakaachwa wiki nzima yakiwa salama, Nilianza kulalamika kuwa Iran wanaanza kuwa wazembe , Baadae maandamano...
3 Reactions
39 Replies
791 Views
Haya ni maoni ya Askofu Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe kuhusu Matukio kadhaa ya uvunjifu wa Haki za Binadamu wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Adai Uhuru wa Demokrasia...
2 Reactions
3 Replies
316 Views
Kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi visiwani Zanzibar, Balozi Ali Karume amesema amesema chaguzi zinazofanyika visiwani humo haziendani na misingi ya chaguzi zinazotegemewa kufanyika na kuonya...
4 Reactions
3 Replies
308 Views
Pengine tumekuwa tukishindwa kuelewa historia kamili ya mapinduzi ya zanzibar ya January,12 1963. Wengi tulidhani mapinduzi yaliongozwa na Hayati Abeid Amani Karume. Namsikia mjane wa Marehemu...
2 Reactions
62 Replies
14K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia anataka kuwafanya na kuwawezesha watanzania wote Waishi Maisha mazuri na ya heshima na staha Utafikiri wapo Washington au New York City Marekani ,au Amsterdam...
1 Reactions
12 Replies
516 Views
GT Huyo dada na genge lake naona bado hawajatosheka na uhuni wao. Cha kusikitisha media kama ITV inashadadia upumbavu kama huu. Kwa nini nasema hajapigwa. 1. Kwa kawaida kama sehemu ya jicho...
25 Reactions
95 Replies
2K Views
Kweli Rais Samia hana washauri.. Katambi hana uwezo wa kuongoza wizara kama hii ambayo Igp na watumishi wa wizara hii wanatakiwa kulipoti kwake. Mbaya zaidi mpaka sasa nchi hii haijatulia...
9 Reactions
18 Replies
604 Views
That is called natural law. Ni uwezo wa binadamu kufahamu kuwa kipi ni sahihi na kipi kibaya. Mpaka sasa Watanzania wameshatambua kuwa rais Samia hawafai. Maana hakuna anachowasaida zaidi ya...
7 Reactions
7 Replies
320 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…