ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Pengine tumekuwa tukishindwa kuelewa historia kamili ya mapinduzi ya zanzibar ya January,12 1963.
Wengi tulidhani mapinduzi yaliongozwa na Hayati Abeid Amani Karume.
Namsikia mjane wa Marehemu Karume akiojiwa na Susan Mungi katika TBC mama amekuwa wazi kueleza kuwa siku ya mapinduzi Hayati Karume alikuwa nyumbani amelala na milio ya risasi aliisikia wakiwa nyumbani na alimsikia mumewe akidai ni "vijana wake hao"
Baada ya muda milio ya risasi ilipokwisha,gari lilifika nyumbani kwao na kumchukua mumewe lakini yeye hakuweza kujua mpaka leo ni nani aliehusika kuongoza mapinduzi hayo.
Wengi tulidhani mapinduzi yaliongozwa na Hayati Abeid Amani Karume.
Namsikia mjane wa Marehemu Karume akiojiwa na Susan Mungi katika TBC mama amekuwa wazi kueleza kuwa siku ya mapinduzi Hayati Karume alikuwa nyumbani amelala na milio ya risasi aliisikia wakiwa nyumbani na alimsikia mumewe akidai ni "vijana wake hao"
Baada ya muda milio ya risasi ilipokwisha,gari lilifika nyumbani kwao na kumchukua mumewe lakini yeye hakuweza kujua mpaka leo ni nani aliehusika kuongoza mapinduzi hayo.