Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa kauli yake mwenyewe ya kumtoa ofisa wake wa karibu kabisa na kuamua kumfanya awe Katibu Mkuu wa Sekta ya Mawinga na Machinga kwa kigezo Kwamba anamuandaa mapema na kumpa Maisha mapema kwa...
8 Reactions
38 Replies
1K Views
Yupo Naibu waziri Mmoja anatembea sana KUKAGUA miradi ya Maendeleo anatokea tamisemi anakauli yake utasikia. Kwa niaba ya Mh Rais, na kwa niaba ya waziri wa tamisemi anamtaja kwa cheo kwanza hapo...
3 Reactions
7 Replies
239 Views
Wakuu, Msemaji wa Serikali na Katibu mkuu wizara ya Habari, Sanaa, Tamaduni na Michezo Gerson Msigwa afafanua ukweli kuhusu taarifa ambazo zinaeleza kuwa uwanja wa Arusha umekosa hela za...
3 Reactions
16 Replies
507 Views
https://www.youtube.com/watch?v=qNSa_QV1MuI
1 Reactions
1 Replies
133 Views
Mimi sifi Leo SI muumini wa majungu kamwe, Mh Nanauka Joel ni mwanasiasa mzuri sana aliyetengenezwa na mfumo kinzani wa ccm ambao unasuffer sana katika TAIFA la Tanzania. Yaani ni mfumo pekee...
1 Reactions
2 Replies
185 Views
Habari Tanzania ! Nimefurahi kuona Mtanzania ambaye ni Mwakilishi wa watu wa Kigoma Mjini - ndugu, Revocatus Chipando kwa namna anavyopambana na Uchumi Jamii ( Social - Economic Hub). Mimi kama...
1 Reactions
1 Replies
181 Views
Hakuna maumivu makubwa zaidi kuliko kumpoteza mpendwa baada ya wiki au miezi kadhaa hospitalini, ukiendelea kuishi kwa tumaini dhaifu, halafu kifo kinakuja mwishoni mwa kipindi hicho kirefu cha...
1 Reactions
4 Replies
170 Views
Ukiwasikia wabongo wamemkataa huyu Mama Kizimkazi ndio hii yani mtu yeyote atakayemuunga mkono basi raia watamvaaa vibaya kama haliyokutana nayo Tyrese. Na wabongo wanatupa maneno ya kiswahili...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
Tabia ya Jeshi la polisi kukana kumshikilia mtu hadi watu wapige kelele au watishie kugoma au kuandamana ni Utekaji. Sheria inataka unapo mkamata mtu, moja ya haki yake ya msingi ni kuwasiliana...
4 Reactions
9 Replies
283 Views
  • Redirect
Watajuta na kukoma kuzaliwa? Laana ya Afrika mpaka kesho kutwa!
0 Reactions
Replies
Views
Wakati wa awamu ya Kikwete nakumbuka kuna wazo lilikuwa linafanyiwa kazi la kuanzishwa kwa Tanzania's Sovereign Wealth Fund ili mapato mbalimbali ya serikali, hasa kutoka kwenye sekta za mafuta na...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Askofu Dr. Vernon Fernandes, akiwa Madhabahuni mbele ya Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, amesema mara kadhaa kuwa Kanisa la...
2 Reactions
6 Replies
375 Views
Polisi ni kuvaa kininja na mambo kama hayo. Huyu anahatarisha ajira yake na cheo chake.
4 Reactions
14 Replies
554 Views
Tizama watu walivyo na furaha utafikiri wapo kwenye sherehe kumbe sehemu ya hukumu.
11 Reactions
24 Replies
789 Views
Rais Samia Suluhu, akizungumza katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam Februari 7, 2026, amesema katika mazungumzo yake na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ameiomba Serikali ya Uganda...
2 Reactions
12 Replies
536 Views
Hakuna hata kwa nchi za Kiafrica Serikali inayo promote Uchuuzi, ni Tanzania pekee ndio kuna hii Sera ya kupromote kwa nguvu sana uchuuzi/umachinga Serikali zote Duniani zinatamani Raia wao...
8 Reactions
6 Replies
239 Views
Naendelea kushanga sana jinsi nchi ile ilivyoharibika na kuharibiwa Kwa maslahi ya kulinda mtu mmoja tu Muhimili wa bunge wenyewe ulishakatiwa tamaa muda mrefu maana muda mwingi wenyewe ni...
8 Reactions
16 Replies
362 Views
Wakuu, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti kasema kuwa amekamata watu 50 ambao wanaenda kununua viwanja Kisarawe kwa sababu hao watu wanafanya hayo kinyume cha sheria Msikilizeni hapo
9 Reactions
86 Replies
2K Views
Nakumbuka Nipo na waandamanaji wenzangu pale ubungo tunaelekea ikulu jeshi likaja kutupiga block eti subirini mambo haya yanaenda taratibu mda huo wenzetu zaidi ya 15 wameuwawa na Kila...
14 Reactions
52 Replies
1K Views
Ile Oktoba 29 ilikuwa ni ukatiri dhidi ya binadamu. Ndio maana anajivuna hadharani kuwa watu wa Dar hawataandamana tena.
0 Reactions
13 Replies
319 Views
Back
Top Bottom