Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Baraza la Mawaziri Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, Ethiopia kuanzia Februari 11-12, 2026. Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo...
Unadhani ni kwanini viongozi hao wa vyama vya siasa na wafuasi wao waliopoteza uelekeo wa kisiasa na kukosa hoja wamekua na mihemko na hasira kupindukia.?
Yaani kwao hakuna jema kabisa, yote ni...
Mwanachama wa CHADEMA azimia ndani ya Mahakama baada ya kumsikia Mwenyekiti wake, Tundu Lissu akidai kunyimwa chakula Mahakamani leo Februari 12, 2026.
Kuhusu mwenendo wa Kesi
Kesi ya Lissu |...
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. Samia Suluhu Hassan,
Yah: Changamoto ya Gharama Kubwa na Usumbufu wa Kuunganishiwa Huduma ya Maji – Makurunge, Kiluvya Madukani, Kisarawe...
Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia...
Hli naomba niliweke wazi kabisa kama Msimamo Rasmi wa Chama, Mambo ya Kijinga na Kitapeli hayatapewa tena nafasi.
Mnaweza kuridhiana na hao hao mnaoshirikiana nao lakini Sahauni kuhusu Chadema...
Kwanza nimeangalia hizo mbwembwe za hao maafisa wa magereza inasikitisha huo muda wangeenda kusimamia wahalifu walime mpunga na mahindi huko nchi ipate chakula,
Muda unaotumika na gharama sidhani...
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA AFCON 2027
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili...
Magereza walikuwa wanajua kwamba Kesi itaendelea Hadi SAA 11 jioni na Lissu sio mfungwa Bali mahabusu.
Wengine wanakuwa yeye Hali , akili utapata wapi nguvu za kujitetea vizuri, au ndio njia...
Baada ya session ya jioni kuanza Lissu ambaye anashitakiwa kwa uhaini amesema, hajala kwa kuwa magereza ndio wenye wajibu wa kumleta chakula hawajaleta.
Lissu: Mhe. Jaji nipo tayari kuendelea...
Mheshimiwa Lisu, mtu aliyejawa hekima, upeo wa hali ya juu, na dhamira njema kwa Taifa lake, leo ameendelea kuidhalilisha Serikali haramu.na mawakili wake, na mashahidi wake fake.
Baada ya hukumu...
Kama wewe hufuatilii basi bila shaka huna akili timamu, ama umelogwa Au ulizaliwa na mtindio wa Ubongo
Kesi hii ya Uongo imebeba hatima ya Nchi.
Shukrani sana kwa Mzee Bwege kwa kufika...
Lissu: Sipewi chakula gerezani kinyume cha sheria muacheni huyo bibi mchawi aendelee kujika kaangaa anakesi za kujibu tukivuka hapa.
Lazima mkuu wa magereza na rais haramu watatueleza vizuri huu...
Wakuu,
Natafakari tu.
Juzi tulimsikia Msigwa akisema plain and open kuwa hakuna mtu atakayelazimishwa kuingia kwenye maridhiano.
Hii kauli ya Msigwa haitofautiani sana na zile kauli walizokuwa...
Wakati wa kampeni Chama Cha Mapinduzi CCM walijinadi kwa ahadi rukuki walikuwa na mipango ya muda mrefu na mipango ya muda mfupi
Kwa Leo tujikite katika kuchambua mipango ya muda mfupi (siku 100)...
Warumi 13
Neno: Bibilia Takatifu
Kutii Mamlaka
13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.