Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nlisoma humu uzi kuwa baba wa Taifa la Zanzibar ni John Okello (RIP) Huyu ni Che Guevara wa East Africa. Mwanamapinduzi na mpigania Uhuru. Huyu alitoka kwao Uganda kuja kuwakomboa Wazanzibar...
1 Reactions
11 Replies
738 Views
Naona kuna baadhi ya mawaziri wakiingia kama wana mambo yao vile wakiondoka yameisha? Mfano waziri fulani alikuja na vazi la taifa , mwingine singeli mwingine contents creators, ........
3 Reactions
3 Replies
134 Views
CCM hupenda kusema "uhuru bila mipaka ni vurugu" kuashiria kuwa hakuna uhuru usio na mipaka. Na CCM hutumia msemo huo kuhalalisha matumizi ya nguvu dhidi ya wanaowapinga kisiasa. Lakini CCM...
0 Reactions
2 Replies
172 Views
Mimi nina mtoto anaitwa Freeman Sifi Leo, kwa sababu mtoto huyu alizaliwa tarehe ambayo Freeman alitoka jela na kukimbilia IKULU chapu. Sasa najiuliza huyo mtoto aliyetelekezwa na mama yake hapo...
1 Reactions
6 Replies
313 Views
Mhe. Lissu anaendelea na Cross examination. Mhe.Lissu: Sasa shahidi naomba uwaeleze waheshimiwa Majaji kama niliyoyasoma yanalingana na maelezo yako ya police. Coplo Vicent: ndiyo yanalingana...
2 Reactions
4 Replies
324 Views
  • Redirect
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, ametembelea Gereza la Musoma Mjini na kutoa misaada mbalimbali kwa wafungwa wa dini ya Kiislamu na Kikristo ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono...
0 Reactions
Replies
Views
Huu ndio wito wangu ninaouleta kwako Leo hii, Tafakari halafu chukua hatua Unaweza kunipigia kwenye Ile Ile namba yangu, Asante.
4 Reactions
24 Replies
493 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Ukiwa upo katika swaumu huku ukiwapngoza mashahidi kesi ya Lissu?
6 Reactions
16 Replies
520 Views
Mange ameeleza tukio zima la mfanyabiashara kutekwa, ambapo analeza tukio hilo lilifanyika karibu na ofisi za mkuu wa wilaya
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Nadhani sisi wazanzibar ni wakati wa kukubaliana na ukweli mchungu na kuutambua mchango mkubwa sana uliofanywa na baba wa taifa huru, mwanamapinduzi, jasiri, mpigania uhuru JOHN OKELLO raia wa...
10 Reactions
85 Replies
7K Views
Wanajumuia, Familia ya Professa James Shaba inasikitika kuwatangazia kuwa Mzee wetu Professa James Shaba amemaliza safari yake hapa duniani. Mzee wetu ametutoka jioni ya leo siku ya Jumanne...
35 Reactions
355 Replies
48K Views
Wakuu, Kaeni karibu na uzi huu ili mpate updates ya kinachoendelea leo kwenye kesi ya leo Mawakili wa Serikali wameshaingia Mahakamani lakini Majaji na Mshitakiwa bado hawajaingia. Mwenyekiti...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
  • Featured
Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai...
13 Reactions
50 Replies
2K Views
Hivi kuna mwenye profile ya huyu jamaa?
1 Reactions
34 Replies
14K Views
Waganda zaidi ya million 20 wanaamini Raisi mteule wao president elect ni Bobwine, kwa hiyo basi wanakusanya sahihi za watu Milioni 20 kuomba mashirika na nchi za kimataifa kumtambua kua Raisi...
17 Reactions
36 Replies
879 Views
MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali...
20 Reactions
224 Replies
26K Views
Vipi Content Creator umeshaenda kuchukua mzigo? Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha Tsh. 2 Bilioni itakayowawezesha watengenezaji wa...
5 Reactions
26 Replies
893 Views
Wakuu, Baada ya media kuanza kuripoti kinachoendelea mahakamani na statements wanazotoa mashahidi kuchekesha na kuonekana ni za ajabu ajabu jamaa wameona sasa waanze kubana na kukataza hizo...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
3 Reactions
53 Replies
1K Views
Back
Top Bottom