Wakuu
Akizungumza alipokuwa katika mahojiano kwenye kipindi cha Medani Kuu na Edwin Odemba alisema:
“Nilishindwa Uchaguzi ndani ya CCM kwenye kura za maoni 2025 katika Jimbo la Butiama kwa kuwa...
JPM r.i.p. Ulinyoosha watumishi hewa , Wezi wa rasilimali za nchi, Mafisadi, Wauza madawa ya kulevya wenye vyeti feki , Matapeli wazee wa short cut. Hawa wote walikiona cha moto kipindi chako...
Ukiacha wachache sana ndani ya CCM ambao kweli walikuwa wanampenda Magufuli kama mtu wengi ni wanafiki. Waliokuwa wanampenda kweli ni wakina Majaliwa, Ummy Mwalimu na Hata Raisi Mwinyi wengine...
Hamjambo wote!
1. Moja ya mambo yanayoweza kuwa yalimgharimu jpm ni kutokuwa mzuri kwenye Masuala ya historia na hapohapo hakuwa na ujuzi wowote wa mambo ya usalama. Yaani hakuwa mwanajeshi...
Zanzibar sio nchi ni sehemu ya nchi ya Jamhuri
Moja ya jambo la hatari Kwa taifa ni kuruhusu masharti ya kidini kuingizwa na KUSIMAMIA Kwa watu wote wa Jamhuri ya TANZANIA
Nakemea vikali unafiki...
https://youtu.be/tXhJ6gAj-Cs?si=bEedIn-AZpN-b4LQ
Aliipona English inataka kumponyoka akamshikilia Mchina kujivika ujasiri.
My Take
Kama kwenye CV yako umesema Iam fluent in speaking English...
MBUNGE wa Kyela Dk. Harrison Mwakyembe amesema Rais Jakaya Kikwete ndiye anayefaa kuongoza nchi na ni mhimili mkubwa katika vita ya ufisadi ila baadhi ya wasaidizi wake wanamrudisha nyuma katika...
Katika kitu kigumu kushawishi ni mtanzania kuandamana aisee hawezi kugusa barabara tena ameamua aishi maisha yake hata chumvi ikiuzwa elfu 10 sawa tu sababu ameona ni ujinga watu wamekufa...
Huyu kimbesa amepotea muda mrefu sana it seems account yake mmeiblock moderators. Mara ya mwisho niliona Mshana Jr anampa onyo la kumfungia account yake. Punde si punde account ikasizi.
Uccm wake...
Polisi nchini Tanzania imetuhumiwa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kukandamiza waandamaji wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.
Ripoti ya hivi punde iliyotolewa na shirika la Human Rights...
CCM haitaki kubadilika kulingana na nyakati, Kassimu Majaliwa nyota yake haijafifia hata iweje bado inang'ara sana hata km CCM na Samia mnajitaidi kuizima.
Mlinzi wake nimekuona umeanza...
Mtaamua wenyewe,Mimi Sina interest Kwa Sasa Rais wangu anaenda anamlizia ngwe yake 2030.
Hao Jamaa Wana mfanano Kwa kiasi Fulani lakini linapokuja suala la ustawi wa kiuchumi na biashara basi...
Hello
Hivi jeuri ya wazanzibar ni nini? Yaani mtanganyika siyo mzanzibar lakini mzanzibar ni mtanganyika hapo tulipigwa.
Mzanzibar anaweza.miliki aridhi bara.mtanganyika marufuku kumiliki aridhi...
Mpango wa omukajunguti ni wa Siku nyingi
Je, mnatambua kuwa serikali imeshiriki katika kuudumaza mkoa kagera?
Hivi ndivyo mkoa kagera umeachwa yatima na serikali ya Tanzania,
Tulivyopata Uhuru...
Mwaka jana nilileta uzi unaolaumu kwamba kwanini tujenge CHATO INTERNATIONAL AIRPORT badala ya ule wa Kagera OMUKAJUNGUTI ambao na hela na makadirio yalishafanyika siku nyingi ? katika uzi uo...
Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Awamu ya...
WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI
ΤΑΝΖΑΝΙΑ (ΤΡΑ)
TAARIFA KWA UMMA
KUSOGEZWA MBELE KWA KUANZA KWA ADA YA UENDELEZAJI WA MIUNDOMBINU YA BANDARI 2026
Jumatatu Machi 09, 2026
DAR ES...
KUTOKA KUPAMBANA MPAKA KUMILIKI,SAFARI YAKO YA UTAJIRI.
Watu wengi mitaani wanasema.
Maisha ni magumu lakini ukweli ni kwamba maisha yanakuwa mepesi pale unapoelewa sheria za pesa.
Huwezi...