Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Hii imekaaje, rais kutangazia umma kwamba Tanzania ndio nchi yenye bei ndogo sana ya mafuta ya petroli na dizeli katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati. Katika kutetea hoja yake hiyo rais...
0 Reactions
Replies
Views
Alianza kufuatiliwa na wasiojulikana kuanzia Morogoro, wakashindwa kumkamata Wakamfuata Arusha alipokuwa kwenye kikao cha maaskofu wa makanisa, akiwa huko ndipo ikatolewa amri, asirudi DSM akiwa...
1 Reactions
4 Replies
278 Views
My Take Desperately Chadomo watakuja kupinga na kutukana 😂😂 Mama anatoa SoMo la Kuwa Kiongozi Afrika nzima.(Privileged leadership) Sio Kila Nchi inaweza kuwa na Rais kama Samia...
2 Reactions
70 Replies
837 Views
If you want to test a man's character give him power ABRAHAM LINCOLN Unaccommodated man is no more but such a poor bare...
61 Reactions
308 Replies
43K Views
Kwa Marekani wataalamu wa siasa za ndani kama Bob Bequn wanasema hivi "Siasa za Marekani zimegawanyika katika makundi makuu manne, kwanza ni siasa za Washington ambako umaarufu wa mtu kisiasa...
12 Reactions
51 Replies
4K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, akizungumza na wananchi wa Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi wa Soko la Nyama Choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti, amesema...
2 Reactions
150 Replies
7K Views
  • Redirect
Mwanasheria wa CHADEMA Dr Rugemeleza Nshala anayesemekana ana PhD ya Havard anasema nchi imef...wa na kulawitiwa. Hawa ndiyo wanataka CCM iwaachie madaraka??
7 Reactions
Replies
Views
Ukurasa rasmi wa YouTube wa Ikulu umeondoa video ya hotuba ya Samia muda mfupi baada ya kuhutubia, hatua inayohusishwa na mkanganyiko wa takwimu za bei ya mafuta duniani alizozitoa wakati...
33 Reactions
142 Replies
4K Views
Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafue akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/27, ameiomba serikali kuuza sehemu ya...
1 Reactions
1 Replies
145 Views
  • Redirect
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuutarifu umma kuwa leo, tarehe 10 Aprili 2026, Makamu Mwenyekiti wa chama, Mheshimiwa John Heche, ameongoza jopo la viongozi wa chama katika...
0 Reactions
Replies
Views
Akiwa katika ujenzi wa daraja la Tanzanite, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wakazi wake kufanya fujo za hali ya juu ikiwepo kupiga kelele kwa nguvu zote na watu kwenda beach...
31 Reactions
416 Replies
46K Views
  • Redirect
Hii ndio habari mpya kwa sasa, ambayo haipaswi kukupita Mwakilishi huyo Bwana Chakwera amepigwa n.a. Bumbuwazi alipoambiwa kaburi la halaiki la Kunduchi kwa Kondo
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Tuna Rais Imara ,tuna Rais wa Viwango ,tuna Rais Hodari ,tuna Rais shupavu ,madhubuti na Makini kwelikweli. Tuna Rais Ambaye alistahili na amesitahili kuitwa...
1 Reactions
57 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni lazma kama Taifa Tujijengee Heshima ,utaratibu ,nidhamu ,adabu ya maneno na kauli za kuzungumza Hadharani. Siyo mtu anajitokea zake huko anaanza kuropoka ropoka Bila...
1 Reactions
15 Replies
646 Views
Wakati wa mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Aprili 8, 2026, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe kupitia chama cha CHAUMMA, Sigrada Mligo, amesema hotuba ya Waziri Mkuu "Ni hotuba ambayo...
0 Reactions
5 Replies
253 Views
Katibu mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mohammed Khamis Abdulla ameyasema hayo katika hafla ya uzinduzi wa minara 758, Maunganisho ya Mkongo wa Mawasiliano katika Wilaya 85...
2 Reactions
1 Replies
128 Views
sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake...
0 Reactions
94 Replies
8K Views
Kwa tamko la Rais Dornad Trump juzi Iran walitakiwa kupigwa kipigo Cha mbwa koko Na mashambulizi yake alitangaza kuwa yataelekezwa kwenye miundo mbinu ya kuhifadhi mafuta ,vituo vya umeme nk Na...
1 Reactions
6 Replies
195 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…