Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee...
43 Reactions
104 Replies
4K Views
Najua vyema kuwa nchi mbili ziliungana kuunda jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Zanzibar na Tanganyika. Zanzibar ni nchi huru ikiwa na "simple" mandate lakini kwa Tanganyika imevaa koti la...
9 Reactions
49 Replies
17K Views
UDADISI: Rethinking in Action: TUACHIENI NYERERE WETU MMETUPORA KILA KILICHO CHETU, TUACHIENI NYERERE WETU Na Mwl. Sabatho Nyamsenda Wanyonge walia, waporaji washerehekea Siku ya leo nchi...
8 Reactions
163 Replies
25K Views
Kwa mara ya kwanza sasa naanza kuona Wananchi wanajielewa, wengi kabisa wamepinga na kuidharau Sikukuu iliyotangazwa na BAKWATA Mara zote waislam wamekuwa wanadanganywa n.a. BAKWATA, Leo...
22 Reactions
76 Replies
1K Views
Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje. Ni jambo zuri sana kwani...
6 Reactions
14 Replies
271 Views
  • Redirect
Gwajima amesema kuhusu Lisu katika mahubiri yake leo. Kuna taarifa inasambaa kuhusu Lisu. Is Lisu still alive? Is he living? Or at the blink of death!
1 Reactions
Replies
Views
Wenzetu zanzabar wamefanikiwa kubadili katiba yao, wamefanikiwa kuondoa vifungu ambavyo vipo kwenye katiba ya muungano ambavyo hawavipendi lakini hakuna mtu au watu wanaopigania Tanganyika kwenye...
7 Reactions
14 Replies
186 Views
Kwa heshima ujengwe mnara mkubwa wa makumbusho ya kumbukumbu ya kuwa kumbuka kila mwaka wahanga wetu wote. Walioteswa Waliopotezwa ama kuuwawa na CCM kabla na baada ya mauwaji ya uchaguzi wa...
6 Reactions
22 Replies
394 Views
Human Rights Watch imesema kuwa vikosi vya usalama vya Tanzania vilikandamiza maandamano wakati na baada ya uchaguzi mkuu wenye utata wa mwaka 2025, viliua na kujeruhi watu ambao hawakuwa...
8 Reactions
20 Replies
516 Views
Sasa ni rasmi uhuru wa habari na uandishi wa habari zenye tija umefika tamati. Tajiri na kada maarufu wa CCM, ambaye ni mfuasi wa siasa za mrengo wa kushoto, amelinunua gazeti la Mwananchi. Hapa...
24 Reactions
139 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ambaye Ndiye Mfariji wa Taifa letu na aliyebeba Matumaini ya watanzania, Amesikitishwa sana Kufuatia kifo...
3 Reactions
23 Replies
384 Views
Mufti ataka Rais Samia aombewe
5 Reactions
34 Replies
468 Views
Afrika nzima mwezi umeonekana Alhamis and therefore Idd ni Friday. Kumbe alitaka "mama" awe mgeni rasmi, na " mama" akasema Friday hana nafasi, basi aka declare Mwezi haujaonekana.
22 Reactions
93 Replies
1K Views
Wakuu, Hivi karibuni nimeona watu wanalalamika kwamba tovuti ya Bunge inafuta CV za wabunge makusudi ili tusijue level zao za elimu. Sasa kabla hawajafuta, ni vyema tujue nani ni nani. Mule...
35 Reactions
202 Replies
11K Views
Hamjambo wote! 1. Mara zote maadili huharibiwa na viongozi, wazazi na wakubwa. 2. Viongozi na wazazi au wakubwa wakiwa na maadili automatically watoto, wadogo na waliochini watakuwa na maadili...
1 Reactions
12 Replies
119 Views
Wakuu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, Samuel Okudzeto Ablakwa, ameazimia katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa CELAC uliofanyika Bogotá Machi 22, 2026 la kutambua biashara...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
Anonymous (c723)
FIDELIS Mutakyamilwa bado ana uchungu wa kuona mama yake akifariki kwa kuwa alikosa huduma ya gari la wagonjwa wa dharura kumfikisha hospitali. Mama mzazi wa kijana huyo mwenye umri wa miaka 43...
4 Reactions
1 Replies
263 Views
Amani iwe nanyi wanabodi! Kupitia Northen Corridor Kenya anataka kuingia DRC, Rwanda, Uganda na Sudan Kusini kwa Reli ya SGR. Sisi Tanzania tunajenga SGR yetu kuingia Burundi na baadae Congo...
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…