Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukurasa wa The Economist imeeleza namna Watanzania walikuwa na matumaini kuwa Samia Suluhu Hassan angeingiza jamii iliyo wazi zaidi. Sasa utawala wake wenye ukandamizaji unahatarisha mafanikio ya...
6 Reactions
9 Replies
282 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
5 Reactions
20 Replies
812 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu gazeti la mwananchi la leo https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/kwa-nini-tunahitaji-kuulinda-uhuru-wa-vyombo-vya-habari-5417540 Hili ni Swali: Media tukiendelea...
14 Reactions
27 Replies
696 Views
Wanabodi Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Viongozi wa vyama 13 vya upinzani nchini wamesisitiza msimamo wao wa kutokukubaliana na baadhi ya wananchi, wanasiasa, wadau wa masuala ya haki na wanaharakati nchini kutaka iundwe tume huru...
5 Reactions
44 Replies
1K Views
Maafisa Biashara wa Halmashauri wakija kwenye eneo la Biashara au Uzalishaji hawana msaada wowote kwenye biashara kama vile kukusaidia maboresho ya mazingira ya kazi, masoko na namna nzuri ya...
1 Reactions
5 Replies
200 Views
1. Hawezi kuja na hoja zenye uelekeo thabiti wa mabadiliko bali huja na mawazo ya Jumla Jumla tu. 2. Wakati wa kampeni zilitoka tuhuma dhidi yake za hisa kwenye mashimo ya dhahabu. Hazikujibiwa...
0 Reactions
29 Replies
698 Views
Kamati ya Bunge Yashauri Serikali Kukamilisha Ujenzi wa Ofisi za TAKUKURU Dodoma – Kamati ya Bunge imeitaka Serikali kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...
4 Reactions
5 Replies
198 Views
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo), amesema hayo Mei 2, 2026 wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha Medani za Siasa kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba
0 Reactions
1 Replies
149 Views
Bahati mbaya sasa ni kuwa Lissu na Chadema wachache sana ndio wanaweza kupigania utawala bora, haki, Ajira na kutoa dira ya kiuchumi ya Taifa. CCM naamini hawakupanga kufanya mauaji. Ila naamini...
0 Reactions
1 Replies
101 Views
Kuna jirani yangu ameniletea habari kutoka mitandaoni bahati mbaya au nzuri huwa sina muda wa mambo haya ya mitandao, akanambia naomba unieleweshe. Ripoti ya Chande kuhusu mauaji ya 29, Oktoba...
14 Reactions
26 Replies
1K Views
Rais wa Namibia mwanamama Netumbo Nandi-Ndaitwah ameiongoza nchi hiyo kufikia hatua muhimu ya kiuchumi kwa kukamilisha malipo ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla...
16 Reactions
37 Replies
797 Views
Ama kwa hakika CHADEMA inatisha, Leo hii ukumbi wa Landmark Hotel umetapika wasomi kwenye kongamano la. Chaso kiasi cha kuhatarisha hata usalama wa wahudhuriaji Ama kweli Bila Polisi CCM ni...
7 Reactions
13 Replies
402 Views
guest-1788162615
Rais wa Namibia mwanamama Netumbo Nandi-Ndaitwah ameiongoza nchi hiyo kufikia hatua muhimu ya kiuchumi kwa kukamilisha malipo ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla...
11 Reactions
30 Replies
602 Views
Iko hivi, Jana kulikuwa na mambo mawili, ukiacha Mei Mosi iliyopuuzwa na kila mtu, Moja ilikuwa upuuzi wa Ndondi uliopachikwa jina la knock out ya Mama, Na lingine ilikuwa Tamasha la kimataifa la...
20 Reactions
32 Replies
841 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais Samia ni Kiongozi Wa aina yake ,ni kiongozi mwenye Ushawishi haijapata kutokea Barani Afrika Katika Miaka ya hivi karibuni, ni kiongozi mwenye Uwezo Mkubwa...
0 Reactions
15 Replies
433 Views
Amani ya Bwana ikawe kwa kila mmoja popote mlipo Rejea mada tajwa hapo juu Mungu anataka Lissu achiliwa haraka sana ndani ya siku 21 ni amri kuu sio ombi. Ujumbe huu ukamfikie kila mmoja na...
18 Reactions
37 Replies
609 Views
Vijana tembeeni na Silaha na mlinde ndugu zenu. Mkishindea mtaisha wote
3 Reactions
22 Replies
623 Views
Mpaka sasa inaelezwa kwamba Watatu wamedakwa Hii ni Taarifa ya MwanaHalisi Kama lilivyomnukuu Msemaji wa Jeshi la Polisi Mtukufu Misiime
6 Reactions
24 Replies
593 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…