Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM, Wilaya ya Njombe, Hitler Msolla amesema hayo Mei 12, 2026 wakati wa ziara ya kikazi katika Kata ya Mjimwema, alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
Replies
Views
Mfanyabiashara tajiri zaidi barani Afrika, Aliko Dangote, ametangaza nia yake ya kuwekeza nchini Kenya kwa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta (oil refinery) chenye uwezo wa kuchakata...
22 Reactions
146 Replies
4K Views
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amehoji sababu za wazazi wa wabunge kutojumuishwa katika huduma za bima ya afya wanazopata wabunge, huku akielezea changamoto kubwa wanazopata familia...
0 Reactions
15 Replies
359 Views
Watanzania wenye uzalendo wa kweli tunapenda kuona nchi yetu ikiendelea kwa amani mshikamano na heshima kwa viongozi wetu. Ndiyo maana tunapaswa kukemea kauli za uchochezi matusi na maneno...
1 Reactions
3 Replies
127 Views
  • Featured
Ripoti mpya ya mwaka 2026 kutoka shirika la kimataifa la Reporters Without Borders (RSF) imetoa takwimu za zinazoonyesha kudorora kwa kiwango cha uhuru wa habari nchini Tanzania, huku nchi hiyo...
5 Reactions
24 Replies
954 Views
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Ngwaru Jumanne Maghembe, ameeleza mafanikio ya serikali katika kutafuta fursa za ajira kwa vijana wa Kitanzania kwenye mataifa...
1 Reactions
1 Replies
108 Views
Kulingana na huyu kada wa CHADEMA, Dayon Monsoh ambaye ni kuwa mwanaharakati mwenzao aitwaye NURUVAZI anatafuna michango inayochangwa na baadhi ya watanzania wenzetu wasiojitambua. Kwa sasa kuna...
1 Reactions
13 Replies
261 Views
  • Redirect
HUYU AMBAYE ETI KWA SASA ANAJIFANYA KUJUA SHERIA ZA UTETEZI,KUMBE NAYE WAKATI WAKE ALIKUWA MNYAMA KABISA, KWELI SHETANI AKIZEEKA ANAGEUKA MALAIKA!..... wakati huo kulikuwa na sheria za kizuizini...
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Itoshe kusema ya kuwa usishindane na alipewa Kibali na Mungu , usishindane na Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu , usishindane na aliyebarikiwa na Mungu. Rais Samia ni...
1 Reactions
23 Replies
450 Views
Haya ni maoni na ushauri wangu wa Bure kwa TRA, naomba niwaahauri waweze kuanzisha program Maalum ya Certified Tax Educator (CTE), hii inatokana na Kwamba kwa sasa Watanzania wengi hawana Elimu ya...
1 Reactions
4 Replies
779 Views
TANZANIA KUKATAA “JOINT VENTURE REFINERY” NA KENYA: UAMUZI WA KIMKAKATI AU KUJILINDA KIUCHUMI? Katika siasa za kimataifa, hakuna urafiki wa kudumu — kuna maslahi ya kudumu. Ndiyo maana mataifa...
0 Reactions
18 Replies
499 Views
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aua ndege wawili kwa jiwe moja. ◇Kazi zake katika utalii zaanza kuneemesha sekta zingine ◇Ndege Ulaya kuleta watalii moja kwa moja kuja Tanzania ◇Matunda, mboga...
1 Reactions
0 Replies
79 Views
Tume ya Uchunguzi ilibaini kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zilisababisha hasara kubwa ya kiuchumi. Uharibifu wa mali, biashara na miundombinu ulisababisha...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Akichangia hoja Bungeni leo Mei 12, 2026, Mbunge Jimbo la Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo, ameitaka Wizara ya Afya kuanzisha kitengo maalum cha kutoa elimu ya afya...
2 Reactions
9 Replies
309 Views
Heshima sana wanajamvi. Nilimsikia Rais wa Kenya Dr W Rutto akihutubia Bunge juu ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Jiji Tanga. Wakati huo huo Rais wa Tanzania akihoji kutokuwa na taarifa...
9 Reactions
20 Replies
496 Views
Jamani hii CHADEMA ya Lissu na Heche ina nguvu jamani. Angalia mikutano inavyofanyiaka kwa umoja na wananchi wanakubali. My take; CCM ya sasa inaonekana kama mkoloni anayewanyonya Watanzania...
12 Reactions
19 Replies
396 Views
Hii itaongeza utulivu zaidi wa kitaifa na kuepusha usumbufu wa kikatiba kwa Rais mpya atakaeshika hatamu baada ya Dr.Samia kumaliza kipindi cha mpito kusimamia utekelezaji wa matumizi ya katiba...
2 Reactions
71 Replies
855 Views
Wote tusali kwa pamoja kadri ya maandishi kwenye picha hapa chini na wimbo wake. Mods niwekee hiyo clop vema
3 Reactions
4 Replies
144 Views
Ni muda mrefu huyu kijana hajaonekana au kusikika, nini kimempata? Au ameshamaliza kazi yake?
0 Reactions
6 Replies
250 Views
Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema hatumlazimishi Mwekezaji Dangote mahala pa kuwekeza bado mpango wetu ni kuwekeza Tanga. BBC news
1 Reactions
9 Replies
213 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…