Nyerere baba wa taifa alisema Katiba ya JMT inamfanya Rais awe nusu Mungu
Sasa hawa wanahabari nguli Balile na Kibanda wanahoji nini? Katiba wameisoma na kulielewa?
Mnakula hela za Watu...
Hongera sana mheshimiwa Rais wa JMT, mama yetu Dr. SSH. Hakika wewe ni mzalendo haswa, na unaendeleaje kuupiga mwingi.
Jamani eeh!?... Tukubaliane hapa, mambo anayoyafanya Mama sio ya kawaida...
Kwa Mujibu wa ratiba iliyosambazwa na Chadema Kanda ya Nyasa , leo tarehe 26/02/2023 kuna mikutano miwili mikubwa ya hadhara itakayoburumishwa na Chadema .
Mapema Asubuhi hadi Mchana Mkutano...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina wasiwasi mkubwa juu ya hali mbaya ya usalama inayoendelea nchini Sudan, kutokana na mapigano yaliyozuka katika mji mkuu wa Khartoum na maeneo...
Wakuu habari za jumapili, Kuna Hilo suala la mikutano ya Askofu Gwajima nchi nzima kuwa na agenda ya kisiasa kupitia mlango wa dini.
Nakumbuka Chadema wakiwa nyanda za juu kusini jamaa alikua...
Kutokana na report ya CAG, toka mwaka 2021 hadi sasa hakuna barabara mpya yoyote ambayo imejengwa ukiacha zile zilizo achwa na Rais Magufuli.
Je kwa mwendo huu tutafika? Je, kwa kasi kama hii...
Serikali mara kwa mara imekuwa ikiwahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii na kufaulu lakini jambo la kusikitisha unapofika wakati wa ajira serikali hiyo hiyo inawabagua tena.
Tumeona kwenye ajira za...
Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki amesema amekuwa akizipuuza jumbe na simu za baadhi ya viongozi wanaotaka watu wao wapate nafasi za ajira zilizotangazwa katika sekta ya afya na elimu.
Habari wadau?
Hivi huyu mwanasheria wakili msomi nguli wa sheria za kimataifa yuko wapi maana asikiki tena hata ile kauli mbiu yake ya mkono kwa mkono inaelekea kusahaulika vichwani mwa wananchi...
Good evening?
Yes nimesikia somo la maadili litakuwa linafundishwa mashuleni ili kuwaweka sawa kimaadili na malezi watoto na vijana wetu mashuleni na kwenye taasisi za elimu.
UTAFUNDISHAJE...
MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA), imeendelea kufanya maboresho makubwa katika Bandari ya Dar es Salaam. Maboresho hayo yamechangia kuongeza ufanisi ikiwa ni pamoja na ongezeko la meli, shehena na...
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Songwe Ndg Fatuma Hussein amewatoa hofu vijana kutokana na serikali kusitisha utoaji wa mikopo ya 10% iliyokuwa ikitolewa katika ngazi za...
Akizungumza jana kwa simu na Mwananchi, Mbowe alisema Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais Samia.
"Sipendi sana kucomment in person kuhusu Sanga, lakini Chadema haipo kwa ajili ya kumbeba Rais...
Nimeshangazwa na Wabunge wa Mkoa wa DAR kuja na HOJA ya ONGEZEKO la SH.100 kwenye Mafuta kwa ajili ya kujenga Barabara za DAR.
Hoja hiyo siiungi mkomo kwani ni kuzidi kuwaonea Wakazi wa DAR...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 9 leo Aprili 18, 2023.
Serikali yasisitiza wazee wapewe vitambulisho vya huduma ya afya bila malipo
Naibu Waziri Ofisi ya Rais -...
Fuatilia yanayojiri Bungeni kwenye Bunge cha 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 8 leo Aprili 17, 2023.
SERIKALI YACHUKUA HATUA KUFUNGIA TOVUTI NA MITANDAO YA KIJAMII
Akizungumzia hatua zilizochukuliwa...
Habari wakuu,hamjambo?
Kumekuwepo na trend ya wakuu wa nchi au wafuasi wao kujitokeza adharani au ktk mitandao yao ya kijamii kuomba kuombewa.
Msingi wa swali langu Ni huu, ili kiongozi kufikia...
Nichukue fursa hii kuwapingeza Wazee Wetu Chifu Adam Sapi Mkwawa na mzee Mlawa kwa kutuheshimisha Wanyalukolo katika Uongozi wa mhimili wa bunge
Baada ya nyie kustaafu katika nyadhifa zenu...
Nauliza tu kwa sababu wengi hawajui kwanini iliilazimu CCM kumsimamisha mwanasayansi kugombea urais wa JMT
Ikumbukwe Magufuli hajawahi kushika uongozi wowote ndani ya CCM zaidi ya kuwa moja kwa...