Akizungumza jioni hii kupitia kipindi cha BBC kinachotathimini mwekekeo wa mambo katika mwaka tuanaouanza, mchambuzi huyo amesema kwa upande wa Tanzania wapinzani wanatakiwa wajifungie na kujivua...
Kuna mambo tunatakiwa kupongeza kama tunavyokosoa.
Kiukweli kwenye swala la ukusanyaji kodi toka Rais Samia aingingie Madarakani yuko vizuri!
Kuna watu wanaleta propaganda kwamba bandarini...
Wana kijiji heshima kwenu,
Naomba kuweka wazi kuwa mimi Sina uhasama wote na serikali ya Mama Samia
Siku za hivi karibuni kumejitokeza kauli za wanasiasa wengi mno kutoa pongezi kwa mama Samia...
2025 Uchaguzi mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Ni Vyama vitatu tu Ndio vitatoa ushindani wa kweli ambavyo ni CCM, Chadema na CUF
ACT wazalendo itamezwa na CCM huku Tanganyika na Kule Zanzibar CUF...
Profesa Ibrahim Haruna Lipumba na wafuasi wake 10 watimuliwa rasmi uanachama wa chama cha wananchi (CUF). Wengine wapewa onyo kali.
Hayo ni maamuzi ya Baraza Kuu lililoketi leo huko Zanzibar...
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi Punde , Kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema atahutubia Watanzania wanaoishi nchini Marekani , maarufu kama Diaspora ...
Aliyeingia mkataba wa ujenzi wa Wazo Hill-Bagamoyo Road na kampuni ya SCEL ni Tundu Lissu au Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli???
Aliyeuvunja mkataba huo bila kujali sheria na madhara ya...
Familia ya Watu Wazuri Hawafi mmekuwa mkizusha sana humu JF kwamba Serikali ya Magufuli ilikuwa inakopa kwa siri bila kuwaambia ukweli wananchi kuwa inakopa.
Miaka yote ya Magufuli pamoja na...
MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania...
Mwenyekiti wa Chadema amebarikiwa Kitu kimoja kikubwa ambacho Viongozi wengi hawana yaani uwezo wa kufanya Siasa za Kiuongozi.
Mtu anayefanya siasa za Uongozi huangalia zaidi maslahi ya Wengi...
Habari ya Leo wadau..
SoMo la Tozo limeanza kuwafikia Nchi Nyingi na Sasa zinaelewa..
Ghana ilijifunza Tanzania na Sasa Kenya itaanza rasmi Kutoza tozo kwenye Miamala ya Simu Kuanzia Tarehe 1...
Ndugu Zangu Watanzania,
Serikali nyingi Barani Afrika na Duniani kwote kwa ujumla ziliangushwa au kupinduliwa kijeshi au kuondoshwa kwa Kura za wananchi wake au kukosa uungwaji mkono kutoka kwa...
Ndivyo hali ilivyo Zanzibar, watu walianza kuvimilia vumilia sasa kila mzanzibar analia na vitu vya chakula kupanda bei tena kwa speedi ya kutisha sana.
1. Mkate wa Boflo ambao ndio mkate kila...
Rushwa inarudisha nyuma maendeleo kutokana na ukweli kwamba mali ambazo zingeweza kukuza uchumi wa taifa zinaishia kwenye mifuko ya watu au kuwapa wageni kwa makubaliano ambayo hayana faida kwa...
Ifike mahala tuelewane kwamba Tanzania sio Dar Es Salaam pekee.
Wakati serikali ikiwaruhusu wamiliki wa mabasi kuwa na stand zao binafsi huko Dar Es Salaam kwa kigezo cha kuwapunguzia gharama...
Tangu nianze kufuatilia siass za nchi hii, sijawahi ona kiongozi wa CCM alie madarakani akikataliwa, kupingwa na kuongezewa vivyo sivyo kama Mama yetu wa leo.
Kwanini hali hii?
1. Mama...
MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWEKA REKODI MAKUSANYO YA KODI 1.9 TRILIONI MWEZI SEPTEMBER
Na, Mwandishi wetu,
Dar es salaam
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa Rais wa kwanza Tanzania kuweka...
Kitendo cha Freeman Mbowe kukutana na Dkt. Samia Ikulu Desemba 31, 2022 kimemfanya mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafue kumalizia mwaka 2022 na kuanza mwaka 2023 vibaya.
Hii imetokana na...