Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,999
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia hivi Punde , Kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema atahutubia Watanzania wanaoishi nchini Marekani , maarufu kama Diaspora .
Mkutano huo unaotajwa kuvunja rekodi ya maombi ya wahudhuriaji , ukilinganisha na mikutano mingine kama hiyo iliyowahi kufanywa na viongozi wengine wa Tanzania , Utafanyika tarehe 10/12/2022 kwenye ukumbi wa BEST WESTERN HOTEL , Washngton DC .
Watanzania wote Mnakaribishwa , Kusikiliza Hotuba hiyo inayotarajiwa kutoa Dira ya Taifa la Tanzania , Umbali si hoja
Mkutano huo unaotajwa kuvunja rekodi ya maombi ya wahudhuriaji , ukilinganisha na mikutano mingine kama hiyo iliyowahi kufanywa na viongozi wengine wa Tanzania , Utafanyika tarehe 10/12/2022 kwenye ukumbi wa BEST WESTERN HOTEL , Washngton DC .
Watanzania wote Mnakaribishwa , Kusikiliza Hotuba hiyo inayotarajiwa kutoa Dira ya Taifa la Tanzania , Umbali si hoja