Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hawa watu wakati wa JK. Tulisikia kila aina ya matusi bahati baba wawatu alikuwa mpole sana, hata wakitukana anawaita ikulu wanakunywa chai wanaondoka.w Wlikuwa wanaitisha maandamano...
0 Reactions
4 Replies
572 Views
Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha Philip Kana - 23rd February 2021 MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, ambaye amekuwa anatuhumiwa na kuhusishwa na matendo kadhaa...
0 Reactions
83 Replies
10K Views
Nimeshuhudia pale KKKT Azania Front na Anglican church St Albans Jumatatu hadi Ijumaa Watumishi wa Serikal wanajaza Kanisa Asubuhi, Mchana na Jioni. Hali hii nilizoea kuiona kwa wale Islam...
0 Reactions
1 Replies
519 Views
Nimesikia hii taarifa hii kupitia kipindi cha yasemavyo magazeti wakilinukuu gazeti la Mtanzania. Mwenye taarifa kamili tafadhali! ===== Ujenzi wa barabara Dar - Chalinze waahirishwa Mtanzania...
3 Reactions
384 Replies
61K Views
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo. Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare...
7 Reactions
135 Replies
16K Views
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe. Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu...
35 Reactions
316 Replies
17K Views
Dar es Salaam. Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge amesema leo wanatarajia kumfanyia sherehe ya kumkaribisha Diwani wa Kawe (CCM), Mutta Rwakatare ambaye alipotea mwanzoni mwa mwaka huu. Diwani...
9 Reactions
54 Replies
6K Views
CCM ya AWAMU ya 5 iliamini kuwa CHAMA kina Wanachama wengi na kila Mwanachama ana HAKI ya kuchangia chochote ktk CHAMA ikiwa ni pamoja na kuwa KIONGOZI. MWENYEKITI wa CCM wa Awamu ya 5 Aliamua...
0 Reactions
5 Replies
867 Views
Akizungumza kwa kujiamini huko Kigamboni, kwenye Kikao cha Chama chake, Mbowe amedai kwamba CCM ishashindwa uongozi, kama kwa miaka 60 ya Uhuru bado kuna mgao wa umeme na na sasa mgao mpya wa...
13 Reactions
72 Replies
4K Views
"Magufuli" Alitulia nchini, akatumbua,na kazi ilionekana! "Samia" Anatembea,Analeta fedha,halafu zinagawanwa na walamba Asali! Ipi ahueni? "Magufuli"hakuwa Mdemokrasia,lakini kazi na miradi...
23 Reactions
108 Replies
3K Views
Huyu ndiye Mwenyekiti wa UVCCM mdogo kuliko wote Tanzania. Ana umri wa Miaka 20. Tunawapongeza UVCCM Tanzania chini ya Kenani Kihongosi kwa kuhakikisha wanapata watu sahihi kwa wakati sahihi...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais Samia Suuhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo kwa kutoa ruzuku ya mbolea inayowapelekea wakulima kununua mbolea kwa nusu bei Ahueni 4 kwa wakulima toka kwa Mheshimiwa Rais Samia...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Wahasimu wa Hayati JPM wanaendelea kutuaminisha kuwa, JPM hakuwa Mtanzania pia PhD yake ilikuwa feki. Licha ya hayo yote, wanaungana na wengi kuduwaa jinsi PhD feki ilivyo tofauti na PhD...
1 Reactions
1 Replies
489 Views
Mungu wetu sote na awabariki Kwa nia na madhumuni ya ndoto zenu za kisiasa. Imenipasa kusema haya Kwa kuwa mazingira ya wazi yamezibwa na mnakosa prior visibility Kwa Hazina ya wapiga kura wengi...
2 Reactions
3 Replies
398 Views
Moja ya sababu zilizofanya Tanzania kuwa nyuma kimaendeleo ni suala la sera zetu kuegemea ujamaa yaani kila kitu kufanywa na serikali jambo ambalo limekuwa likifanya tuchelewe sana kupata...
1 Reactions
0 Replies
494 Views
Hii ni baada ya leo chama hicho huko Zanzibar kuagiza kuitishwa vikao vya wanachama ili watafakari Kiburi cha Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuteua Mkurugenzi wa Uchaguzi mamluki, Aliyemsaidia...
13 Reactions
51 Replies
3K Views
Leo Tarehe 10/07/2022 , Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika, amefika kwenye gereza la Bariadi kuwajulia hali Viongozi wa Kata ya Dutwa , Jimbo la Bariadi Waliofungwa kifungo cha Maisha Gerezani...
24 Reactions
80 Replies
5K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, John Heche ameahidi kuchangia shilingi milioni 2.3 kusaidia ujenzi wa ofisi ya chama hicho Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza. Heche ametoa ahadi hiyo mjini...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Kufuatia Ukame na uhaba wa maji makamu wa Rais Dr Mpango ametoa maagizo 10 na kutaka yashughulikiwe haraka. Miongoni mwa maagizo hayo ni kuwahamisha watu wanaoishi jirani na Vyanzo vya Maji na...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…