Hii nchi ni kama tunaongozwa na viongozi wa Serikali wanaotoka nchi za nje

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni kufanya anasa za kila aina maana kazi hamna, huwezi amini wapo viongozi wakubwa ndani ya serikali fedha za umma wanafanyia anasa kwa kulubuni dada zetu na kufanya watakayo , hali imekuwa mbaya maisha yamekuwa magumu kila kitu kimekuwa shida katika taifa letu ,

Kwa kuangalia hivi sasa hakuna penye unafuu katika maisha tuliyonayo hivi sasa mfano mkubwa ni mfumuko wa bei ya bidhaa, haitoshi maji na umene imekuwa changamoto kwa wananchi ,mambo haya yanaumiza sana kwani viongozi waliowengi wamo ofisini kazi yao kubwa nikupiga soga na kupata perdm na maisha yanaendelea

Hivi sasa iwe kwa mtendaji wa kata iwe kwa diwani iwe kwa mkuu wa wilaya iwe kwa wakurugenzi iwe kwa mkuu wa mkoa , vyombo vyote vya dola, pamoja na mawaziri imekuwa siyo sehemu yakufikisha malalamiko yoyote kwani ukifanya hivyo yule unayemlakamikia atakufahamu na uadui huanza na hata malalamiko yako hayafanyiwi kazi tena kinachobaki ni wewe kuanza kuishi kwa hofu ndani ya nchi yako

Ngo' mbe wa masikini waneshikiliwa wanapigwa mnada na wameambia kama watashindwa kulipa faini ya tsh 100,000/= kwa kila ngo''mbe basi watapigwa mnada hatimaye tayari mnada umeshatangazwa.

Hivi kwanini viongozi tuluonao hawana uchungu na nchi hii kwanini hawawazi kutatua kero za wananchi kwanin? Hivi ni kweli wao wanawaza kuishi nje ya nchi hii tanzania au wanaaminj wizi wa fedha za umma wanaifanya kwamba haipo siku na wao watatoka madarakani wataanza kusulubiwa kama sisi tunavyohangaika

Kiujumla maisha yanekuwa magumu sana hasa kwa watu wenye kipato cha chini navyofikri aluyekuwa na uwezo wa kusomesha mwanae na ndugu zake kwa sasa huenda mambo yakawa magumu, hali ya maisha ni ngumu biashara haziendi kwani mzunguko wa pesa upo kwa watu wa chache.

Hapo chini ni ngo'mbe wa masikini ambao wanapigwa mnada tarehe 14/11/2022..

FB_IMG_1668650561647.jpg
 
Kwakweli kama ni shida zipo za kutosha katika utawala huu
 
Nchi ya Kusadikika hii!
Unasaka uchumi kwenda juu bado unamdhulumu mfungaji! Hufikirii ni watu wangapi wa chini wataadhirika.
Maziwa, nyama, mbolea na kulipa ada za wanafunzi ambao huo mikopo hawazipati asilani.
 
Wafugaji wananyanyasika sana awamu hii.

Anyways tusubiri tu hawa nao wapite na mambo yao ya kishatani wanayofanya.
 
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni kufanya anasa za kila aina maana kazi hamna, huwezi amini wapo viongozi wakubwa ndani ya serikali fedha za umma wanafanyia anasa kwa kulubuni dada zetu na kufanya watakayo , hali imekuwa mbaya maisha yamekuwa magumu kila kitu kimekuwa shida katika taifa letu ,

Kwa kuangalia hivi sasa hakuna penye unafuu katika maisha tuliyonayo hivi sasa mfano mkubwa ni mfumuko wa bei ya bidhaa, haitoshi maji na umene imekuwa changamoto kwa wananchi ,mambo haya yanaumiza sana kwani viongozi waliowengi wamo ofisini kazi yao kubwa nikupiga soga na kupata perdm na maisha yanaendelea

Hivi sasa iwe kwa mtendaji wa kata iwe kwa diwani iwe kwa mkuu wa wilaya iwe kwa wakurugenzi iwe kwa mkuu wa mkoa , vyombo vyote vya dola, pamoja na mawaziri imekuwa siyo sehemu yakufikisha malalamiko yoyote kwani ukifanya hivyo yule unayemlakamikia atakufahamu na uadui huanza na hata malalamiko yako hayafanyiwi kazi tena kinachobaki ni wewe kuanza kuishi kwa hofu ndani ya nchi yako

Ngo' mbe wa masikini waneshikiliwa wanapigwa mnada na wameambia kama watashindwa kulipa faini ya tsh 100,000/= kwa kila ngo''mbe basi watapigwa mnada hatimaye tayari mnada umeshatangazwa.

Hivi kwanini viongozi tuluonao hawana uchungu na nchi hii kwanini hawawazi kutatua kero za wananchi kwanin? Hivi ni kweli wao wanawaza kuishi nje ya nchi hii tanzania au wanaaminj wizi wa fedha za umma wanaifanya kwamba haipo siku na wao watatoka madarakani wataanza kusulubiwa kama sisi tunavyohangaika

Kiujumla maisha yanekuwa magumu sana hasa kwa watu wenye kipato cha chini navyofikri aluyekuwa na uwezo wa kusomesha mwanae na ndugu zake kwa sasa huenda mambo yakawa magumu, hali ya maisha ni ngumu biashara haziendi kwani mzunguko wa pesa upo kwa watu wa chache.

Hapo chini ni ngo'mbe wa masikini ambao wanapigwa mnada tarehe 14/11/2022..

View attachment 2419020
Aliyewaponza ng'ombe wa wafugaji ni yule aliyesema Eti ng'ombe wanatumia 45 Lita za maji daily.

KAZI IPO.
 
Wafugaji wananyanyasika sana awamu hii.

Anyways tusubiri tu hawa nao wapite na mambo yao ya kishatani wanayofanya.
Hakuna mfugaji anayenyanyasika fulani ng'ombe kidogo kwenye eneo moja. Acha kuhamahama na kuharibu mazingira wapuuzi nyie
 
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni kufanya anasa za kila aina maana kazi hamna, huwezi amini wapo viongozi wakubwa ndani ya serikali fedha za umma wanafanyia anasa kwa kulubuni dada zetu na kufanya watakayo , hali imekuwa mbaya maisha yamekuwa magumu kila kitu kimekuwa shida katika taifa letu ,

Kwa kuangalia hivi sasa hakuna penye unafuu katika maisha tuliyonayo hivi sasa mfano mkubwa ni mfumuko wa bei ya bidhaa, haitoshi maji na umene imekuwa changamoto kwa wananchi ,mambo haya yanaumiza sana kwani viongozi waliowengi wamo ofisini kazi yao kubwa nikupiga soga na kupata perdm na maisha yanaendelea

Hivi sasa iwe kwa mtendaji wa kata iwe kwa diwani iwe kwa mkuu wa wilaya iwe kwa wakurugenzi iwe kwa mkuu wa mkoa , vyombo vyote vya dola, pamoja na mawaziri imekuwa siyo sehemu yakufikisha malalamiko yoyote kwani ukifanya hivyo yule unayemlakamikia atakufahamu na uadui huanza na hata malalamiko yako hayafanyiwi kazi tena kinachobaki ni wewe kuanza kuishi kwa hofu ndani ya nchi yako

Ngo' mbe wa masikini waneshikiliwa wanapigwa mnada na wameambia kama watashindwa kulipa faini ya tsh 100,000/= kwa kila ngo''mbe basi watapigwa mnada hatimaye tayari mnada umeshatangazwa.

Hivi kwanini viongozi tuluonao hawana uchungu na nchi hii kwanini hawawazi kutatua kero za wananchi kwanin? Hivi ni kweli wao wanawaza kuishi nje ya nchi hii tanzania au wanaaminj wizi wa fedha za umma wanaifanya kwamba haipo siku na wao watatoka madarakani wataanza kusulubiwa kama sisi tunavyohangaika

Kiujumla maisha yanekuwa magumu sana hasa kwa watu wenye kipato cha chini navyofikri aluyekuwa na uwezo wa kusomesha mwanae na ndugu zake kwa sasa huenda mambo yakawa magumu, hali ya maisha ni ngumu biashara haziendi kwani mzunguko wa pesa upo kwa watu wa chache.

Hapo chini ni ngo'mbe wa masikini ambao wanapigwa mnada tarehe 14/11/2022..

View attachment 2419020
Kuwa maskini sio kigezo cha kuingiza ng'ombe kwenye hifadhi na kuharibu mazingira kama huwezi kufuga kisasa uza ng'ombe nenda kafanye shughuli nyingine.

Tena serikali bado inawechekea sana wapuuzi nyie ndo mana kila siku ukame unazidi alafu mnakuja kulalamika humu hakuna maji wala umeme.

Nazidi kuiomba serikali muondolewe wote kwenye majority mlikohamia mikoa ya Lindi, Mtwara, Mbeya, Iringa, Morogoro na Katavi mrudishwe mwanza na shinyanga huko mkafuge kisasa
 
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni kufanya anasa za kila aina maana kazi hamna, huwezi amini wapo viongozi wakubwa ndani ya serikali fedha za umma wanafanyia anasa kwa kulubuni dada zetu na kufanya watakayo , hali imekuwa mbaya maisha yamekuwa magumu kila kitu kimekuwa shida katika taifa letu ,

Kwa kuangalia hivi sasa hakuna penye unafuu katika maisha tuliyonayo hivi sasa mfano mkubwa ni mfumuko wa bei ya bidhaa, haitoshi maji na umene imekuwa changamoto kwa wananchi ,mambo haya yanaumiza sana kwani viongozi waliowengi wamo ofisini kazi yao kubwa nikupiga soga na kupata perdm na maisha yanaendelea

Hivi sasa iwe kwa mtendaji wa kata iwe kwa diwani iwe kwa mkuu wa wilaya iwe kwa wakurugenzi iwe kwa mkuu wa mkoa , vyombo vyote vya dola, pamoja na mawaziri imekuwa siyo sehemu yakufikisha malalamiko yoyote kwani ukifanya hivyo yule unayemlakamikia atakufahamu na uadui huanza na hata malalamiko yako hayafanyiwi kazi tena kinachobaki ni wewe kuanza kuishi kwa hofu ndani ya nchi yako

Ngo' mbe wa masikini waneshikiliwa wanapigwa mnada na wameambia kama watashindwa kulipa faini ya tsh 100,000/= kwa kila ngo''mbe basi watapigwa mnada hatimaye tayari mnada umeshatangazwa.

Hivi kwanini viongozi tuluonao hawana uchungu na nchi hii kwanini hawawazi kutatua kero za wananchi kwanin? Hivi ni kweli wao wanawaza kuishi nje ya nchi hii tanzania au wanaaminj wizi wa fedha za umma wanaifanya kwamba haipo siku na wao watatoka madarakani wataanza kusulubiwa kama sisi tunavyohangaika

Kiujumla maisha yanekuwa magumu sana hasa kwa watu wenye kipato cha chini navyofikri aluyekuwa na uwezo wa kusomesha mwanae na ndugu zake kwa sasa huenda mambo yakawa magumu, hali ya maisha ni ngumu biashara haziendi kwani mzunguko wa pesa upo kwa watu wa chache.

Hapo chini ni ngo'mbe wa masikini ambao wanapigwa mnada tarehe 14/11/2022..

View attachment 2419020
Wanaharibu vyanzo vya maji na tukienda kwa mwendo huu ndio nidhamu itakuja..

Wamefurushwa Masai kwenye hifadhi sembuse Wafugaji?

Hujaskia tamko la Serikali kupitia VP Jana? Na mliojenga kwenye vyanzo vya maji mjiandae kisaikolojia..
 
Back
Top Bottom