Miaka 50 ya muungano wa tanganyika na zanzibar ,zanzibar haijawahi kutoa rais wa muungano,rais wa kwanza nyerer kazaliwa butiama ,mwinyi kazaliwa kivule mkoa wa pwani ,mkapa mtwara na JK msoga na...
Straight to the point, mfumo wa taarifa za marejesho (e-filing System) unarudisha nyuma kasi ya maendeleo ya uchumi na kuikosesha serekali mapato kwa wakati.
Mfumo huo umezidiwa nguvu na umekua...
Visa vya John Pompeo viko zaidi ya milioni
Mwaka 2013 ,bosi wa chama cha wamiliki wa malori aliingia kwenye mikwaruzano na waziri wa ujenzi enzi hizo.bwana Pompeo
Iko hivi kulikuwa na sheria...
Nimekuja kutafakari kitu fulani hivi
Na mawazo yangu haya sio kwamba na dharau watu weusi au vipi ila ukweli usemwa anaye jua mpe sifa yake tu waafrica sisi bado saana
Kuna siku nilitembelea Dar...
Tar 4 nov 2022 waziri mkuu alizindua zoezi la ugawaji vishikwambi Kwa walimu na wadau wengine wa Elimu huko Dodoma,
Kwa hotuba ile na maelekezo Yale nilitegemea ndani ya wiki tu Vishikwambi...
Na Mwandishi wetu,
Arusha.
Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki Mhe James Millya pamoja na genge lake anapanga mipango ya kuvuruga uchaguzi wa CCM mkoa wa Arusha kama mgombea wake anayegombea UNEC...
Wilaya ya Mwanga imekamilisha ujenzi wa madarasa mapya kwa kutumia pesa za Uviko19, jambo moja ambalo si sahihi ni hayo madarasa kuwekwa viyoyozi, bila kuzungurusha ulimi Mwanga na Tanzania bado...
Watanzania lazima tujiulize hili swali
Ni kwanini C.C.M bado ipo madarakani mpaka leo?
C.CM kwa miaka 60 wameshindwa kusambaza maji ya kunywa na umeme wa uhakika kwa wananchi kwanini tunawalea...
Salam wakuu,
Sina kinyongo na watoto wa wakubwa kujazana kwenye chama na serikali.
Rai yangu moja,Mama ni vyema baadhi ya wanafamilia wake akawaweka nje ya chama na serikali.
Mfano kuna mmoja...
Huu ulikuwa ule ule unyama wa awamu ya 5 wa kuhakikisha viongozi wote wa Chadema wanafungwa jela .
Katala Kikaja na Lilanja Ng'hulima ambao ni viongozi wa Chadema huko Simiyu , Walikamatwa...
Moja kwa Moja kwenye mada.
Serikali ya Ujerumani itaipatia Tanzania msaada wa sh.Bilioni 209 zitakazotumika kwenye miradi mbalimba ya Maendeleo.
Hii inazidi kuonesha Mafanikio Makubwa ya...
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi.
Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa...
Vita ya kiuchumi ni mbaya sana alituasa yule Shujaa Magufuli
Maji hayatoki je Tatizo ni Ukame tu au Wafanyabiashara wanagombania kwenye source?
This is too much kwa Kweli!
Viongozi wengi wa ccm hawana hofu yoyote na wanaamini wananchi hawana cha kuwafanya kilichobaki wamebaki kupongezana kwenye makongamano mambo ambayo haya msingi huku watu wakiendelea kuumia...
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama kinachoshika dola na kinaundwa kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa lakini jambo la kusikitisha sana licha ya Wanachama wake wawili...
1. Kwanini Mbunge alipwe mshahara wa zaidi ya 11,000,000/= kwa mwezi na Mtumishi mwingine wa Serikali alipwe chini ya sh.500,000/?
2. Kwanini Wabunge walipwe posho ya kila kikao zaidi ya...
Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Prof Kindiki ametoa onyo kali sana kwa police wala rushwa hasa Trafiki nchini Kenya.
Tanzania tumeshuhudia Mama analalamika eti trafiki wana kula rushwa, fikilia...
Mzee wa miaka 70, Bw.Seif Mwangaeka mkazi wa Kijiji cha Mkurumusi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, amefariki dunia akiwa kwenye kituo cha kuuzia mbolea ya Ruzuku cha Kigonsera na kusababisha kituo...