Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Miaka 50 ya muungano wa tanganyika na zanzibar ,zanzibar haijawahi kutoa rais wa muungano,rais wa kwanza nyerer kazaliwa butiama ,mwinyi kazaliwa kivule mkoa wa pwani ,mkapa mtwara na JK msoga na...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Straight to the point, mfumo wa taarifa za marejesho (e-filing System) unarudisha nyuma kasi ya maendeleo ya uchumi na kuikosesha serekali mapato kwa wakati. Mfumo huo umezidiwa nguvu na umekua...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Visa vya John Pompeo viko zaidi ya milioni Mwaka 2013 ,bosi wa chama cha wamiliki wa malori aliingia kwenye mikwaruzano na waziri wa ujenzi enzi hizo.bwana Pompeo Iko hivi kulikuwa na sheria...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimekuja kutafakari kitu fulani hivi Na mawazo yangu haya sio kwamba na dharau watu weusi au vipi ila ukweli usemwa anaye jua mpe sifa yake tu waafrica sisi bado saana Kuna siku nilitembelea Dar...
2 Reactions
4 Replies
508 Views
Tar 4 nov 2022 waziri mkuu alizindua zoezi la ugawaji vishikwambi Kwa walimu na wadau wengine wa Elimu huko Dodoma, Kwa hotuba ile na maelekezo Yale nilitegemea ndani ya wiki tu Vishikwambi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Na Mwandishi wetu, Arusha. Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki Mhe James Millya pamoja na genge lake anapanga mipango ya kuvuruga uchaguzi wa CCM mkoa wa Arusha kama mgombea wake anayegombea UNEC...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wilaya ya Mwanga imekamilisha ujenzi wa madarasa mapya kwa kutumia pesa za Uviko19, jambo moja ambalo si sahihi ni hayo madarasa kuwekwa viyoyozi, bila kuzungurusha ulimi Mwanga na Tanzania bado...
13 Reactions
108 Replies
7K Views
Watanzania lazima tujiulize hili swali Ni kwanini C.C.M bado ipo madarakani mpaka leo? C.CM kwa miaka 60 wameshindwa kusambaza maji ya kunywa na umeme wa uhakika kwa wananchi kwanini tunawalea...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Salam wakuu, Sina kinyongo na watoto wa wakubwa kujazana kwenye chama na serikali. Rai yangu moja,Mama ni vyema baadhi ya wanafamilia wake akawaweka nje ya chama na serikali. Mfano kuna mmoja...
0 Reactions
12 Replies
709 Views
Huu ulikuwa ule ule unyama wa awamu ya 5 wa kuhakikisha viongozi wote wa Chadema wanafungwa jela . Katala Kikaja na Lilanja Ng'hulima ambao ni viongozi wa Chadema huko Simiyu , Walikamatwa...
29 Reactions
112 Replies
8K Views
Moja kwa Moja kwenye mada. Serikali ya Ujerumani itaipatia Tanzania msaada wa sh.Bilioni 209 zitakazotumika kwenye miradi mbalimba ya Maendeleo. Hii inazidi kuonesha Mafanikio Makubwa ya...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Kuna mambo yanafikirisha sana. Watanzania (baadhi) wako tayari hata kuandamana kugomea Bar zisifungwe ila sio huduma nyingine za msingi. Leo hii eti mabenki yote yanafungwa jioni kuanzia saa...
11 Reactions
34 Replies
2K Views
kama nchi tumerudi nyuma Sana mikopo imekuwa mingi sana Magufuli alikataa huu mkopo wa Corona
1 Reactions
3 Replies
404 Views
Vita ya kiuchumi ni mbaya sana alituasa yule Shujaa Magufuli Maji hayatoki je Tatizo ni Ukame tu au Wafanyabiashara wanagombania kwenye source? This is too much kwa Kweli!
1 Reactions
8 Replies
408 Views
Mbaraka Mwinshehe aliimba " WEMA hawana maisha" Waswahili Wana msemo " Tenda WEMA uende usingoje shukrani" Tenzi za Rohoni " Wanyonge wape Nguvu, Poza wauguao na Uongoze vipofu" Shujaa Magufuli...
14 Reactions
73 Replies
3K Views
Viongozi wengi wa ccm hawana hofu yoyote na wanaamini wananchi hawana cha kuwafanya kilichobaki wamebaki kupongezana kwenye makongamano mambo ambayo haya msingi huku watu wakiendelea kuumia...
3 Reactions
10 Replies
687 Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni chama kinachoshika dola na kinaundwa kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa lakini jambo la kusikitisha sana licha ya Wanachama wake wawili...
4 Reactions
47 Replies
3K Views
1. Kwanini Mbunge alipwe mshahara wa zaidi ya 11,000,000/= kwa mwezi na Mtumishi mwingine wa Serikali alipwe chini ya sh.500,000/? 2. Kwanini Wabunge walipwe posho ya kila kikao zaidi ya...
5 Reactions
9 Replies
730 Views
Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Prof Kindiki ametoa onyo kali sana kwa police wala rushwa hasa Trafiki nchini Kenya. Tanzania tumeshuhudia Mama analalamika eti trafiki wana kula rushwa, fikilia...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Mzee wa miaka 70, Bw.Seif Mwangaeka mkazi wa Kijiji cha Mkurumusi, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, amefariki dunia akiwa kwenye kituo cha kuuzia mbolea ya Ruzuku cha Kigonsera na kusababisha kituo...
0 Reactions
2 Replies
539 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…