1. Kwanini Mbunge alipwe mshahara wa zaidi ya 11,000,000/= kwa mwezi na Mtumishi mwingine wa Serikali alipwe chini ya sh.500,000/?
2. Kwanini Wabunge walipwe posho ya kila kikao zaidi ya sh.300,000/= kwa siku na watumishi wengine wa Serikali walipwe chini ya sh.50,000/= au hata chini ya 30,000/=?
3. Kwanini baadhi ya Viongozi wa umma(Wakuu wa mikoa, Wilaya nk) wapewe fedha za kujikimu kila mwezi, yaani Chakula nk. wakati watumishi wengine hawapewi?
4. Je, Wananchi wengine wanafaidi nini kutokana na utajiri wa Nchi yao?
Tanzania siyo maskini. Isipokuwa, utajiri wa Nchi hii unachukuliwa na kikundi kidogo kabisa cha watu wenye nafasi zao huko juu.
Watanzania tunataka umeme, maji, afya, Elimu, miundombinu bora.
Hatuhitaji tena longolongo. Tunahitaji huduma bora za jamii na mgawanyo sawa wa KEKI ya Taifa.
Tukiamua, inawezekana kabisa.
2. Kwanini Wabunge walipwe posho ya kila kikao zaidi ya sh.300,000/= kwa siku na watumishi wengine wa Serikali walipwe chini ya sh.50,000/= au hata chini ya 30,000/=?
3. Kwanini baadhi ya Viongozi wa umma(Wakuu wa mikoa, Wilaya nk) wapewe fedha za kujikimu kila mwezi, yaani Chakula nk. wakati watumishi wengine hawapewi?
4. Je, Wananchi wengine wanafaidi nini kutokana na utajiri wa Nchi yao?
Tanzania siyo maskini. Isipokuwa, utajiri wa Nchi hii unachukuliwa na kikundi kidogo kabisa cha watu wenye nafasi zao huko juu.
Watanzania tunataka umeme, maji, afya, Elimu, miundombinu bora.
Hatuhitaji tena longolongo. Tunahitaji huduma bora za jamii na mgawanyo sawa wa KEKI ya Taifa.
Tukiamua, inawezekana kabisa.