Katika siku ya wafanyakazi duniani TUCTA wamesema mapendekezo yao mara nyingi yamekuwa hayakubaliki na serikali na hivyo kiwango cha chini kimekuwa duni kwa watumishi wa serikali na binafsi...
Habarini,
Ninaomba yeyote aliye karibu na Mhe. Rais amfikishie ombi langu mbele yake nalo ni kufanya uteuzi wa nafasi zilizo wazi kwa muda mrefu hususani za utendaji kama wakurugenzi
Uteuzi wa...
UZOEFU ,UONGOZI,JAMII,
SERIKALI,UVCCM TWENDE NA MWAKIBINGA
2012-Waziri wa Michezo Chuo cha Uandishi wa Habari DSJ(DASJOSO)
2013-Mjumbe Uangalizi Uchaguzi Mkuu Nchini ZIMBABWE 🇿🇼 Kupitia SADC...
Nani anaweza kuprove pesa kwamba mtu aliporwa kiasi fulani? Kuna documents? Kama zipo zinaweza wekwa public? Make kumbuka watalipwa pesa za umma, sasa ni vizuri kama Documents zipo ziweke wazi...
Kwa wale wanaofikri Dkt. Bashiru ni mdogo ndanj ya CCM wanajidanganya hakuna asichojuwa hadi chumba cha ikulu mkicheza vibaya mtasababisha matatizo makubwa ndani ya nchi hii maana watu wanajuwa...
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa...
Sintofahamu imeibuka kwa baadhi ya wanachama wa CCM wa Wilaya ya Babati Mjini Mkoani Manyara, wakilalamikia utaratibu wa ugawaji wa kadi za chama hicho kwa manufaa ya watu wanaotaka madaraka...
Sasa ni rasmi ndani ya CCM kuna makundi 2 makubwa, lililo madarakani (Team ⁉️⁉️) na lile lililoondolewa madarakani (Team JPM✔️).
🩸Bashiru akiwa katibu mkuu CCM aliweza kugundua jinsi baadhi ya...
Wakuu natanguliza Salamu.
Siku zote hivi vyeo vya kidunia ni dhamana ya muda mfupi tu, huja na kupotea. Leo unaweza kuwa wewe kesho yule, ni kama viti vya daladala, aliyekalia asubuhi si...
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema ripoti ya Makamba, Kinana na Membe iko tayari na itawasilishwa mbele ya kamati kuu ya CCM wiki hii tayari kwa kufanyiwa maamuzi.
Kadhalika Dr Bashiru amesema...
Haya mambo ya Kukosoana kwa nia njema hayajaanza leo Nyerere alikuwa anaitisha Press kabisa kuikosoa Serikali
Binafsi nilikuwepo hata ule Mkutano wa Kilimanjaro hotel
Mlale unono kesho kazini!
Waziri wa Elimu Prof Mkenda amesema wale wanaompiga Vita wanamtuhumu kwamba ana mpango wa kuweka 'Boss Mchaga' pale Bodi ya Mikopo
Prof Mkenda amesema Bungeni kuwa jambo hilo halina ukweli...
Uwanja wa Ndege wa sasa wa Bukoba ulivyo ni uwanja hatarishi sana na hii ndege ya @precisionairtz kupata ajali ni ndege ya 4 . Zingine zimewahi pata ajali kwenye mawe kutokana na ufinyu wa uwanja...
Good afternoon jamiiforums
Ndugu zangu mnaofanya kazi ubalozi wa Tanzania huko mjini Doha nchini Qatar, kombe la dunia la mwaka 2022 lipo njiani linakuja, tunaomba mjipange hata kama budget ni...
Ilani ya CCM inasema kwamba CCM itapambana na Rushwa na ufisadi kwa nguvu zake zote Sasa Hawa mawakala wa wanyonyaji wanatoka chama gani kama siyo ushamba tu wanaoulekeza yaani watu wengi...
Mwanasaikolojia Dr Elly amesema Elimu ya Tanzania hadi leo ni ile tuliyoletewa na Mkoloni ili waweze kututawala kirahisi.
Ndio sababu hadi leo Mtanzania hujiona bora anapokuwa na rundo la Vyeti...
Ili kuweza kufikia kupanda na kukuza miti angalau bilioni 50 baada ya miaka kumi kutoka sasa, ambapo hali ya ukame inaweza kuwa ni mbaya zaidi kuwahi kutokea ni muda sahihi Serikali ikaazisha...
Ethiopia imeanza kuzalisha umeme kutoka kwenye bwawa kubwa zaidi la kuzalisha umeme barani Afrika maarufu kama 'Grand Ethiopian Renaissance Dam (Gerd)' likitarajiwa kuzalisha megawatts 5000 ambayo...
UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA SUNAMI 2024-2025.
Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia
Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi...
“Najua kuna Maafisa wa Usalama wa Taifa hapa kwenye Mkutano wetu Ruangwa, nawatuma wakamwambie Waziri Mkuu kuwa Zitto anasema maliza hofu Ruangwa.
“Watu wako hawawezi kukupenda kama wana hofu ya...