Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho...
22 Reactions
252 Replies
16K Views
Tangu ujio wa chama kipya cha siasa UPT kumekuwa na maneno mengi yanayozungumzwa chini chini hasa uhusika wa baadhi ya viongozi waliohudumu katika awamu ya 5 ndani ya CCM kuhusishwa na chama hiki...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Piga uwa hapo Lumumba ukibahatika kuukwaa Uwaziri mkuu wa JMT au ukatibu mkuu wa CCM basi jiandae na misukosuko mingi ikiwemo kuzushiwa na kusingiziwa mambo. Hii imekuwepo tokea enzi za Akina...
2 Reactions
2 Replies
382 Views
Mjadala ulioshika kasi nchini ni madai ya Katiba mpya, hasa kutoka vyama vya upinzani. Naweka bandiko hili baada ya kusoma michango wa ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
==== Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania, According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP...
18 Reactions
232 Replies
13K Views
Tanzania tupate wapi tena Mtu kama huyu ambae Mungu yuko ndani yake? 1. Rais anayeweza kutunga sheria itakayowafanya Watanzania hasa wanyonge wasilundikwe magerezani kwa kusubiri Upelelezi wa...
22 Reactions
102 Replies
7K Views
===== Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka, Taasisi hii...
16 Reactions
159 Replies
8K Views
Toka ndani ya mioyo yetu tutafakari haya kwa pamoja huku tukimshirikisha Mungu wetu: 1. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu,Je watu wasiojulikana wangekuwa wamepoteza wenzetu...
56 Reactions
380 Replies
19K Views
Rais Samia Suluhu Hassan tayari ameongeza mara mbili zaidi mzunguko wa fedha yaani (M3) kutoka 6.5% hadi 12.7% === Katika kipindi cha miezi tisa sasa tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie...
20 Reactions
251 Replies
58K Views
=== Serikali ya Tanzania imesema imeingia mkataba wa ununuzi wa mabehewa ya abiria 89, vichwa vya treni ya umeme 19, seti za treni za kisasa 10 zenye behewa 80 vikiwa na gharama ya US$381,428,465...
29 Reactions
138 Replies
14K Views
Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania. " Hakuna kama Samaia " Baada...
21 Reactions
232 Replies
12K Views
Gharama ya Rais wa Tanzania na deligate yake kusafiri ndani ya nchi ni kubwa kuliko ile yakwenda nje japo Safari zote mbili zinaumuhimu mkubwa kwa Taifa letu, Kipindi flani niliwahi...
24 Reactions
250 Replies
19K Views
||FY2021|22 Rais Samia kutoa Jumla ya Trilioni 11 kulipa madeni ya nyuma yaliyoaachwa na mtangulizi wale, === Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya ameendelea kulipa madeni mbalimbali kwa...
32 Reactions
337 Replies
24K Views
Bima ya Afya kwa Wote Tanzania yaani ( Universal Health Care-UHC ) Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya TZS 149BL ili kila Mtanzania ifikapo 2030|35 awe na bima ya afya, " Hakuna kama Samia...
22 Reactions
224 Replies
19K Views
Wachumi mtusaidie hili, Hivi mabenki yetu ya biashara kupata faida ya TZS 471B kwa miezi tisa tu,Wakati huko nyuma yalipata TZS 286B kwa mwaka ina maana gani kwa Uchumi wa nchi yetu?Je! ni Vyuma...
19 Reactions
251 Replies
18K Views
Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaenzi wazee wetu Dk Jakaya Mrisho Kikwete na Hayari Dk John Pombe Magufuli tayari amefanikisha ujenzi wa daraja la Tanzanite|daraja la Salenda walioliasisi wao...
19 Reactions
147 Replies
10K Views
Kwamiezi michache tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika wapya 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi wapya 32,583,God's...
17 Reactions
232 Replies
16K Views
Habari njema ni kwamba mikoa yote Bara na Visiwani kupatiwa mashine moja mpya ya Scan CT || Rais Samia Suluhu Hassan anaongeza mashine mpya 29 toka mashine mbili zilizokuwepo tangu uhuru| ===...
23 Reactions
304 Replies
62K Views
Maajabu ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Tanzania imeagiza Jumla ya ambulance mpya 395 na magari mapya 214 kwa ajili ya chanjo kwa mpigo kitu ambacho hakijawahi kufanyika tangu tuwe...
25 Reactions
295 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…