Shahidi wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbowe ameieleza mahakama kuwa mara baada ya kutolewa amri ya kurusha risasi za moto ili kukabiliana na waandamanaji ,alishuhudia Freeman Mbowe akitimua...
Wadau wakati utawala wa awamu ya 5 unaingia tena kwa mbwembwe nyingi tuliambiwa awamu ya 5 ni ya kujenga viwanda 100 kila mkoa. CCM nayo ililipigia kelele nchi nzima na kuliweka kwenye ilani yake...
Yuko wapi shujaa Aloyce Tendewa? na je sakata lake la kufukuzwa kazi liliishia wapi hasa baada ya habari hii ya mwaka jana iliyoeleza rais Magufuri hakurahishwa na suala la yeye kufukuzwa kazi...
Watu wa Bukinabe walimuua Thomas Sankara wakarudi nyuma na leo ni masikini wa kutupa.
Thomas Sankara alitoa uhai wake kutetea masikini na raia wanyonge kama hayati JPM wa Rubambangwe Chato.
Vipi...
Msukuma na Kibajaji hawa ni watu hatari sana kwa ukomavu wa majadiliano yenye afya. Ukiona hawa watu wameibuka ujue kuna jambo ambalo Wananchi linawagusa, Balozi Bashiru kasema yake, huyu anatabia...
Ndugu Membe,
Nakusalimia kwa salamu ya uzalendo.
Nichukue nafasi hii kukupa pole kwa misukosuko na mihangaiko ya kila siku ya maisha lakini pamoja na hayo nakupa pongezi tena pongezi za dhati...
Nawaza tu kama unga mfuko mmoja wa kilo 25 umefikia shilingi 42000 huku kijijini kwetu, je itakapofika januari itakuaje?
Serikali iliangalie hili gharama ya unga iko juu sana, tutakufa njaa.
Naombeni nitoe angalizo kwa CCM na viongozi wake, najua sasa Dkt. Bashiru ataanza kusakamwa na vijana wa Lumumba naomba msiruhusu hilo, ni hatari sana.
Ukimya wa Dkt. Bashiru ni heri ya CCM na...
Mbunge wa Geita vijijini mh Dr Musukuma amesema Siyo Jambo la kheri kujiita au kumuita binadamu mwenzako CHAWA kwa sababu CHAWA ni mdudu mchafu anayejificha kwenye nguo za ndani
Mimi siyo CHAWA...
Mbunge wa Geita vijijini amesema Watanzania wampe muda Rais Samia wasimuhukumu kwa hii miaka miwili
Msukuma amesema Magufuli alikuwa rafiki yake lakini aliwahi kumtupa jela mara 7
Msukuma...
Kwa mfano Prof Mbarawa kauliza ni lini Serikali ilisema itanunua treni ya High speed?
Na kiukweli Serikali haikuwahi kusema hivyo hata yule " Mjusi" aliyemsema shujaa Magufuli Siyo wa high...
Umewahi kujiuliza kwanini vyama vya siasa hupoteza mvuto au kufa kabisa na vinaibuka vyama vingine ambavyo huchukua nafasi hiyo na kuwa na nguvu ambayo haukuwahi kufikiwa?
Yawezekana sio mara...
Uongo ni vichekesho siku zote kwa mwerevu. Yaani unaanza safari za masafa mafupi halafu unaanza kuleta behewa za masafa marefu kweli!?
Semeni tu ukweli behewa ndio zile na kichwa huenda ni kile...
Rais Samia ana bidii kubwa katika kufanya kazi lakini siyo kwa sababu zilezile za Magufuli. Wanafanya kazi ambayo kimsingi ni ni ile ile lakini kwa sababu tofauti
Nimeona sometimes watu...
Ukiangalia haya ni kama yale ambayo huwa yanauzwa kupatana.com au zoomtanzania. Sijui lakini. Au kikuu.com Naamini ukiwa mzoefu wa ku tafuta tafuta vitu kwenye mtandao utayakuta used hapa bongo au...
Kuna video inatembea mtandaoni ikimuonesha aliyekuwa kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro ambaye kwa sasa ni
Mkurugenzi mkuu wa Takukuru bwana Salumu Hamduni akimpa tuzo ya heshima...
Kuna wakati hawa wanaojiita viongozi wa Upinzani ni kama wanatumiwa na wapiga dili kwa namna moja au nyingine
Kwa mfano, huu ni wakati muafaka wa Tundu Lisu kuanzisha mjadala wa uraia wa Watoto...
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini...