johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Mbunge wa Geita vijijini amesema Watanzania wampe muda Rais Samia wasimuhukumu kwa hii miaka miwili
Msukuma amesema Magufuli alikuwa rafiki yake lakini aliwahi kumtupa jela mara 7
Msukuma amesema hakuna kitu kiñauitwa Sukuma gang ila hizo ni mbinu za Chadema kuigawa CCM ili waiteke Kanda ya Ziwa
Source Star tv The Big Agenda
Msukuma amesema Magufuli alikuwa rafiki yake lakini aliwahi kumtupa jela mara 7
Msukuma amesema hakuna kitu kiñauitwa Sukuma gang ila hizo ni mbinu za Chadema kuigawa CCM ili waiteke Kanda ya Ziwa
Source Star tv The Big Agenda