Kwanza kabisa napenda kuweka kumbukumbu sawa, mimi ni miongoni mwa member wa JF ambaye sikuwahi kumkubali Magufuli na mara zote (mpaka sasa hivi) nimepingana na siasa chafu na siasa za kikatili...
Ni wazi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tutafanya kwa kutumia Katiba ya JMT hii ya sasa.
Ninachojiuliza endapo hadi October 2025 Tukiwa hatuna Katiba mpya Chadema watafanyaje?
Wanatumia nguvu na...
Dar es Salaam. Ripoti ya kila mwenzi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuhusu mwenendo wa uchumi (MER) Aprili, inaonyesha deni la Taifa limeongezeka kwa asilimia 8.9 mwaka 2023 ikilinganishwa na...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amewaaga na kuwashukuru Wananchi wa Katavi kwa Ushirikiano Wao
Mbowe amesema wamekuwepo Katavi kwa siku 3 na mwitikio ulikuwa mkubwa sana na sasa wanaelekea Mkoani...
Hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Daniel Ndumbaro (mb), akiwasilisha mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka wa fedha 2023/2024
Hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu mapitio ya utekelezaji wa mpango na bajeti kwa mwaka 2022/23 na makadirio ya mapato na matumizi
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 34 leo Mei 26, 2023.
====
Waziri Simbachawene: Tunafuatilia madai ya wanufaika wa TASAF kutolipwa
Baada ya Mdau wa...
Akiba za kigeni za Tanzania zimepungua kwa dola milioni 600 (sawa na takriban trilioni 1.4 za Kitanzania) katika kipindi cha mwaka uliopita, lakini serikali inasema hakuna sababu ya kuhangaika na...
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa...
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.
Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea...
Toka Bungeni, Dodoma
Mbunge asimama kutaka Kijiji cha Mpigamiti kibadili jina
Kijiji cha Mpigamiti kipo katika kata inayojulikana pia kama Mpigamiti jimbo la Liwale mkoani Lindi, Tanzania...
Tanzania imeungana na Afrika Kusini kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2023 manispaa ya Mogala nchini Afrika Kusini kusherehekea miaka 60 ya Umoja wa Afrika tangu kuanzishwa kwake Mei 25, 1963...
Ndugu zangu watanzania,
Serikali ya Rais Samia inaongoza kwa kuwahisha mishahara kwa watumishi wa umma Barani Afrika,yaelezwa kuwa Tangia kuingia madarakani kwa Rais Samia watumishi wa umma...
Akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara huko Kigoma , Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , amewaeleza wakazi wa Kigoma kwamba huu mpango wa ccm kuorodhesha kaya masikini ili kuzipatia Pesa za...
Kifo hakina huruma, alipata kuimba dokta Remmy Ongara.
Akionekana mwenye majonzi na haamini kilichotokea hadi sasa, Nape ameonekana akitafuta faraja japo kwa kuchezea vumbi kama mtoto wakati wa...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha 2023/24 imejipanga kuandaa na kutoa Hati za Hakimiliki za Kimila 520,000, Hatimiliki 500,000, Hati za Sehemu ya Jengo 1,000 na...
Anaandika
ELIUS NDABILA
WANANCHI WA SAE MKOANI MBEYA WAMUOMBA MHE RAIS NA SPIKA TULIA KUWASAIDIA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Baada ya takribani siku nane tangu Wananchi wa Sae maeneo yao...