RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Katika kumbukumbu tuliyonayo ni kwamba wizara ya ujenzi na uchukuzi ilitangaza hadharani mbele ya umma kwamba tren ya umeme itaanza safari zake Dar e Salaam to Morogoro mwezi May 2023 hadi sasa tayari tunaingia mwezi June hakuna taarifa yoyote.
Tunaomba serikali itupe taarifa juu ya hilo maana zama za giza kwa sasa hamna.
Tunaomba serikali itupe taarifa juu ya hilo maana zama za giza kwa sasa hamna.