Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Njombe Mkoa wa Njombe umeanza kutekeleza Mradi wa maji utakaonufaisha wakaazi 4,144 wa kijiji cha Vyombo Wilayani humo. Meneja...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukiongea na wananchi wa kawaida wana lalamika kuna wasomi wengi sana hawana kazi. Ukiongea na wataalamu wanalalamika hakuna watu wa kutosha wenye ujuzi na taaluma za kazi. Kuna Mtanzania Dr Mushi...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Mheshimiwa Raisi Magufuli kipindi cha mwanzo cha Uongozi wako sikuweza kukuewa dira yako lakini kila nilipokuwa nakuchunguza ili nikuamini nili kiri ndani ya moyo wangu kuwa hakuna kitu kibaya...
11 Reactions
21 Replies
2K Views
Tumeshuhudia Waziri Mkuu Majaliwa, akikemea hadharani, watuhumiwa (Innocent Till Proved Guilty Under the court of law) Kwa Mujibu wa Vyanzo vyake. Watuhumiwa Hao Wa makosa mbalimbali, Ni watendaji...
14 Reactions
52 Replies
6K Views
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi ameendelea na ziara yake ya kuelezea Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimboni pamoja na kusikiliza na kutatua kero za Wananchi...
1 Reactions
4 Replies
587 Views
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasababu tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni. Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi...
14 Reactions
62 Replies
3K Views
Akizungumzia haki na uhuru wa watu kuzungumza, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema viongozi wanatakiwa kuthamini utu wa watu, hivyo wana haki ya kulinda uhuru na haki...
28 Reactions
155 Replies
10K Views
Salaam wakuu, Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwamba je ni wizara gani ni kubwa kati ya hizi wizara tulizo nazo na ambayo imekuwa ikitengewa pesa nyingi ukilinganisha na zingine? Naomba wajuzi...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Katika ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka 2020/21 iliyowasilishwa bungeni Aprili 12 mwaka huu, CAG Charles Kichere ameligusia suala hilo, akisema hesabu za Mamlaka ya Mapato (TRA) kwa mwaka wa fedha...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa, Dkt. Yahaya Nawanda, amesema hajaridhishwa na kiwango cha mradi wa Bwawa la maji katika Kijiji cha Zebeya Wilaya ya Maswa, lililofanyiwa ukarabati kwa gharama ya Tsh. Milioni 754...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kenya wamepanga kuagiza tani 900,000 za mahindi na tani 600,000 za mchele kutoka nchi kwa njia ya meli kutoka nchi za Amerika Shehena hiyo ya mchele na mahindi ni kwa ajili ya kufidia upungufu...
9 Reactions
78 Replies
5K Views
Tanzania mnafeli wapi.? Mbona wapo watu wenye sifa za kuwa marais, lakin misemo ya chini chini inaonesha watu kuwawazia hawa vijana 1.January Makamba Sifichi sijawahi ona sifa yeyote ya...
16 Reactions
130 Replies
15K Views
Wakuu habari za mchana. Serikali yetu inapambana sana kuwaletea wananchi wake maendelea. Naipongeza kwa kazi nziri. Pamoja na hayo nna jambo ambalo limenifanya niandike uzi huu. Kuna service...
1 Reactions
2 Replies
859 Views
Ni takribani Mwaka wa 2 sasa tangu Serikali ya Awamu ya 6 iingie Madarakani. Serikali iliyojipambanua kwa kufungua mipaka na kuichora upya ramani ya Tanzania kwenye ramani ya dunia. Katika safari...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwanza naomba andiko hili liaiunganishwe. Wapendwa kwa tajiriba na pia kwa namna CCM hucheza na upepo wa hali ya nyakati natabiri siku yaja chama hicho kikongwe kwa sababu ile ile ya kujinusuru...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Ukame na njaa inayoendelea kutikisa mkoa wa Arusha na baadhi ya maeno nchini umewafanya wananchi waliokataa kuhama kwa huyari kutoka Bonde la Ngorongoro kwenda kijiji cha Msomero katika Wilaya ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mbona mnaishi kwenye fikra ya Tanzania ya Mwaka 1960. Hivi Leo hii bado naibu Waziri, Waziri, Waziri Mkuu na Rais, mnakua wa namna hii? Mimi sio Muandisi, ila Hili DARAJA haliwezi gharimu...
15 Reactions
56 Replies
5K Views
Dada yangu Dorothy Gwajima, wizara ya afya Ili kushindwa na hili la ukeketaji mabinti wadogo nalo limekushinda? Kweli viongozi wengi ndani ya Serikali ni wanawake waneshindwa kuzuia ukeketaji wa...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
limekuwa gumzo kwa nini mawaziri na watu wanaojiweza wanapeleka watoto wao shule za kiingereza kwa gharama kuu wakati watoto wa masikini hawajaliwi katika shule za kata. sababu ni moja tuu ni...
8 Reactions
48 Replies
4K Views
Ni takribani Mwaka wa 2 sasa tangu Serikali ya Awamu ya 6 iingie Madarakani. Serikali iliyojipambanua kwa kufungua mipaka na kuichora upya ramani ya Tanzania kwenye ramani ya dunia. Katika safari...
1 Reactions
4 Replies
893 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…