Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kijana mjinga sana, kakata tamaa, hatumii elimu yake ku-reason, kakata tamaaa, anasifia serikali kila anapopewa nafasi kutoa mchango wake. Je, ni msemaji wa serikali? Ana nafasi gani ndani ya...
4 Reactions
7 Replies
827 Views
David Kafulila aliwahi kusema wakati ule wa Magufuli kwamba agenda ya kupambana na ufisadi imehama, kwa maana kwamba imetoka Chadema na kwenda CCM. Kwa sasa nadhani na huko imeshahama! haipo tena...
2 Reactions
4 Replies
408 Views
Mijadala mingi humu JF ni ya kulalamikia juhudi, mipango na mikakati ya kitaifa inayofanywa na serikali. Watanzania muda wote tunajiona tuko ktk taifa la hovyo na lisilo na jambo jema lolote...
-1 Reactions
0 Replies
328 Views
Nichukue nafasi hii kumsihi Mkuu wa wilaya ya Uvinza awe na busara anapojaribu kutatua mgogoro huu wa ardhi maana namuona anapendelea sana upande mmoja tena ni kama anajaribu kuichonganisha...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini...
9 Reactions
28 Replies
4K Views
Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar. Kwa ninachokiona ni wazi...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
BUNGE jana limeibua Kashfa ya upigaji wa zaidi ya trilioni 1.5 kwenye mradi wa bwawa la nyerere lakini tangu jana tuhuma hizo zimeibuliwa bungeni na mbunge wa kisesa, luhaga mpina nilitegemea zito...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Haya hapa ni madhila barabarani yakiwahusisha wale vinara wa kutuasa kuhusiana na ajali barabarani: Miili ya wanandoa wapya kuzikwa leo Mbeya Kwanini kama nia ni njema hatujifunzi kutoka kwa...
0 Reactions
4 Replies
437 Views
Television zote nchi nzima habari ya kwanza ni bwawa la Mwalimu Nyerere kujazwa maji. Ilikuwa shangwe na vigelegele nchi nzima kumpongeza. Ni star tv tu ndio walirusha habari hiyo kama ya...
5 Reactions
83 Replies
4K Views
Napenda nitoe mawazo yangu kwenye mikopo ya serikali. Nitaelezea kwa mtiririko wa utekelezaji ili niwasaidie Serikali badala ya kulalamika na kupigiana madongo Mikopo yote ya serikali bila...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama, 1. Uwanja wa sokoine mbeya 2. Sokoine University of agriculture 3. Sokoine road Arusha/Dar es...
11 Reactions
48 Replies
3K Views
Anataka kusema tulikuwa hatupati chakula cha kutosha kwasabb ya ukosefu wa mito? Mito yooote iliyosambaa kila kona nchi hii imeshindwa kutupatia chakula kwasabb gan? Na je, hizo sababu zimepatiwa...
9 Reactions
30 Replies
2K Views
Juzi niliamua kumsindikiza Rafiki yangu Arusha kutoa Mahari tukaenda Kilimanjaro Bus kukata tiketi nashangaa wanasema Mabus yao hayaingii Magufuli Stendi Gari zao zote zinapita Bagamoyo kuna moja...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake. Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa...
26 Reactions
73 Replies
8K Views
Kwa mtindo wa Force Account uliofanyika mahali pengi nchini, sasa upigaji mkubwa unadhihirika kwa hata viongozi wa Mikoakuchoshwa. Siyo rahisi kuyaficha hayo madudu yanayoanza kufichuka kutokana...
0 Reactions
9 Replies
905 Views
Habari wadau. Benki ya Dunia kupitia dirisha la kusaidia Nchi masikini la IDA ,imeidhinisha mkopo nafuu wa dola za Marekani Milioni 775 sawa na shilingi Tilioni 1.8 kwa ajili ya Tanzania.. Kwa...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang. Diallo amesema...
27 Reactions
175 Replies
15K Views
Kuna vitu Rais yoyote akifanya ni rahisi mno kutengeneza maadui wapya weengi mno La kwanza ni kuongeza kodi La pili ni kupiga marufuku 'watu wasiongee' Kiongozi yoyote akifanya hayo ni dhahiri...
38 Reactions
201 Replies
18K Views
Jana Tanzania tuliandika Historia kwa ufunguzi wa bwawa la Nyerere (JNHPP) kuanza hatua ya kwanza ya ujazaji maji hii ni hatua kubwa kwa taifa letu na kitu kingine nilichogundua ni kwamba Rais...
1 Reactions
4 Replies
663 Views
Huyu JPM ndiye mtu ambaye alijinasibisha na usafi,kupinga ufisadi, wakati akiwa anaila nchi bila kunawa. Ni vile tu awamu hii Wana kifua Cha kukaa kimya, msikilize Malima, RC Mwanza
0 Reactions
4 Replies
541 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…