DOKEZO Rais ingilia kati ubadhirifu katika ujenzi wa jengo la abiria Mwanza Airport

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

dndagula

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
1,461
1,445
Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini mno kati ya miradi inayoendeshwa na serikali ya awmu ya sita.

Mkuu wa Mkoa Malima alikuwa na haki ya kuvunja kamati hiyo. Jengo hilo ni dogo mno,halikidhi kwa mahitaji ya Mwanza, inazidiwa kwa uzuri na stand ya mabasi ya Nyamhongolo shame to contractors! Serikali ichukulie uzito wa pekee kuhusu jengo hilo la abiria (pax terminal) vinginevyo itaumbuka.

Hivyo nashauri yafuatayo:

Kupanua jengo hilo liendane na hadhi ya kimataifa kwa kubadilisha mchoro na kufumua uchafu wote. Hili sio jengo la abiria ni godown tu, aibu. Rais Samia weka nguvu zako binafsi uache legacy kanda ya ziwa.

Haraka jengo lipewe TAA na watafute mkandarasi mwenye uwezo kufanya marekebisho makubwa kukidhi mahitaji ya kimataifa na siyo kwa utaratibu wa force account, jengo la abiria airport siyo jengo la shule ya msingi au sekondari. Jengo zuri abiria la uwanja ndege ni kivutio pia kimataifa na utalii unaanzia hapo.

Tayari Mwanza ina ushindani na Kisumu kibiashara kikanda huku kwenye eneo la maziwa makuu. Hivyo ,serikali iweke bajeti inayotosheleza kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa Mwanza jiji la pili nchini. Bn 19 hazitoshi labda kwa jengo la soko la wilaya. Inahijika bn 100+ at least ili kupata jengo lenye hadhi ya kimataifa, parking kubwa na nzuri, mitambo ya kisasa na workmanship nzuri ya jengo lenyewe siyo kutuwekea vigae vya sakafu low quality na ngazi za chuma kama godown badala ya kuweka angalau ngazi za chuma za crome. Aibu kubwa.

Mhe. Rais ingilia kati uwanja ubomolewe sehemu kubwa ili kuendana na mahitaji ys intern airport maana hata sehemu ya customs,immigration,afya, security checks na laggage conveyor machines hazitatosha na hakuna transit lounge. Hii hatari!. Katika majengo mapya yaliyowahi kujengwa airport Mwanza. Hilo ndilo la mwisho halilingani na thamani na matarajio ya wananchi
Serikali ilisinzia kidogo kwa hili.

Nchi itajengwa na wazalendo.
 
Raisi ana mambo mengi ya kufanya sipendezwi kuona mambo madogo madogo kumpoint Rais
 
Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini mno kati ya miradi inayoendeshwa na serikali ya awmu ya sita.
Umeshachelewa mkuu.

Ujenzi huo umekuwa ukiendelea ni miaka sasa, na hakuna aliyestuka miaka yote hiyo kuona uliyoyaona wewe. Ni watu wangapi wanapita pale kila siku; na wakazi wa hapo hapo Mwanza, iweje miaka yote hii hawaoni dosari, tokea michoro ya ujenzi wa jengo lao la uwanja na uwanja wenyewe! Wote kimya!

Inavyoonekana hata Magufuli mwenyewe hakuwa na nia nzuri na uwanja ule, mbali ya kupiga kelele nyingi za wapiga kura wake. Aliuchukulia uwanja wa Mwanza kuwa kama mshindani wa uwanja wake wa Chato, kwa hiyo hakuuwekea maana sana tokea zamani.

Tatizo linaanzia hapo.
 
Ni kweli Magufuli hakupenda jengo la maana lijengwe airport Mwanza kwa sababu zake binafsi CHATTO. Sasa mama apindue meza ili awatoe machozi Mwanza na hata Tanzania Nzima kwa vile jengo hilo litahudumia watu wote. BADILISHA HISTORIA YA UWANJA HUU.
 
Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini mno kati ya miradi inayoendeshwa na serikali ya awmu ya sita.

Mkuu wa Mkoa Malima alikuwa na haki ya kuvunja kamati hiyo. Jengo hilo ni dogo mno,halikidhi kwa mahitaji ya Mwanza, inazidiwa kwa uzuri na stand ya mabasi ya Nyamhongolo shame to contractors! Serikali ichukulie uzito wa pekee kuhusu jengo hilo la abiria (pax terminal) vinginevyo itaumbuka.

Hivyo nashauri yafuatayo:

Kupanua jengo hilo liendane na hadhi ya kimataifa kwa kubadilisha mchoro na kufumua uchafu wote. Hili sio jengo la abiria ni godown tu, aibu. Rais Samia weka nguvu zako binafsi uache legacy kanda ya ziwa.

Haraka jengo lipewe TAA na watafute mkandarasi mwenye uwezo kufanya marekebisho makubwa kukidhi mahitaji ya kimataifa na siyo kwa utaratibu wa force account, jengo la abiria airport siyo jengo la shule ya msingi au sekondari. Jengo zuri abiria la uwanja ndege ni kivutio pia kimataifa na utalii unaanzia hapo.

Tayari Mwanza ina ushindani na Kisumu kibiashara kikanda huku kwenye eneo la maziwa makuu. Hivyo ,serikali iweke bajeti inayotosheleza kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa Mwanza jiji la pili nchini. Bn 19 hazitoshi labda kwa jengo la soko la wilaya. Inahijika bn 100+ at least ili kupata jengo lenye hadhi ya kimataifa, parking kubwa na nzuri, mitambo ya kisasa na workmanship nzuri ya jengo lenyewe siyo kutuwekea vigae vya sakafu low quality na ngazi za chuma kama godown badala ya kuweka angalau ngazi za chuma za crome. Aibu kubwa.

Mhe. Rais ingilia kati uwanja ubomolewe sehemu kubwa ili kuendana na mahitaji ys intern airport maana hata sehemu ya customs,immigration,afya, security checks na laggage conveyor machines hazitatosha na hakuna transit lounge. Hii hatari!. Katika majengo mapya yaliyowahi kujengwa airport Mwanza. Hilo ndilo la mwisho halilingani na thamani na matarajio ya wananchi
Serikali ilisinzia kidogo kwa hili.

Nchi itajengwa na wazalendo.
Atafuatilia akitoka mazikoni Uingereza
 
Yupo London.

Ngoja kwanza.
Amealikwa Raisi wetu mpendwa, Bi.Samia Suluhu. Mungu amfikishe salama na amrudishe salama.

westbrookswag.png
 
Iwapo ujenzi wa jengo la abiria limewashinda serikali wabadilisje mbinu kwa kushirikiana na sekta binafsi (PPP style).Dhana ya ufufuaji utalii ya Rais wetu kwa kutumia Royal Tour inahujumiwa na wachache.Kuisha kwa Jengo hili kwa kiwango stahiki lingekuwa ni chachu ya kusukuma jitihada za mama kustawisha utalii kanda ya ziwa. RC Adam Malima na Waziri wa ujenzi Mbarawa msaidieni mama kwa hili. Mna fail wapi?
 
Hao wezi tayari pesa wameshaenda kuhonga malaya na kununua magari baada ya upigaji.
Ningekuwa na uwezo ingepita sheria yeyote anayeiba pesa ya umma ahasiwe (asisikie utamu tena wa kunyanduana hadi anakufa.)
 
Umeshachelewa mkuu.

Ujenzi huo umekuwa ukiendelea ni miaka sasa, na hakuna aliyestuka miaka yote hiyo kuona uliyoyaona wewe. Ni watu wangapi wanapita pale kila siku; na wakazi wa hapo hapo Mwanza, iweje miaka yote hii hawaoni dosari, tokea michoro ya ujenzi wa jengo lao la uwanja na uwanja wenyewe! Wote kimya!

Inavyoonekana hata Magufuli mwenyewe hakuwa na nia nzuri na uwanja ule, mbali ya kupiga kelele nyingi za wapiga kura wake. Aliuchukulia uwanja wa Mwanza kuwa kama mshindani wa uwanja wake wa Chato, kwa hiyo hakuuwekea maana sana tokea zamani.

Tatizo linaanzia hapo.
Magufuli hakupenda miji yote inayoizunguka chato si geita,bukoba,mwanza etc kuogopa ushindani
 
Umeshachelewa mkuu.

Ujenzi huo umekuwa ukiendelea ni miaka sasa, na hakuna aliyestuka miaka yote hiyo kuona uliyoyaona wewe. Ni watu wangapi wanapita pale kila siku; na wakazi wa hapo hapo Mwanza, iweje miaka yote hii hawaoni dosari, tokea michoro ya ujenzi wa jengo lao la uwanja na uwanja wenyewe! Wote kimya!

Inavyoonekana hata Magufuli mwenyewe hakuwa na nia nzuri na uwanja ule, mbali ya kupiga kelele nyingi za wapiga kura wake. Aliuchukulia uwanja wa Mwanza kuwa kama mshindani wa uwanja wake wa Chato, kwa hiyo hakuuwekea maana sana tokea zamani.

Tatizo linaanzia hapo.
Bonge la point. Hata mimi theory hii ya kutopenda uwanja wa Mwanza ili kuupendelea wa Chato ilinipita pembeni.
Hiki ni kiwango kikubwa sana cha ubinafsi alichokuwa nacho jiwe, ni aibu kubwa.
Anyway, limeshatokea hilo basi mimi nadhani jambo moja lingefanyika nalo ni kuhamisha Kamandi ya jeshi la anga Mwanza na kuipeleka Chato wautumie ule uwanja usikae bure tuu maana kuutumia kibiashara ni hasara wanaweza kutumia Bukoba.
Kisha nguvu mpya ikawekwa hapo Mwanza na kuacha tabia za kuingiza siasa humo. Maana ki mara kadhaa tumesikia eti kamati ya siasa ya CCM, mara mwenyekiti wa CCM na katibu wanatembelea utekelezaji wa mradi na KUPONGEZA kumbe hakuna la maana linaendelea.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom