Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini mno kati ya miradi inayoendeshwa na serikali ya awmu ya sita.
Mkuu wa Mkoa Malima alikuwa na haki ya kuvunja kamati hiyo. Jengo hilo ni dogo mno,halikidhi kwa mahitaji ya Mwanza, inazidiwa kwa uzuri na stand ya mabasi ya Nyamhongolo shame to contractors! Serikali ichukulie uzito wa pekee kuhusu jengo hilo la abiria (pax terminal) vinginevyo itaumbuka.
Hivyo nashauri yafuatayo:
Kupanua jengo hilo liendane na hadhi ya kimataifa kwa kubadilisha mchoro na kufumua uchafu wote. Hili sio jengo la abiria ni godown tu, aibu. Rais Samia weka nguvu zako binafsi uache legacy kanda ya ziwa.
Haraka jengo lipewe TAA na watafute mkandarasi mwenye uwezo kufanya marekebisho makubwa kukidhi mahitaji ya kimataifa na siyo kwa utaratibu wa force account, jengo la abiria airport siyo jengo la shule ya msingi au sekondari. Jengo zuri abiria la uwanja ndege ni kivutio pia kimataifa na utalii unaanzia hapo.
Tayari Mwanza ina ushindani na Kisumu kibiashara kikanda huku kwenye eneo la maziwa makuu. Hivyo ,serikali iweke bajeti inayotosheleza kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa Mwanza jiji la pili nchini. Bn 19 hazitoshi labda kwa jengo la soko la wilaya. Inahijika bn 100+ at least ili kupata jengo lenye hadhi ya kimataifa, parking kubwa na nzuri, mitambo ya kisasa na workmanship nzuri ya jengo lenyewe siyo kutuwekea vigae vya sakafu low quality na ngazi za chuma kama godown badala ya kuweka angalau ngazi za chuma za crome. Aibu kubwa.
Mhe. Rais ingilia kati uwanja ubomolewe sehemu kubwa ili kuendana na mahitaji ys intern airport maana hata sehemu ya customs,immigration,afya, security checks na laggage conveyor machines hazitatosha na hakuna transit lounge. Hii hatari!. Katika majengo mapya yaliyowahi kujengwa airport Mwanza. Hilo ndilo la mwisho halilingani na thamani na matarajio ya wananchi
Serikali ilisinzia kidogo kwa hili.
Nchi itajengwa na wazalendo.
Mkuu wa Mkoa Malima alikuwa na haki ya kuvunja kamati hiyo. Jengo hilo ni dogo mno,halikidhi kwa mahitaji ya Mwanza, inazidiwa kwa uzuri na stand ya mabasi ya Nyamhongolo shame to contractors! Serikali ichukulie uzito wa pekee kuhusu jengo hilo la abiria (pax terminal) vinginevyo itaumbuka.
Hivyo nashauri yafuatayo:
Kupanua jengo hilo liendane na hadhi ya kimataifa kwa kubadilisha mchoro na kufumua uchafu wote. Hili sio jengo la abiria ni godown tu, aibu. Rais Samia weka nguvu zako binafsi uache legacy kanda ya ziwa.
Haraka jengo lipewe TAA na watafute mkandarasi mwenye uwezo kufanya marekebisho makubwa kukidhi mahitaji ya kimataifa na siyo kwa utaratibu wa force account, jengo la abiria airport siyo jengo la shule ya msingi au sekondari. Jengo zuri abiria la uwanja ndege ni kivutio pia kimataifa na utalii unaanzia hapo.
Tayari Mwanza ina ushindani na Kisumu kibiashara kikanda huku kwenye eneo la maziwa makuu. Hivyo ,serikali iweke bajeti inayotosheleza kujenga jengo lenye hadhi ya kimataifa Mwanza jiji la pili nchini. Bn 19 hazitoshi labda kwa jengo la soko la wilaya. Inahijika bn 100+ at least ili kupata jengo lenye hadhi ya kimataifa, parking kubwa na nzuri, mitambo ya kisasa na workmanship nzuri ya jengo lenyewe siyo kutuwekea vigae vya sakafu low quality na ngazi za chuma kama godown badala ya kuweka angalau ngazi za chuma za crome. Aibu kubwa.
Mhe. Rais ingilia kati uwanja ubomolewe sehemu kubwa ili kuendana na mahitaji ys intern airport maana hata sehemu ya customs,immigration,afya, security checks na laggage conveyor machines hazitatosha na hakuna transit lounge. Hii hatari!. Katika majengo mapya yaliyowahi kujengwa airport Mwanza. Hilo ndilo la mwisho halilingani na thamani na matarajio ya wananchi
Serikali ilisinzia kidogo kwa hili.
Nchi itajengwa na wazalendo.